Siloam church

Siloam church

Ingia katika maombi upate majibu maana maswali yako sidhani kama humu utapata majibu sahihi...
 
Uislamu nao una madhehebu yanayotofautiana kiimani ila sio mengi kama wakristo.Hata hapa Tanzania yapo.Na mengi ni ya zamani sana miaka ya huko nyuma sana tofauti na ukristo ambamo kila siku madhehebu yenye imani mpya huibuka.
Kwa lugha rahisi madhehebu ya kiislamu kuna wale akina Answar SUNNA na wale akina BAKWATA.Pia kuna mabohora,makadiani n.k
Ukifikia kwenye mfungo ndio utajua kuwa kuna madhehebu ya kiislamu Tanzania pia yanayotofautiana.

Uwe unauliza kwanza ndugu yangu! BWAKATA sio dhehebu bali ni Taasisi ilo kwanza lazima uielewe, pili, Hao mabohora na makadiani sio waislam kwasababu hawafuati mafundisho ya uislam na tatu, Answar Sunah sio dhehebu bali ni sifa ambayo kila mwislam anatakiwa awe nayo,(Maana yake ni kunusuru ama kuendeleza suna za mtume,) kwani hawa ni waumini wanaouhuisha suna za Mtume Muhammad (s.a.w) na kila kitu wanachokifanya kipo ndani ya mafundisho, na hata huo unaouita utofauti kipindi cha kufunga ama kufungua, kila kundi liko sahihi kwa maana limefuata mafundisho, mf. mafundisho yanatoa ruhusa kufungua tunapouona mwezi, ama kusikia kwa ushahidi usiokuwa na shaka, ama kukamilisha siku. hivyo ukifuata moja kati ya hayo utakuwa haujakosea. Umeelewa sasa.
 
Uwe unauliza kwanza ndugu yangu! BWAKATA sio dhehebu bali ni Taasisi ilo kwanza lazima uielewe, pili, Hao mabohora na makadiani sio waislam kwasababu hawafuati mafundisho ya uislam na tatu, Answar Sunah sio dhehebu bali ni sifa ambayo kila mwislam anatakiwa awe nayo,(Maana yake ni kunusuru ama kuendeleza suna za mtume,) kwani hawa ni waumini wanaouhuisha suna za Mtume Muhammad (s.a.w) na kila kitu wanachokifanya kipo ndani ya mafundisho, na hata huo unaouita utofauti kipindi cha kufunga ama kufungua, kila kundi liko sahihi kwa maana limefuata mafundisho, mf. mafundisho yanatoa ruhusa kufungua tunapouona mwezi, ama kusikia kwa ushahidi usiokuwa na shaka, ama kukamilisha siku. hivyo ukifuata moja kati ya hayo utakuwa haujakosea. Umeelewa sasa.

Waislamu wa la boko haramu na waislamu wa Tanzania wana imani moja? Kama wako tofauti tunasema wale wana madhehebu yao ndani ya uislamu tofauti na dhehebu lingine la uislamu lililoko Tanzania.Dini moja,mtume mmoja imani tofauti kwenye vipengele fulani.Vile vipengele tofautishi ndivyo vinaunda dhehebu.

Dhehebu ni kundi linaloamini tofauti na dhehebu lingine yaweza kuwa ndani ya eneo moja.Sasa kidini mtu mwingine akisema Ramadhani fungua jumapili mwingine akasema jumatatu hapo wataalamu wa dini husema kuna madhehebu mawili tofauti ya dini moja.Kuna lile dhehebu la fungua jumapili na lile la fungua jumatatu.Na hata kukitokea ugomvi wasajili wa dini serikali nyingi huamua kusajili watu wa aina hiyo kama dini tofauti na kila mmoja kumpa hati yake ya usajili.
 
tatizo wewe huelewi toka mwanzo wakati wa mitume imani ilikuwa moja ila kulikuwa na makusanyiko ktk nyumba tofauti na hii ndo inatakiwa siyo watu wako maelfu hawajuani kila mtaa eneo kulikuwa na kusanyiko mfano kanisa la Louse mamaake Timotheo na pia ukisoma vizuri kuikuwa na makusanyiko kikabila mf wayunani, kanis ala efeso, filipi, korintho hii ni kutokana na mila umbali na desturi lakini wakiamini kitu kimoja. Sasa hivi kuna Biblia ndio muongozo yoyote anayefuata Biblia na kuamini Yesu alimuokoa ni sahihi ila kuna izi imani za Yesu ni nabii, mara Yehova pekee, mara hakuna utatu ktk Mungu hapo kuna walakini.

