Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,871
- 37,644
To be honest nilishawahi kufanya maombi na hawa watu!
Yaani sikuwaelewa kabisa,kwanini kwenye maombi halitajwi jina la Yesu wala damu ya Yesu? Instead anatajwa mjumbe WA mapenz ya mungu sijui eliya Mara tebethi,Mara damu ya haki kweli na hukumu,ndo IPI hyo?!
Sikuelewa na nikaenda kuomba toba kwa kufanya nao hayo maombi manaake unaweza kuingizwa chaka kuabudu usichokujua hivihiv
Yaani sikuwaelewa kabisa,kwanini kwenye maombi halitajwi jina la Yesu wala damu ya Yesu? Instead anatajwa mjumbe WA mapenz ya mungu sijui eliya Mara tebethi,Mara damu ya haki kweli na hukumu,ndo IPI hyo?!
Sikuelewa na nikaenda kuomba toba kwa kufanya nao hayo maombi manaake unaweza kuingizwa chaka kuabudu usichokujua hivihiv