Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 16,748
- 28,139
I salute you kinsmen
Kiukweli sisi mashabiki wa Simba tunaumia sana na team yetu.
Licha ya fadlu kutukimbia bado tunazidi kuumia na performance yetu mbovu kwa hawa matapeli wawili Morocco na mwenzie matola.
Kiufupi kadri upepo unavyovuma ndio nyeti za ndege zinaonekana haina haja ya kuficha tena
Fountain gate sote tunajua hali yao, wakifungwa kabla hata ya kuingia uwanjanj ,
Ila simba yangu imecheza papatu papatu sakalanya magimbo na kushinda tatu tu!
Wakati nilitegemea tushinde hata 6! Maana ni sawa na kucheza na kilema wa mguu! Yaani simba mmetutia aibu sana.
Huyo maema mbona tumetapeliwa mapema sana? Mrudisheni kwao huko.
Hata huyu sowah bado sana kiwango ameonyesha kidogo sana hairidhishi.
Mwisho kabisa naona wqzi jumapili tukienda kutolewa na wabotswana wale.
Kwa mtindo huu ni bora kushabikia mlandege ya zenji
Kiukweli sisi mashabiki wa Simba tunaumia sana na team yetu.
Licha ya fadlu kutukimbia bado tunazidi kuumia na performance yetu mbovu kwa hawa matapeli wawili Morocco na mwenzie matola.
Kiufupi kadri upepo unavyovuma ndio nyeti za ndege zinaonekana haina haja ya kuficha tena
Fountain gate sote tunajua hali yao, wakifungwa kabla hata ya kuingia uwanjanj ,
Ila simba yangu imecheza papatu papatu sakalanya magimbo na kushinda tatu tu!
Wakati nilitegemea tushinde hata 6! Maana ni sawa na kucheza na kilema wa mguu! Yaani simba mmetutia aibu sana.
Huyo maema mbona tumetapeliwa mapema sana? Mrudisheni kwao huko.
Hata huyu sowah bado sana kiwango ameonyesha kidogo sana hairidhishi.
Mwisho kabisa naona wqzi jumapili tukienda kutolewa na wabotswana wale.
Kwa mtindo huu ni bora kushabikia mlandege ya zenji