Simba haikugomea kucheza mechi na Yanga

Simba haikugomea kucheza mechi na Yanga

We ni kiazi mbatata kabisa!!! Yaani timu imetoa taarifa yakutokucheza mechi afu unakuja kutapika hapa haijagomea mechi?, Kwahiyo Kati ya Bodi ya ligi mwenye mamlaka ni nani?. Yaani tamko litoke simba afu Bodi ya ligi walitii?, Kila mwenye akili timamu anajua mpk huyo msengelema karia anajua kuahirishwa kwq mechi ilikuwa planned.
 
Kanuni ipi inasema ukinyimwa kufanya mazoezi ya mwisho ugomee kucheza?
Nanikakwambia mambo yetu yanaenda na kanuni kanuni zinategemea zinamhusu nani. Tunavyopiga kelele kuhusu simba na yanga kelele hizohizo zinesikika kwenye mambo mengine na muhimu ya nchi hii wala huko tusingefika lakini kwa kuwa tumekubali kuwa wanafiki na bado tutaloloma sana unaweza usikubaliane na mimi kwa hiari yako
 
Back
Top Bottom