Simba na Yanga hazitofuzu kwenye makundi yao

Najua uto hamuamini timu lenu kama litafuzu kutoka makundi, basi kwa wivu wenu wa kikekike, huku mkijua wazi mnyama ataua mtu leo, mnaamua kushupaza shingo tu! Haya chagua jina kama simba atafuzu tukuite nani?
a) amisa viuno laini
b)athma tako mbinuko
c)utamu burebure
Njoo uedit ugolo wako bado una nafasi
 
Bongo tuna mpira wa mdomoni saana ila uwanjani ni tofauti. Haishangazi kuona wachezaji kutoka nje wenye uwezo wa kawaida wakiwika kwenye ligi kuu.
 
Back
Top Bottom