Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,176
- 48,460
- Thread starter
- #81
Haya ngoja turudi kwenye tukio halisi.Hapa umetunga Kanuni zako Msomi. Hapo itategemea Kanuni ya Mtihani inasemaje, turudi Sasa kwenye Kanuni za Bodi ya Ligi. Yakitokea mazingira kama hayo ya Simba Kanuni inasemaje,Simba wanatakiwa wafanye nini, na Bodi baada ya hapo wanatakiwa wafanye nini
Barua ya Simba kwenda Kwa bodi ya ligi ilinukuu vifungu vya kanuni. Jee bodi ya ligi iliwajibu Simba barua yake kwa namna yoyote ile?
Baada ya Simba kuandika barua yake kulitakiwa kuwe na mfuatano wa matukio ili kuiweka Simba kuwajibika Kwa mechi husika.
Sasa bodi ya ligi yenyewe ndiyo kwenye taarifa yake ilisema haina vielelezo na taarifa za kutosha kuweza kufanya uamuzi kuhusu malalamiko ya Simba hivyo ikaahirisha mechi.
Sasa hapo Simba haiwezi kusemwa iligomea mechi kwa kuwa mechi yenyewe iliahirishwa na bodi halali inayomsimamia ligi.