Aliyekuambia hayo ni Makabila ni nani...??? Hebu wacha kukurupuka na vitu vya ajabu......KAma hujui uliza maana ulichoandika ni kichekesho..
 
Waislamu wa la boko haramu na waislamu wa Tanzania wana imani moja? Kama wako tofauti tunasema wale wana madhehebu yao ndani ya uislamu tofauti na dhehebu lingine la uislamu lililoko Tanzania.Dini moja,mtume mmoja imani tofauti kwenye vipengele fulani.Vile vipengele tofautishi ndivyo vinaunda dhehebu.

Dhehebu ni kundi linaloamini tofauti na dhehebu lingine yaweza kuwa ndani ya eneo moja.Sasa kidini mtu mwingine akisema Ramadhani fungua jumapili mwingine akasema jumatatu hapo wataalamu wa dini husema kuna madhehebu mawili tofauti ya dini moja.Kuna lile dhehebu la fungua jumapili na lile la fungua jumatatu.Na hata kukitokea ugomvi wasajili wa dini serikali nyingi huamua kusajili watu wa aina hiyo kama dini tofauti na kila mmoja kumpa hati yake ya usajili.

Muislam ni muislam tu, Na mafundisho yake ni Qur-an, Hadith na Sunnah za Mtume Muhammad (S.A.W), kundi ni moja tu, nyumba ya ibada ni moja tu, Hao wanaojitambulisha kwa madhehebu mf. mimi kadiani, mimi ahmadya, sijui mimi bohora hao si miongoni mwa waislam kwani hawafuati mafundisho ya uislam wao wanamafundisho yao na majumba yao ya ibada. Hivyo ndivyo ilivyo. Natumaini umelewa sasa.
 
Alimchezea mungu kisha mungu akamuonyesha ukuu wake
Kujitangaza yeye ndiye aliyemuua shetani mwaka 2008 hapo sasa alizidi. Hakujua hata Musa hakugusa Kanani kwa kosa la kupiga chini fimbo na kuwaambia wana Israel nimewapa maji badala ya kusema Mungu amewapa Maji.
 
Muislam ni muislam tu, Na mafundisho yake ni Qur-an, Hadith na Sunnah za Mtume Muhammad (S.A.W), kundi ni moja tu, nyumba ya ibada ni moja tu, Hao wanaojitambulisha kwa madhehebu mf. mimi kadiani, mimi ahmadya, sijui mimi bohora hao si miongoni mwa waislam kwani hawafuati mafundisho ya uislam wao wanamafundisho yao na majumba yao ya ibada. Hivyo ndivyo ilivyo. Natumaini umelewa sasa.

Huo ni mtizamo wako ambao inabidi niuheshimu maana ni mtizamo wako ambao una hati miliki nao.Akili ni nywele kila mtu ana zake.Kukupinga kwenye mtizamo wako nitakuwa nakuonea.Ni haki yako kuwa na mtizamo huo japo sikubaliani nao na mimi kwa mtizamo wangu.Tukubaliane kutokubaliana kwenye hili.
 
Wewe nawe ni Mhubiri wa Uwongo, uhuru unaousema ni upi? Je wanaowakata albino viungo vyao na kuwauwa nao wako huru kufanya hivyo? Wazinzi nao wako huru kufanya hivyo? Matajiri waliopata utajiri kwa njia za kishirikina nao wako huru katika maisha yao?

Ndugu acha kupotosha kwa ujinga wako, soma Biblia vizuri uelimike ujinga ukutoke kuhusu uhuru unaozungumziwa kwenye Bible.

tuko huru na dhambi,Yesu katuweka huru,dhambi haipo maana yesu amelipa garama zake.

Damu ya yesu imetutakasa kabisa na kutuweka huru,Yesu katupa uhuru wa kufanya chochote.

Ukisema kuna dhambi uniambie Yesu alikuja kufanya nini?

