Simba haikugomea kucheza mechi na Yanga

Simba haikugomea kucheza mechi na Yanga

ahly hakwenda uwanjani wew nd mana zamalek akapewa alama 3 acha kupotosha umma. Simba hakugomea mchezo bali hawezi kwenda uwanjan wakat mechi haikuwepo
Hoja yangu sio timu kwenda uwanjani bali umeona bodi ya ligi Misri au chama cha soka Misri kiitisha kikao cha dharura kujadiliana? Si umeona wametulia tuli na kuacha taratibu zote za mechi ziendelee kisha wao watadili na kanuni tu
 
Hoja yangu sio timu kwenda uwanjani bali umeona bodi ya ligi Misri au chama cha soka Misri kiitisha kikao cha dharura kujadiliana? Si umeona wametulia tuli na kuacha taratibu zote za mechi ziendelee kisha wao watadili na kanuni tu
Kwa maneno yako haya unamaanisha kosa ni la bodi ya ligi.
 
Simba walisema kuwa hawatahusika na mechi na siyo hawatapeleka timu uwanjani.
Ulisoma wapi wewe au ndio elimu ya VETA, Kwa hio mchezo wa mpira unachezewa Instagram?
 

Attachments

  • IMG_20250317_185233.jpg
    IMG_20250317_185233.jpg
    80.5 KB · Views: 12
redio Simba ndiyo imeahirisha mechi? Maana watu wanaojua mpira hawawezi hata kidogo kuilaumu Simba kwa sakata la mechi husika kutochezwa.
Achana na ilo swala mwishowake ni kuaibika tu. Tunza kipande cha heshma kidogo kilicho bakia katika jukwaa ili la michezo kwa matumizi ya siku za usoni.
Aya waachie wakina Kalpana, Kisugu na wengine wa jamii yake.
Ili nalo litapita tunza heshma
 
Kasome barua ya Simba kwanza ndio urudi hapa,,kitendo cha Simba kuandika kwamba awapeleki timu uwanjani automatically waligomea mechi,,kwanini walitoa statement ya kutopeleka timu uwanjani kabla ya bodi kutoa maamuzi? Ina maana waligomea mechi kabla ya bodi kuahirisha kwaiyo waliwaelekeza bodi cha kufanya!
Kama una akili timamu,mtu akikutishia "nitakuua" automatically amekuua!
Watu na akili zao bhana

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Bodi ya ligi inaharibu mchezo wa mpira wa miguu na inaendesha bodi Kwa upendeleo kitu kisichofaa katika maendeleo ya soka.

Meneja wa uwanja Katoa taarifa ya wazi Kila mtu kaiona kwamba Simba hawakutoa taarifa ya kwenda kufanya mazoezi,uwanja wa Taifa sio public toilet kwamba utajiingilia TU mda wowote unaotaka Kwa Nini Bodi ya ligi inapuuuza taarifa ya Meneja wa uwanja.

Inashangaza kuona kwamba bodi inatambua mashabiki wa timu za mipira nje ya uwanja mpaka mnaita mabaunsa ,bodi mmetia aibu kuwatambua watu wasio katika uongozi wa time pia hao watu waliolalamikiwa kama mabaunsa sio wao waliofunga mageti hapa taarifa inapindishwa ili bodi imsaidie timu chaguo ya Simba isinyang'anywe point 3 ,Bodi na TFF mnatia aibu shame on you ,Raha yenu ni Simba awe bingwa mwaka huu kwa njia yoyote kupanga mapenati yasiyostahili nk.

Inajulikana wazi Rais wa TFF Karia ni shabiki wa Simba na ana kinyongo na Yanga mtu wa ajabu kabisa kuongosa soka la nchi hii .

Chama Cha soka Egypt kimeonyesha mfano jinsi ya kusimamia soka haikuogopa ukubwa wa Ahly baada ya kugomea derby na Zamelek ,Zamalek wakapewa point 3 mikwara ya kugomea kucheza mechi za ligi sijui wakatoa mkwara watahama ligi hawakuogopwa kama bodi ya ligi yetu na TFF walivyogwaya mikwala ya Simba huo ni udhaifu mkubwa katika kusimamia mpira kwa haki.
 
Simba haikugomea kucheza ila walisema hatua zichukuliwe dhidi ya walichofanyiwa la sivyo wasingeshirika kwenye mechi husika.

Bodi ya ligi ikaahirisha mechi. Simba hapo inahusikaje?
Acheni kutupiana mpira. Historia imeshaandikwa tayari! Mlitangaza kususia mechi kupitia ile barua yenu iliyokuwa standby hata kabla ya kwenda kukitafuta kile kisingizio ule usiku, na hiyo bodi ya ligi ikaibariki kwa kutoa tamko la kuwaunga mkono!

