TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,723
- 10,231
๐ฉ๐๐ฃ๐๐๐ข ๐ฉ๐๐๐จ๐๐ช๐ ๐ญ๐๐๐๐
Matukio na vipigo vikubwa zaidi kuanzia (5+) kwenye derby ya Kariakoo:
FT: Yanga SC 9-0 Simba SC (1938)
FT : Yanga SC 5-0 Simba SC (1968)
โฝโฝ Maulid Dilunga 18' Pen, 43'
โฝโฝ Salehe Zimbwe 54', 89'
โฝ Kitwana Manara 86'
๐ p๐ถ๐ฟ๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ๐ฝ๐ฎ๐ป๐ถ:
Tarehe 3 Machi 1969:
Simba SC waligoma kurejea Uwanjani kipindi cha pili baada ya kufungwa (3-0). Yanga SC walipewa pointi (3) na mabao (3) mezani.
FT: Simba SC 6-0 Yanga SC (1977)
โฝ Selemani Sanga OG 20'
โฝโฝโฝ King Kibadeni 10', 42', 89'
โฝ โฝJumanne Masimenti 60'
๐ฆ๐ต๐ถ๐ธ๐ฎ ๐บ๐ธ๐ผ๐ป๐ผ:
Mwaka 1988, Yanga SC waliwasaidia watani zao Simba SC wasishuke daraja. Mchezo wa mwisho wa ligi kuu Yanga wakishinda wanatwaa Ubingwa, Simba wakisare au kupoteza wanashuka daraja. Yanga hawakumkaba kwa makusudi, Hamisi Shikamkono ili afunge goli Simba wasalie ligi kuu.
Shikamkono akafunga goli, Simba wakasalia ligi kuu na Yanga wakaukosa Ubingwa. Msimu huo Simba SC walikuwa na mgogoro mkubwa baina ya katibu mkuu, Jimmy David Ngonya na wazee wa klabu hiyo.
Mpaka sasa Simba na Yanga ndio klabu pekee ambazo hazijawahi kushuka daraja ligi kuu Tanzania tangu ianzishwe.
๐ฌ๐ฎ๐ป๐ด๐ฎ ๐๐ฎ๐ฎ๐๐ถ๐บ๐ฎ ๐๐ฎ๐ฐ๐ต๐ฒ๐๐ฎ๐ท๐ถ ๐ฆ๐ถ๐บ๐ฏ๐ฎ ๐ฆ๐:
Mwaka 1998, Yanga SC waliazima wachezaj kutoka Simba SC ili waongeze nguvu kikosini kwao kwenye michuano ya CAF champions league ambapo Yanga ndio walikuwa klabu ya 1 East Africa kuingia group stage.
Wachezaji walioazimwa ni:
FT: Simba SC 5-0 Yanga SC (2012)
โฝโฝ Emmanuel Okwi 2', 62'
โฝ Felix Sunzu (Penati) 56'
โฝ Juma Kaseja (Penati) 67
โฝ Patrick Mafisango (Penati) 72'
FT: Simba SC 1-5 Yanga SC (2023)
โฝ๏ธ Kibu Denis ๐ ฐ๏ธ Ntibazonkiza 9'
โฝ๏ธ Musonda ๐ ฐ๏ธ Yao 3'
โฝ๏ธ Nzengeli ๐ ฐ๏ธ Aziz Ki 63'
โฝ๏ธ Stephanie Aziz Ki ๐ ฐ๏ธ Mzize 73
โฝ๏ธ Maxi Nzengeli ๐ ฐ๏ธ Mzize 77'
โฝ๏ธ Pacome (Penati) 86'
ยฉTom Cruz-Mchambuzi.
Matukio na vipigo vikubwa zaidi kuanzia (5+) kwenye derby ya Kariakoo:
FT: Yanga SC 9-0 Simba SC (1938)
FT : Yanga SC 5-0 Simba SC (1968)
โฝโฝ Maulid Dilunga 18' Pen, 43'
โฝโฝ Salehe Zimbwe 54', 89'
โฝ Kitwana Manara 86'
๐ p๐ถ๐ฟ๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ๐ฝ๐ฎ๐ป๐ถ:
Tarehe 3 Machi 1969:
Simba SC waligoma kurejea Uwanjani kipindi cha pili baada ya kufungwa (3-0). Yanga SC walipewa pointi (3) na mabao (3) mezani.
FT: Simba SC 6-0 Yanga SC (1977)
โฝ Selemani Sanga OG 20'
โฝโฝโฝ King Kibadeni 10', 42', 89'
โฝ โฝJumanne Masimenti 60'
๐ฆ๐ต๐ถ๐ธ๐ฎ ๐บ๐ธ๐ผ๐ป๐ผ:
Mwaka 1988, Yanga SC waliwasaidia watani zao Simba SC wasishuke daraja. Mchezo wa mwisho wa ligi kuu Yanga wakishinda wanatwaa Ubingwa, Simba wakisare au kupoteza wanashuka daraja. Yanga hawakumkaba kwa makusudi, Hamisi Shikamkono ili afunge goli Simba wasalie ligi kuu.
Shikamkono akafunga goli, Simba wakasalia ligi kuu na Yanga wakaukosa Ubingwa. Msimu huo Simba SC walikuwa na mgogoro mkubwa baina ya katibu mkuu, Jimmy David Ngonya na wazee wa klabu hiyo.
Mpaka sasa Simba na Yanga ndio klabu pekee ambazo hazijawahi kushuka daraja ligi kuu Tanzania tangu ianzishwe.
๐ฌ๐ฎ๐ป๐ด๐ฎ ๐๐ฎ๐ฎ๐๐ถ๐บ๐ฎ ๐๐ฎ๐ฐ๐ต๐ฒ๐๐ฎ๐ท๐ถ ๐ฆ๐ถ๐บ๐ฏ๐ฎ ๐ฆ๐:
Mwaka 1998, Yanga SC waliazima wachezaj kutoka Simba SC ili waongeze nguvu kikosini kwao kwenye michuano ya CAF champions league ambapo Yanga ndio walikuwa klabu ya 1 East Africa kuingia group stage.
Wachezaji walioazimwa ni:
- Monja Liseki
- Shabani Ramadhani
- Alphonce Modest
FT: Simba SC 5-0 Yanga SC (2012)
โฝโฝ Emmanuel Okwi 2', 62'
โฝ Felix Sunzu (Penati) 56'
โฝ Juma Kaseja (Penati) 67
โฝ Patrick Mafisango (Penati) 72'
FT: Simba SC 1-5 Yanga SC (2023)
โฝ๏ธ Kibu Denis ๐ ฐ๏ธ Ntibazonkiza 9'
โฝ๏ธ Musonda ๐ ฐ๏ธ Yao 3'
โฝ๏ธ Nzengeli ๐ ฐ๏ธ Aziz Ki 63'
โฝ๏ธ Stephanie Aziz Ki ๐ ฐ๏ธ Mzize 73
โฝ๏ธ Maxi Nzengeli ๐ ฐ๏ธ Mzize 77'
โฝ๏ธ Pacome (Penati) 86'
ยฉTom Cruz-Mchambuzi.