Naupenda ukristo kwa sababu moja tu nayo ni kwamba zambi zangu zote zilishabebwa na Mtu mmoja anaitwa Yesu hivyo niko huru.
 
Huko nikujidanganya...... maandiko yanasema baada ya kifo ni hukumu.Sasa kama hakuna dhambi hukumu ya nini?

Hukumu kwa wale wasiokubali kama Yesu alibeba dhambi zao.

Sisi tunaomkubali Yesu hatuna hukumu yoyote maana Yesu alishajitoa kubeba dhambi zetu.

Biblia inasema ukimkubali mwana unakua haujahukumiwa,ukimkataa unakua umehukumiwa.

Hukumu ni kwa wale wasiomkubali yesu.
 
Hakuna kutoposha,huo ndio ukweli,hakuna dhambi duniani. kama kuna dhambi yesu alikuja kufanya nini? Labda uniambie kwamba yesu alikuja kutalii.

Hebu twende na maandiko mkuu...

Kamata hii
1 Yohana 1:8 "Tukisema kwamba hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe, wala kweli haimo ndani mwetu"

Sasa Mkuu hebu nikuulize unajua maana ya TOBA....??? Kwanini twahimizwa kufanya toba kila siku ikiwa dhambi haman Duniani...???

Vipi Yesu alopowaambia wafuasi wake kuwa hakuna asiye na dhambi ila Baba yangu wa Mbinguni...??
 
Huo ni mtizamo wako ambao inabidi niuheshimu maana ni mtizamo wako ambao una hati miliki nao.Akili ni nywele kila mtu ana zake.Kukupinga kwenye mtizamo wako nitakuwa nakuonea.Ni haki yako kuwa na mtizamo huo japo sikubaliani nao na mimi kwa mtizamo wangu.Tukubaliane kutokubaliana kwenye hili.

Huu sio mtazamo wangu ndiyo mafundisho yanavyotaka, labda nikushauri kitu, jaribu kuwa unasoma soma mambo ya dini tofauti naamini utagundua kitu tu, kwani dini si jambo la kurithi bali ni kuthibitisha kile unachokiamini kama ni sahihi au la.
 
Hebu twende na maandiko mkuu...

Kamata hii
1 Yohana 1:8 "Tukisema kwamba hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe, wala kweli haimo ndani mwetu"

Sasa Mkuu hebu nikuulize unajua maana ya TOBA....??? Kwanini twahimizwa kufanya toba kila siku ikiwa dhambi haman Duniani...???

Vipi Yesu alopowaambia wafuasi wake kuwa hakuna asiye na dhambi ila Baba yangu wa Mbinguni...??

asante kwa ufafanuzi mzuri...nimejifunza pana watu wanabisha tu bila kujua...
kama dhambi hakuna...kitabu cha ufunuo ni cha kazi gani?!!
pana mtu mmoka alikuwa anasema chochote unachambiwa na mchungaji au mtume nk ni lazima umuulize maswali kama kwa nini+kivipi nk na kukaa tu kama mfu.

kuna haja ya #unknown aje na andiko kitakalo justify hayo madai yake. kwamba hakuna dhambi duniani.

Yesu amekuja kutoa second chance (nafasi ya upendeleo) ili watu tutubu.
 
Hukumu kwa wale wasiokubali kama Yesu alibeba dhambi zao.

Sisi tunaomkubali Yesu hatuna hukumu yoyote maana Yesu alishajitoa kubeba dhambi zetu.

Biblia inasema ukimkubali mwana unakua haujahukumiwa,ukimkataa unakua umehukumiwa.

Hukumu ni kwa wale wasiomkubali yesu.

so wamaanisha waliokubali hayo maandiko usemayo hata wakitenda maovu hukumu hawahusu?!
 
Hebu twende na maandiko mkuu...

Kamata hii
1 Yohana 1:8 "Tukisema kwamba hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe, wala kweli haimo ndani mwetu"

Sasa Mkuu hebu nikuulize unajua maana ya TOBA....??? Kwanini twahimizwa kufanya toba kila siku ikiwa dhambi haman Duniani...???

Vipi Yesu alopowaambia wafuasi wake kuwa hakuna asiye na dhambi ila Baba yangu wa Mbinguni...??

Yesu aliyasema hayo kabla hajafa,alipokufa tu dhambi ikaisha.
 
Back
Top Bottom