Mkuu, unakubali kuwa Simba ni Taasisi, na kama ni Taasisi unakubali kuwa taarifa hiyo ni official Communication, kama ni Official Communication kwanini mnalazimisha kuwa Ili Simba wagome ni pale ambalo Simba hawakuleta timu uwanjani, wakati management expressively wametoa statement kuwa hawachezi hiyo Mechi. Je unataka kusema kuwa Walichoandika Simba hawakuwa wanamanisha. Kama ndivyo, kwanini Bodi ya Ligi wali Act kwenye taarifa ambayo Simba hawakuwa wanamanisha.
Kama walikuwa wanamanisha, na barua hiyo ni official Communication, kwanini Bodi ya Ligi wamechagua kudeal na kipengele cha malalamiko tu, ila kipengele cha Simba kugoma kucheza Mechi wamekiacha.
Simba walilalamika kweli, lakini pia wakati huo huo wakagoma kucheza Mechi. Je Kanuni zinasemaje kwenye mambo hayo mawili. Yanashughulikiwaje kwa mjibu wa Kanuni Wakili Msomi