Kwa hiyo nyinyi na hiyo bodi ya ligi, lenu ni moja.
Na mkumbuke mliwaingiza watu hasara kwa sababu zenu zisizo na mashiko.
 
Kasome barua ya Simba kwanza ndio urudi hapa,,kitendo cha Simba kuandika kwamba awapeleki timu uwanjani automatically waligomea mechi,,kwanini walitoa statement ya kutopeleka timu uwanjani kabla ya bodi kutoa maamuzi? Ina maana waligomea mechi kabla ya bodi kuahirisha kwaiyo waliwaelekeza bodi cha kufanya!
Natamani ungekuwa karibu nikukande ngumi utapike daku uliyokula usiku!
Mchezo wa mpira unaanza rasmi kikao cha wanahabari siku moja kabla ya mechi kwa muda uliowekwa na kanuni.
Hivyo hata mazoezi kwa timu ngeni muda utakaochezwa mechi kesho yake zote ni taratibu za hiyo mechi.
Sasa mwenyeji kaleta vibaka wake wanaharibu taratibu za mchezo na Simba katoa tahadhari kuwa jambo hilo lisiposhughulikiwa hawataleta timu uwanjani (kusudio) maana usalama ni mdogo kwa wote. Imagine Wapenzi wa Simba wakijua kuwa wachezaji wao walifanyiwa fujo kutakuwa na usalama uwanjani au vita?
Bodi kwa vile wana akili kuliko hao viongozi wa Yanga wakaahidi uchunguzi wa kina ufanyike.
Sasa mpira utachezwa na faini lazima Yanga atwangwe kwa kushirikisha wahuni.
 
Natamani ungekuwa karibu nikukande ngumi utapike daku uliyokula usiku!
Mchezo wa mpira unaanza rasmi kikao cha wanahabari siku moja kabla ya mechi kwa muda uliowekwa na kanuni.
Hivyo hata mazoezi kwa timu ngeni muda utakaochezwa mechi kesho yake zote ni taratibu za hiyo mechi.
Sasa mwenyeji kaleta vibaka wake wanaharibu taratibu za mchezo na Simba katoa tahadhari kuwa jambo hilo lisiposhughulikiwa hawataleta timu uwanjani (kusudio) maana usalama ni mdogo kwa wote. Imagine Wapenzi wa Simba wakijua kuwa wachezaji wao walifanyiwa fujo kutakuwa na usalama uwanjani au vita?
Bodi kwa vile wana akili kuliko hao viongozi wa Yanga wakaahidi uchunguzi wa kina ufanyike.
Sasa mpira utachezwa na faini lazima Yanga atwangwe kwa kushirikisha wahuni.
Kwenye zile vurugu nani aliumia au mali gani iliharibiwa? vipi zile vurugu za Mwanza na Pamba mbona hamkugomea mechi?
 
Natamani ungekuwa karibu nikukande ngumi utapike daku uliyokula usiku!
Mchezo wa mpira unaanza rasmi kikao cha wanahabari siku moja kabla ya mechi kwa muda uliowekwa na kanuni.
Hivyo hata mazoezi kwa timu ngeni muda utakaochezwa mechi kesho yake zote ni taratibu za hiyo mechi.
Sasa mwenyeji kaleta vibaka wake wanaharibu taratibu za mchezo na Simba katoa tahadhari kuwa jambo hilo lisiposhughulikiwa hawataleta timu uwanjani (kusudio) maana usalama ni mdogo kwa wote. Imagine Wapenzi wa Simba wakijua kuwa wachezaji wao walifanyiwa fujo kutakuwa na usalama uwanjani au vita?
Bodi kwa vile wana akili kuliko hao viongozi wa Yanga wakaahidi uchunguzi wa kina ufanyike.
Sasa mpira utachezwa na faini lazima Yanga atwangwe kwa kushirikisha wahuni.
Baada ya post hii, uzi huu ufungwe. Huyu mtu kamaliza kila kitu. Tungetumia kauli zetu za mtaani, tungesema kala nyama na mifupa yake.
 
" Haki zote zimehifadhiwa" hapo wewe umeelewaje?

Simba ilisema haitahusika na mechi hiyo lakini Siyo yenyewe ndiyo iliyoahirisha mechi.
Hawezi kuelewa hii,wengi wanadhani hii barua iliyowekwa kwenye Instagram ndio hiyo imepelekwa bodi ya ligi,walete barua ya Simba iliyoenda bodi tujadili.
 
Back
Top Bottom