makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,995
- 104,516
Mkuu unativii ya plasma(chogo)!? Hiyo inafanya mtu kuwa kibongeHuyu Thadeo Lwanga mbona mm naona kama amekuwa kibonge hivi au TV yangu ina shida

Mkuu unativii ya plasma(chogo)!? Hiyo inafanya mtu kuwa kibongeHuyu Thadeo Lwanga mbona mm naona kama amekuwa kibonge hivi au TV yangu ina shida

Akili za Mtz anayeishabikia soka la bongo kindakindaki huwa ni za ki-mzukule mzukule maana ubongo unajawa mahaba badala ya akili halisi kupambanua ukweli wenyewe.eti unateseka ukiwa wapi?
Yesu na Mtume wenyewe walipingwa🤣🤣🤣IFIKE MAHALI CAF WAZUNGUMZE NA MUNGU ATUPE MTUME MUHAMMAD AU YESU KRISTO ACHEZESHE MECHI ZA SIMBA MAANA KUNA WATU HAWAMWAMINI KILA REFEREE.
Kasindikize wageni, tushawapiga kimoja tumegundua sio watamuSimba kabebwa
Waarabu hawakuwa na madhara yoyote leo, na kwa style yao ya uchezaji wasubiri tu kushinda kule kwenye baridi lao vinginevyo mechi zote za Away wanapoteza.Ila lile ni clear goal, kibendera kawauma Rs Berkane,wakati huohuo kawapa goal Simba la offside.....Kagere aliingilia mchezo wakati Sako anapiga.....ila hongereni Kwa kushinda, hata kama ni kimagumashi



mzukule ndio nini?Akili za Mtz anayeishabikia soka la bongo kindakindaki huwa ni za ki-mzukule mzukule maana ubongo unajawa mahaba badala ya akili halisi kupambanua ukweli wenyewe.
Uto.. kwenye ubora wako...teh teh 😂Mshinde kihalali ila siyo mpaka Refa anatolewa na makomandoo


yanga hawakosi sababu jamaniUtopolo naona unajifariji tu.Mshinde kihalali ila siyo mpaka Refa anatolewa na makomandoo
Hapa mtandaoni kuna mtu ambaye hajasoma, si tajiri, hajui siasa, siyo mfanyabiashara, muumini mahiri wa dini, hajui kula batamzukule ndio nini?
Umeishia darasa la nne au la tatu?
Rudi shule urefa utaujulia wapi?!



Sheria za mpira mtazijulia wapi uto?Angalia wakati Sako anapiga Kagere alikuwa wapi?