Simba kwaa huu ujinga na uhuni mnaofanya dhidi ya Vita lazima mfungwe na kupigwa fine.

Wasalaam..
Kwanza kabisa lazima tukubali mpira ni mchezo wa kistaarab na wa amani na wakudumisha mahusiano....na si vurugu na uhuni.
Simba wanakuwa wajinga na wahuni kuwazuia wenzao kufanya mazoezi na kuendelea kuwafanyia vurugu... Lakini lazima tujiulize je Simba walipo kwenda Congo walipokewaje? walifanyiwa kama wanayo yafanya dhidi ya Vita?
Simba wamegundua hawawezi kuwafunga Vita uwanjani?
Simba na uongozi kwanini mmejigeuza wajinga kiasi hiki?
Hivi mnajua mtakutana na Rungu la CAF kwa huu upuuzi?

Simba kwa mwendo huu inahitajika miujiza kushinda mechi ya leo maana kisaikolojia mmeshafungwa kabisa....
Mpira unachezwa uwanjani.
Muda ulotumia kuandika hapa ungeenda kulima choroko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam..
Kwanza kabisa lazima tukubali mpira ni mchezo wa kistaarab na wa amani na wakudumisha mahusiano....na si vurugu na uhuni.
Simba wanakuwa wajinga na wahuni kuwazuia wenzao kufanya mazoezi na kuendelea kuwafanyia vurugu... Lakini lazima tujiulize je Simba walipo kwenda Congo walipokewaje? walifanyiwa kama wanayo yafanya dhidi ya Vita?
Simba wamegundua hawawezi kuwafunga Vita uwanjani?
Simba na uongozi kwanini mmejigeuza wajinga kiasi hiki?
Hivi mnajua mtakutana na Rungu la CAF kwa huu upuuzi?

Simba kwa mwendo huu inahitajika miujiza kushinda mechi ya leo maana kisaikolojia mmeshafungwa kabisa....
Mpira unachezwa uwanjani.
Ulidhani mambo ya jecha na nec?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamwene mpra umechezwa chumbani nn kimoj cha nguruwe chaliiii ..kifo cha mende
Wasalaam..
Kwanza kabisa lazima tukubali mpira ni mchezo wa kistaarab na wa amani na wakudumisha mahusiano....na si vurugu na uhuni.
Simba wanakuwa wajinga na wahuni kuwazuia wenzao kufanya mazoezi na kuendelea kuwafanyia vurugu... Lakini lazima tujiulize je Simba walipo kwenda Congo walipokewaje? walifanyiwa kama wanayo yafanya dhidi ya Vita?
Simba wamegundua hawawezi kuwafunga Vita uwanjani?
Simba na uongozi kwanini mmejigeuza wajinga kiasi hiki?
Hivi mnajua mtakutana na Rungu la CAF kwa huu upuuzi?

Simba kwa mwendo huu inahitajika miujiza kushinda mechi ya leo maana kisaikolojia mmeshafungwa kabisa....
Mpira unachezwa uwanjani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam..
Kwanza kabisa lazima tukubali mpira ni mchezo wa kistaarab na wa amani na wakudumisha mahusiano....na si vurugu na uhuni.
Simba wanakuwa wajinga na wahuni kuwazuia wenzao kufanya mazoezi na kuendelea kuwafanyia vurugu... Lakini lazima tujiulize je Simba walipo kwenda Congo walipokewaje? walifanyiwa kama wanayo yafanya dhidi ya Vita?
Simba wamegundua hawawezi kuwafunga Vita uwanjani?
Simba na uongozi kwanini mmejigeuza wajinga kiasi hiki?
Hivi mnajua mtakutana na Rungu la CAF kwa huu upuuzi?

Simba kwa mwendo huu inahitajika miujiza kushinda mechi ya leo maana kisaikolojia mmeshafungwa kabisa....
Mpira unachezwa uwanjani.
Simba walifanyia hivo hivo Congo,walizuia mashabiki wa Simba wakaruhusu benchi la ufundi,na wachezaji tu,Vita walipofika hapa Simba wakafanya hivo hivo samething.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam..
Kwanza kabisa lazima tukubali mpira ni mchezo wa kistaarab na wa amani na wakudumisha mahusiano....na si vurugu na uhuni.
Simba wanakuwa wajinga na wahuni kuwazuia wenzao kufanya mazoezi na kuendelea kuwafanyia vurugu... Lakini lazima tujiulize je Simba walipo kwenda Congo walipokewaje? walifanyiwa kama wanayo yafanya dhidi ya Vita?
Simba wamegundua hawawezi kuwafunga Vita uwanjani?
Simba na uongozi kwanini mmejigeuza wajinga kiasi hiki?
Hivi mnajua mtakutana na Rungu la CAF kwa huu upuuzi?

Simba kwa mwendo huu inahitajika miujiza kushinda mechi ya leo maana kisaikolojia mmeshafungwa kabisa....
Mpira unachezwa uwanjani.
Umemaliza au bado unaimba taarab?
 
Wasalaam..
Kwanza kabisa lazima tukubali mpira ni mchezo wa kistaarab na wa amani na wakudumisha mahusiano....na si vurugu na uhuni.
Simba wanakuwa wajinga na wahuni kuwazuia wenzao kufanya mazoezi na kuendelea kuwafanyia vurugu... Lakini lazima tujiulize je Simba walipo kwenda Congo walipokewaje? walifanyiwa kama wanayo yafanya dhidi ya Vita?
Simba wamegundua hawawezi kuwafunga Vita uwanjani?
Simba na uongozi kwanini mmejigeuza wajinga kiasi hiki?
Hivi mnajua mtakutana na Rungu la CAF kwa huu upuuzi?

Simba kwa mwendo huu inahitajika miujiza kushinda mechi ya leo maana kisaikolojia mmeshafungwa kabisa....
Mpira unachezwa uwanjani.
Fuatilia habari As Vita wenyewe wameshaomba msamaha kwa kitendo walichowafanyia waandishi wa habari na hawajasema Simba kawafanyia uhuni, hizo zako propaganda na kwa taarifa yako hadi simba kutusua robo finali nchi imepata points 15 ,ukiongezea za yanga kufika makundi shirikisho 3 jumla tuna points 18, jivunie Simba wewe acha mineno mbofu mbofu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba aitwe kuchukua Uzi wake ,tunaomba utupe muendelezo faini lini inakuja
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom