Simama wewe sikutongozi

Kingine na utapeli umekuwa kwa kasi wanawake tumekuwa waoga sana.
 
Eiyer, kwa nini unisimamishe? Unanijua? Sisimami.
 
Last edited by a moderator:

ndo maana hua siwasimamishi hata kama nna shida kweli.. maana najua ataleta maringo hata buku, ongea na dume mwenzio na atakusaidia cause tunaelewana.. hawa wadada wengi wao wanadhani kila atakayemwita ataongea sh-t, angalia na anayekuita yuko vipi bwana.. unaweza ukawa umeangusha kitu muhimu, unaitwa.. unaanza kubinua midomo na kuongeza mikogo.. shenz typ
 
Afadhal yangu mtu wa kijiweni wote swaiba zangu nikisimamishwa nasimama akiniongelesha kisela hapo saaafi atafurahi na roho yake. binafsi kampani yangu kubwa ni wanaume coz nimezoea kupiga nao story ivo yani makonda wavuta bangi wagumu hao ndio typ zangu ila masharobaro excuse me siwapendi milele amina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…