misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,641
- 9,338
Je mbali na kaole ajawahi kufanya kazi ITV?Kabisa bro na amekua kiunganishi kikubwa sana kutafuta mahojiano ya viongozi wakubwa iwe serikalini na nje ya serikali hasa viongozi wa kitaifa na vyama,na amesoma sana tu na hata wakati akiwa Kaole ndo alikua kiongozi pale.