Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,123
- 39,337
Magu mchoyo sana
wamebaki yatima kabisa!
wamebaki yatima kabisa!
Watu wako field kutafuta kura nyie mnakuja na porojo
Kumbe UVCCM imevunjwa 2months ago na Meko mlitaka kumpindua Heri! Ndo maana kumetulia sana humu maana mmefukuzwa Lumumba.
Ndugu yangu Simalenga naona umetimuliwa Lumumba ndiyo maana sikuoni hapa Falcon kwenye supu. Mlikuwa na kelele sana UVCCM tulieni sasa!
Naona mmeamua kuja na Aminia255
Simalenga bwana.. Meko kasema hataki UVCCM maana mnaleta migogoro kwenye chama.
Heri na wewe kumbe umepigwa marufuku kuhudhuria vikao vya kamati kuu?
Tulieni sasa maana mlikuwa na kelele sana humu. Haya bosi alikuwa anawapa hela ya bando Simalenga kafukuzwa Lumumba. Mtaelewa tu kidogo kidogo.
#Kigogo2014
View attachment 1204988
Kwani Simalenga ana umri gani?......... au ndio yale yale ya akina " kibabu" Sadifa wa Zanzibar!!!Kumbe UVCCM imevunjwa 2months ago na Meko mlitaka kumpindua Heri! Ndo maana kumetulia sana humu maana mmefukuzwa Lumumba.
Ndugu yangu Simalenga naona umetimuliwa Lumumba ndiyo maana sikuoni hapa Falcon kwenye supu. Mlikuwa na kelele sana UVCCM tulieni sasa!
Naona mmeamua kuja na Aminia255
Simalenga bwana.. Meko kasema hataki UVCCM maana mnaleta migogoro kwenye chama.
Heri na wewe kumbe umepigwa marufuku kuhudhuria vikao vya kamati kuu?
Tulieni sasa maana mlikuwa na kelele sana humu. Haya bosi alikuwa anawapa hela ya bando Simalenga kafukuzwa Lumumba. Mtaelewa tu kidogo kidogo.
#Kigogo2014
View attachment 1204988
Simalenga ni Mkurugenzi wa mahusiano na Itifaki pale Clouds media......yaani ni boss wa akina Ngoma hana njaa kabisa huyo anavuta takribani 8.5mil per month!Simon Simalenga ndo huyo mwenye suti nyeusi kulia. Alikua mwigizaji wa Kaole na akina Muhogo Mchungu, miaka hiyo akiitwa "Metu". Baadae akaajiriwa na ile redio maarufu aliyovamia Bashite.
Sina uhakika kama bado yuko kwenye redio hiyo mpaka leo! By the way umri wake sio wa kuwa UVCCM.
Hiyo nayo ina mwisho wakeWatu wako field kutafuta kura nyie mnakuja na porojo
Kaole alikuwa anaitwa Dimela aka Mr. Dimela, Metu ni jamaa mwingine tu..Simon Simalenga ndo huyo mwenye suti nyeusi kulia. Alikua mwigizaji wa Kaole na akina Muhogo Mchungu, miaka hiyo akiitwa "Metu". Baadae akaajiriwa na ile redio maarufu aliyovamia Bashite.
Sina uhakika kama bado yuko kwenye redio hiyo mpaka leo! By the way umri wake sio wa kuwa UVCCM.
Simalenga ni Mkurugenzi wa mahusiano na Itifaki pale Clouds media......yaani ni boss wa akina Ngoma hana njaa kabisa huyo anavuta takribani 8.5mil per month!
Wewe ndio umekariri......au ni wivu tu unakusumbua!Hivi unadhani salary ya 8.5M per month ni sawa na kwenda msalani?? Hiyo ni pesa ndefu sana kwa Mawingu, Acha kukalili maneno ya vijiweni
Meko amefukuza Tiss wake?? hahahaa
na ni moto kweli kweli kiasi ukitumbukiza kichwa ili ubatizwe kinayeyuka hahahahah.... LB7 ni ukweli imeadimika sana hata hapa JF.... Kumbe ule ubatizo wa moto unaendelea kimyakimya
mkuu achana na njaa inakamata vibaya na kuulegeza mwili kisawa sawa.Kumbe ndo maana kupe wao hawamo tena humu wamemuachia mteule Wakudadavuwa amdadavuwe jiwe peke ake?
Wapi buku 7 FC Barbarosa comte YEHODAYA jingalao at al?
Simon Simalenga ndo huyo mwenye suti nyeusi kulia. Alikua mwigizaji wa Kaole na akina Muhogo Mchungu, miaka hiyo akiitwa "Metu". Baadae akaajiriwa na ile redio maarufu aliyovamia Bashite.
Sina uhakika kama bado yuko kwenye redio hiyo mpaka leo! By the way umri wake sio wa kuwa UVCCM.
8.5m clouds ?Simalenga ni Mkurugenzi wa mahusiano na Itifaki pale Clouds media......yaani ni boss wa akina Ngoma hana njaa kabisa huyo anavuta takribani 8.5mil per month!
Ile clouds ya boss Sheba ? Na HR kitoi wampe 8.5mWewe ndio umekariri......au ni wivu tu unakusumbua!
Hela ndefu wewe unaijua Clouds au unaisikia tu?!!
HahahahaHivi unadhani salary ya 8.5M per month ni sawa na kwenda msalani?? Hiyo ni pesa ndefu sana kwa Mawingu, Acha kukalili maneno ya vijiweni
Kitu kama bado PR wa mjengoni pale CMGSimon Simalenga ndo huyo mwenye suti nyeusi kulia. Alikua mwigizaji wa Kaole na akina Muhogo Mchungu, miaka hiyo akiitwa "Metu". Baadae akaajiriwa na ile redio maarufu aliyovamia Bashite.
Sina uhakika kama bado yuko kwenye redio hiyo mpaka leo! By the way umri wake sio wa kuwa UVCCM.
Simalenga ni Mkurugenzi wa mahusiano na Itifaki pale Clouds media......yaani ni boss wa akina Ngoma hana njaa kabisa huyo anavuta takribani 8.5mil per month!
......hana njaa kabisa huyo anavuta takribani 8.5mil per month!