Morogoro Mjini, Kihonda kwa chambo kuna changamoto ya Barabara kutoka kwa chambo kuelekea Maduka kumi, hili ni Jimbo la Abood, tunapata changamoto kubwa wakati wa mvua.
Vipi Lukobe kunaingilika?
Abood ameacha kutoa lile basi lake chakavu kwa ajili ya misiba? Siku akiacha kuwapa Waluguru basi la bure la kuzikia, ndiyo barabara zote za Manispaa zitatengenezwa kwa kiwango cha lami kama zile barabara za Manispaa ya Iringa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.