Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,238
- 22,661
Wakuu naangalia marudio hapa ya mechi ya simba na prison.
Naona hapa simba wamechomoa goli dakika hizi za lala salama
Tukiendelea hivi chama atachomoa labda iwe mbili kwa mbili!
Ila sasa huu utaratibu wa kupanga wazee kwenye team unatuumiza sana wakuu ..
Hapa unakutana na mzee mwenzangu baba esta mbavu ya kulia...miaka 35.
Kushoto mzee mwenzangu mwenyewe mwenda yeye kidogo ana 28.
Kati pale unamkuta mzee mwenzetu mstaafu bwana ngoma miaka 61..
Mbele kabisa unamkuta mzee wetu chama miaka 60.
Pembeni unamkuta mpigania vita ya Uhuru Burundi bwana saidi ntombonkiza miaka 85..
Mbele kabisa anasimama mzee wetu bwana omary mwaijobe miaka 65
Sasa wakuu hamuoni tunaomuia ni sisi mashabiki eeh? Hawa si wastaafu kabisa wanakula pension? Why mnawapanga?
Mnaona yalitokea Leo kwa maafande kuwapigisha kwata wazee hawa mnataka msiba?
Wakifa nani atatushauri vijana jamani? Nilimuona kabisa kapombe anaomba maji pumzi imekata miguu imekakamaa .
Simba fanyeni usajiri..
Naona hapa simba wamechomoa goli dakika hizi za lala salama
Tukiendelea hivi chama atachomoa labda iwe mbili kwa mbili!
Ila sasa huu utaratibu wa kupanga wazee kwenye team unatuumiza sana wakuu ..
Hapa unakutana na mzee mwenzangu baba esta mbavu ya kulia...miaka 35.
Kushoto mzee mwenzangu mwenyewe mwenda yeye kidogo ana 28.
Kati pale unamkuta mzee mwenzetu mstaafu bwana ngoma miaka 61..
Mbele kabisa unamkuta mzee wetu chama miaka 60.
Pembeni unamkuta mpigania vita ya Uhuru Burundi bwana saidi ntombonkiza miaka 85..
Mbele kabisa anasimama mzee wetu bwana omary mwaijobe miaka 65
Sasa wakuu hamuoni tunaomuia ni sisi mashabiki eeh? Hawa si wastaafu kabisa wanakula pension? Why mnawapanga?
Mnaona yalitokea Leo kwa maafande kuwapigisha kwata wazee hawa mnataka msiba?
Wakifa nani atatushauri vijana jamani? Nilimuona kabisa kapombe anaomba maji pumzi imekata miguu imekakamaa .
Simba fanyeni usajiri..