Simba CHALIIIII Morogoro

Simba CHALIIIII Morogoro

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,092
857270_617158014965066_710956929_o.jpg



420353_617157144965153_1356047151_n.jpg
 
[h=3]BAADA YA KULA MBUZI 47 MOROGORO.[/h]






Wakazi wa kijiji cha Bagilo kata ya Kinole halmashauri ya wilaya ya Morogoro wakiwamwangalia simba aliyeuawa na askari wa wanyamapori wa halmashauri hiyo baada ya simba huyo kukamata na kuua mbuzi 47 katika vijiji vitano tofauti vya tarafa ya Mkuyuni mkoani hapa jana.
PICHA NA WWW.JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
Mmiliki wa blog Juma Mtandaa akimkagua Simba huyo mara baada ya kufikishwaa katika ofisi za Maliasi mkoa wa Morogoro muda mfupi kabla ya kuchunwa ngozi kwa mnyama huyo.

Afisa wanyamapori halmashauri ya wilaya ya Morogoro Iddi Ndabagenga akimkagua simba huyo.


Askari wa wanyamapori wa halmashauri ya wilaya ya Morogoro Abdallah Mayingi kushoto na Jontas Sume kulia ndiyo waliohusika katika zoezi la kumua simba huyo.


Hapa zoezi la kumchuna ngozi likiufanyika katika ofisi za maliasili Morogoro.​
 
huyo bwana japo kafa yataka moyo kumsogelea
 
Kichwa cha habari -- nilifikiri simba mchekeshaji :wink:
 
Haya wana moro kazi kwenu,nyama hadharani...
 
Duu hawajamaa wanakibali cha kumiliki nyala za serikali kweli?
 
Mi nilijua wa msimbazi kafungwa na Mtibwa Moro
 
Back
Top Bottom