UtdProfile_
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 255
- 310
Mchongo mwingiiiiiiSawa ila bado mna kazi ya kufanya. Kikosi chenu bado kina makosa ya kawaida. Bado sio bora sana
Mchongo mwingiiiiiiSawa ila bado mna kazi ya kufanya. Kikosi chenu bado kina makosa ya kawaida. Bado sio bora sana
Pamoja sana kimsingi mafanikio ya team si kikosi kizuri tu, management ya Team inatakiwa ifanye kazi yake kwa weredi.Hongereni watani mmeonesha u-serious unaotakiwa. tukutane FA na ligi kuu Prof nabi amerudi
Ungepuliza kipyenga basi na roho mbaya yakoSawaaa lkin Mimi nitabishia kuhusu hile penalty mpka nakufaa
Nafikiri ni hadi akiudaka lakini Manula hakudaka ule mpiranenda kasome vizuri back pass law hasa kwenye kipengele cha ni wakati gani kipa haruhusiwi kudaka mpira anaorudishiwa na team mate wake
🤫🤫🤫🤫🤫🤫 Hivi we umepata wap furaha ya kushangilia wakati umebebwa kama mzigoooooUngepuliza kipyenga basi na roho mbaya yako
Duh refa huyu sijui ka interpret vipi lile tukioChaliifrancisco Ule utata ambao hata mimi nilikuambia sijui sababu ya refa kupiga filimbi ni huu
View attachment 2079857
Mnajifariji sana .Hivi we umepata wap furaha ya kushangilia wakati umebebwa kama mzigooooo
Mimi sikuelew hatMnajifariji sana .
Mpira ni mchezo wa makombe, nyinyi komaeni utopolo wenu muone kama una faida.
Hatari sanaa.Kwa faida ya wengi,
shangilia ya leo ya Meddie Kagere inafanana sana na ile ya Rashid Yekini wa Nigeria katika Kombe la Dunia mwaka 1994
View attachment 2079862
View attachment 2079863
Hii mechi azam wamecheza foul mbaya sana mpaka nikahisi ni mapigano naangalia usiku wa vitasa
Hata kama ungekuwa wewe ungempa nani?Simba Wamechukua Tuzo Zote
Goalkeeper Bora
Team Bora
Mfungaji Bora