supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,452
- 10,935
Juzi pia Rage amepigilia msumari zaidi kuhusu hassan kessy.
Watani huwa hawana moyo kama wato.... Wao hupenda miteremko mno..... Ndio maana wamekuwa wakipata shida sana kunyanyua makwapa.....
Kwenye Kesi ya Hassan Kessy walikuwa wanashinda kwa waganga wakiomba YANGA ipokwe alama...