Tetesi: Simalenga alipanga kumtoa Heri UVCCM

Kuna msemo unasema "usichezee kazi bali chezea mshahara".Aliyezoea kupewa/ kuomba hawezi kubangaiza.Njooni huku mtaani tubangaize.Sisi veterans.Sisi sugu.Njaa siyo jambo la mzaha .Wote hao watapiga goti muda si mrefu.
 
Kumbe UVCCM imevunjwa 2months ago na Meko mlitaka kumpindua Heri! Ndo maana kumetulia sana humu maana mmefukuzwa Lumumba.

Ndugu yangu Simalenga naona umetimuliwa Lumumba ndiyo maana sikuoni hapa Falcon kwenye supu. Mlikuwa na kelele sana UVCCM tulieni sasa!

Naona mmeamua kuja na Aminia255

Simalenga bwana.. Meko kasema hataki UVCCM maana mnaleta migogoro kwenye chama.

Heri na wewe kumbe umepigwa marufuku kuhudhuria vikao vya kamati kuu?

Tulieni sasa maana mlikuwa na kelele sana humu. Haya bosi alikuwa anawapa hela ya bando Simalenga kafukuzwa Lumumba. Mtaelewa tu kidogo kidogo.

#Kigogo2014

View attachment 1204988

Simalenga ana miaka 50,hivi UVCCM ni miaka mingapi kua mwanachama?

Hilo lichama bwana!
 
Kumbe UVCCM imevunjwa 2months ago na Meko mlitaka kumpindua Heri! Ndo maana kumetulia sana humu maana mmefukuzwa Lumumba.

Ndugu yangu Simalenga naona umetimuliwa Lumumba ndiyo maana sikuoni hapa Falcon kwenye supu. Mlikuwa na kelele sana UVCCM tulieni sasa!

Naona mmeamua kuja na Aminia255

Simalenga bwana.. Meko kasema hataki UVCCM maana mnaleta migogoro kwenye chama.

Heri na wewe kumbe umepigwa marufuku kuhudhuria vikao vya kamati kuu?

Tulieni sasa maana mlikuwa na kelele sana humu. Haya bosi alikuwa anawapa hela ya bando Simalenga kafukuzwa Lumumba. Mtaelewa tu kidogo kidogo.

#Kigogo2014

View attachment 1204988
Kwani Simalenga ana umri gani?......... au ndio yale yale ya akina " kibabu" Sadifa wa Zanzibar!!!
 
Simon Simalenga ndo huyo mwenye suti nyeusi kulia. Alikua mwigizaji wa Kaole na akina Muhogo Mchungu, miaka hiyo akiitwa "Metu". Baadae akaajiriwa na ile redio maarufu aliyovamia Bashite.

Sina uhakika kama bado yuko kwenye redio hiyo mpaka leo! By the way umri wake sio wa kuwa UVCCM.
Simalenga ni Mkurugenzi wa mahusiano na Itifaki pale Clouds media......yaani ni boss wa akina Ngoma hana njaa kabisa huyo anavuta takribani 8.5mil per month!
 
Simon Simalenga ndo huyo mwenye suti nyeusi kulia. Alikua mwigizaji wa Kaole na akina Muhogo Mchungu, miaka hiyo akiitwa "Metu". Baadae akaajiriwa na ile redio maarufu aliyovamia Bashite.

Sina uhakika kama bado yuko kwenye redio hiyo mpaka leo! By the way umri wake sio wa kuwa UVCCM.
Kaole alikuwa anaitwa Dimela aka Mr. Dimela, Metu ni jamaa mwingine tu..

Sikufahamu kama jamaa ni UVCCM, maana kwenye page zake alikua anasifia teuzi za watu nk bila kujionesha kuwa ni UVCCM
 
umri wake na matendo yake ni kama Le Mutuz
Simon Simalenga ndo huyo mwenye suti nyeusi kulia. Alikua mwigizaji wa Kaole na akina Muhogo Mchungu, miaka hiyo akiitwa "Metu". Baadae akaajiriwa na ile redio maarufu aliyovamia Bashite.

Sina uhakika kama bado yuko kwenye redio hiyo mpaka leo! By the way umri wake sio wa kuwa UVCCM.
 
Simalenga ni Mkurugenzi wa mahusiano na Itifaki pale Clouds media......yaani ni boss wa akina Ngoma hana njaa kabisa huyo anavuta takribani 8.5mil per month!
8.5m clouds ?
Wewe ndio umekariri......au ni wivu tu unakusumbua!

Hela ndefu wewe unaijua Clouds au unaisikia tu?!!
Ile clouds ya boss Sheba ? Na HR kitoi wampe 8.5m
Hivi unadhani salary ya 8.5M per month ni sawa na kwenda msalani?? Hiyo ni pesa ndefu sana kwa Mawingu, Acha kukalili maneno ya vijiweni
Hahahaha
 
Simon Simalenga ndo huyo mwenye suti nyeusi kulia. Alikua mwigizaji wa Kaole na akina Muhogo Mchungu, miaka hiyo akiitwa "Metu". Baadae akaajiriwa na ile redio maarufu aliyovamia Bashite.

Sina uhakika kama bado yuko kwenye redio hiyo mpaka leo! By the way umri wake sio wa kuwa UVCCM.
Kitu kama bado PR wa mjengoni pale CMG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom