Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,070
Wasalaam..
Kwanza kabisa lazima tukubali mpira ni mchezo wa kistaarab na wa amani na wakudumisha mahusiano....na si vurugu na uhuni.
Simba wanakuwa wajinga na wahuni kuwazuia wenzao kufanya mazoezi na kuendelea kuwafanyia vurugu... Lakini lazima tujiulize je Simba walipo kwenda Congo walipokewaje? walifanyiwa kama wanayo yafanya dhidi ya Vita?
Simba wamegundua hawawezi kuwafunga Vita uwanjani?
Simba na uongozi kwanini mmejigeuza wajinga kiasi hiki?
Hivi mnajua mtakutana na Rungu la CAF kwa huu upuuzi?
Simba kwa mwendo huu inahitajika miujiza kushinda mechi ya leo maana kisaikolojia mmeshafungwa kabisa....
Mpira unachezwa uwanjani.
Kwanza kabisa lazima tukubali mpira ni mchezo wa kistaarab na wa amani na wakudumisha mahusiano....na si vurugu na uhuni.
Simba wanakuwa wajinga na wahuni kuwazuia wenzao kufanya mazoezi na kuendelea kuwafanyia vurugu... Lakini lazima tujiulize je Simba walipo kwenda Congo walipokewaje? walifanyiwa kama wanayo yafanya dhidi ya Vita?
Simba wamegundua hawawezi kuwafunga Vita uwanjani?
Simba na uongozi kwanini mmejigeuza wajinga kiasi hiki?
Hivi mnajua mtakutana na Rungu la CAF kwa huu upuuzi?
Simba kwa mwendo huu inahitajika miujiza kushinda mechi ya leo maana kisaikolojia mmeshafungwa kabisa....
Mpira unachezwa uwanjani.