Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,399
- 5,522
Jamani kwa kikosi hiki kibovu walichonacho Makolos SC leo SAA 1 usiku naiomba draw tu match dhidi ya Namungo.
Namungo nipeni raha jamani, kama hotel nzuri tumeshawalipia tayari tena ni Serena Hotel ili yule mjinga wao Mwijaku azidi kusema kuwa tunawahujumu kumbe sasa hawana ngoma kwenye game.
Draw ya 0 - 0 tu inanitosha jamani Namungo yangu.
Namungo nipeni raha jamani, kama hotel nzuri tumeshawalipia tayari tena ni Serena Hotel ili yule mjinga wao Mwijaku azidi kusema kuwa tunawahujumu kumbe sasa hawana ngoma kwenye game.
Draw ya 0 - 0 tu inanitosha jamani Namungo yangu.