Tetesi: Simalenga alipanga kumtoa Heri UVCCM

Kabisa bro na amekua kiunganishi kikubwa sana kutafuta mahojiano ya viongozi wakubwa iwe serikalini na nje ya serikali hasa viongozi wa kitaifa na vyama,na amesoma sana tu na hata wakati akiwa Kaole ndo alikua kiongozi pale.
Je mbali na kaole ajawahi kufanya kazi ITV?
 
 
Kumbe UVCCM imevunjwa 2months ago na Meko mlitaka kumpindua Heri! Ndo maana kumetulia sana humu maana mmefukuzwa Lumumba.

Ndugu yangu Simalenga naona umetimuliwa Lumumba ndiyo maana sikuoni hapa Falcon kwenye supu. Mlikuwa na kelele sana UVCCM tulieni sasa!

Naona mmeamua kuja na Aminia255

Simalenga bwana.. Meko kasema hataki UVCCM maana mnaleta migogoro kwenye chama.

Heri na wewe kumbe umepigwa marufuku kuhudhuria vikao vya kamati kuu?

Tulieni sasa maana mlikuwa na kelele sana humu. Haya bosi alikuwa anawapa hela ya bando Simalenga kafukuzwa Lumumba. Mtaelewa tu kidogo kidogo.

#Kigogo2014

View attachment 1204988
Yaani watu walio fail Maisha kwenye uigizaji Kaole ndio wamekuja kujistiri UVCCM na kuwa eti ndio Sehemu ya Think Tank ya nchi.
Eeeeh Mola uturehemu kama nchi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom