Siloam church

Siloam church

Mungu ni roho wanaomwabudu yawapasa kumwabudu katika roho!
 
Tatizo lako unatoa majibu ya mafungu kama unaeuza mboga za majani! Alieleta mada nikamjibu alisema kanisa lake ndilo pekee liko pure nika respond kwa kumweleza misimamo miovu iliyoko huko anapopasema sasa na wewe Ukisema kuhusu uzinzi na ulevi makanisani chambua mfano Siloam au kanisa lingine lichambue moja moja kwa vile mission zao ni tofauti.Anachofundisha Gwajima ni tofauti na mzee upako na kila mmoja anatoa ujumbe tofauti
Misimamo miovu ipi we paka? kanisa linaruhusu uzinzi? umesoma wapi hiyo ? tatizo mnaongea ongea tu wakati ata kanisa lenyewe hamlijui.
 
Umesikia? Kwa hiyo unafanyia kazi hear say? Kwa taarifa yako hakuna Yesu ila ni KRISTO anatawala! Kwa vile wewe mrumi na babu zako mlishiriki kumuwamba mtini mkijua mmemuua Yesu kumbe aliefufuka ni KRISTO anaetawala kwa uhalisia! Ole wako ewe kerubi wa kirumi!

Ndio nini sasa hicho? yani kutoa Yesu na kubakiza Kristo. Kama ni kuugua kweli nimeanza kuamini. Mara mnang'oa macover ya bibilia. Yani hapo kanisani kwenu ata asilimia moja hakuna wanojua historia ya bibilia.
 
Wakuu nijuavyo mimi ni kuwa WOKOVU ndicho kitu cha muhimu zaidi kuliko DINI.Hii ni kwasababu Wokovu ni mpango wa MUNGU kumpata mwanadamu wakati DINI ni mipango,makubaliano na utaratibu wa wanadamu kumwabudu MUNGU.
-Na sidhani kuwa MUNGU anaconsider sana dini zetu zaidi ya mioyo yetu kuiokoa kwa njia ya Yesu Kristo.
 
Ndio nini sasa hicho? yani kutoa Yesu na kubakiza Kristo. Kama ni kuugua kweli nimeanza kuamini. Mara mnang'oa macover ya bibilia. Yani hapo kanisani kwenu ata asilimia moja hakuna wanojua historia ya bibilia.

Pole sana!
 
Misimamo miovu ipi we paka? kanisa linaruhusu uzinzi? umesoma wapi hiyo ? tatizo mnaongea ongea tu wakati ata kanisa lenyewe hamlijui.

Una aibu? Kama umeishiwa hoja unaanza matusi ya nini? Au wewe ni mmoja wa wauza unga unaetoa sadaka akifikiri MUNGU atakubariki kwa udhalimu? Pole sana! kamwe siwezi kurudisha tusi kwa tusi maana naelewa nimeugusa mzimu wako
 
Pole ni kwako wewe mfuasi wa Shetani Munuo ambaye yupo Jehanam muda huu akiteketea...

Ah haaaa! Such a funny character like his name! Kimtiacho mtu unajisi ni kile kimtokacho! Mawazo najisI hutoa matamshi najisi! Soma Methali 18:2 ili kukupa kwa ufasaha ushauri niliokupa jana.
 
wewe ni nabii wa uongo tena ni mtu hatari sana kwa kuwadanganya watu kuwa hakuna dhambi duniani.
Anyway ukristo una mambo mengi,hivyo kutoa fursa vikundi vingi vya kidini kuanzishwa wakiwa na tafsiri yao wakiwemo masalia,babu wa loliondo,davidians etc.

Nachoupendea ukristo ni jambo moja tu,unafundisha kwamba Yesu alifuta dhambi zote kwa hiyo hakuna dhambi duniani. Tuko huru kufanya chochote maana hakuna dhambi,Yesu alilipa garama ya tukifanyacho. Thank you Jesus.
 
Nahisi kuchoka sasa duuuuuh!!

Yohana 3:16

Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanae wa pekee ili kila amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele.

Haya mambo ya Nabii, Dini yangu, Kanisa langu ni kilele na mbwembwe zetu tu wanadamu wala Mungu hafungwi/ashurutishwi kufuata ufahamu na matakwa yetu; bali huliangalia Neno lake kama nilivyonukuu hapo juu.
 
Ah haaaa! Such a funny character like his name! Kimtiacho mtu unajisi ni kile kimtokacho! Mawazo najisI hutoa matamshi najisi! Soma Methali 18:2 ili kukupa kwa ufasaha ushauri niliokupa jana.

Yani we mfuasi wa lusifer marehemu ndo wakunipa mm ushauri...???

Huyu laana Munuo aliyewapotosha ndo kawafanya vichaa....na ushauri niliokupa ni kwenda cliniki ya magonjwa ya bichaa mapemaa..
 
Yani we mfuasi wa lusifer marehemu ndo wakunipa mm ushauri...???

Huyu laana Munuo aliyewapotosha ndo kawafanya vichaa....na ushauri niliokupa ni kwenda cliniki ya magonjwa ya bichaa mapemaa..

Mfuasi wa shaitwan ni wewe unaeogopa kusoma NENO! Pole nimegundua naongea na kerubi sijibu tena chochote utakachoandika kerubi mkubwa wee!
 
Umesikia? Kwa hiyo unafanyia kazi hear say? Kwa taarifa yako hakuna Yesu ila ni KRISTO anatawala! Kwa vile wewe mrumi na babu zako mlishiriki kumuwamba mtini mkijua mmemuua Yesu kumbe aliefufuka ni KRISTO anaetawala kwa uhalisia! Ole wako ewe kerubi wa kirumi!

Daah..........huu ni upotovu wa hali ya juu sana! Kwa hiyo Yesu hakufa? Hivi hilo neno mnalisoma huko ni lipi wenzetu linalowafanya muwe hivyo.........................Kwa hiyo Yesu na Kristo ni watu wawili tofauti?????

Mweee............hi ni mbaya sana, weka mbali na watoto kwa kweli..........................lol
 
Mfuasi wa shaitwan ni wewe unaeogopa kusoma NENO! Pole nimegundua naongea na kerubi sijibu tena chochote utakachoandika kerubi mkubwa wee!
.

Matusi haya yanaashiria lipo tatizo moyoni.
 
Kumbuka kwamba mimi sikulazimishi uamini kile ninachokiamini mimi isipokuwa najaribu kukuelewesha uelewe hili jambo kwa mujibu wa uislam, nimekutolea mifano mingi lakini naona bado hunielewi, labda nikwambie tu kwenye mafundisho ya uislam hakuna mkanganyiko kila kitu kiko clear, hakuna aya zinazokinzana, wala hakuna hadith na sunnah za mtume (s.a.w) zinazokinzana na Qur-an, mbali na hilo, wanazuoni wote wa kiislam toka enzi hizo hadi sasa hakuna mwanazuoni aliyetafsiri au kutoa mafundisho yanayokinzana na Qur-an, Hadith na Sunnah za Mtume (S.A.W), hivyo wewe ukileta jambo jipya kwenye uislam lazima watu watakushangaa na wewe mwenyewe utakuwa umepingana na mafundisho ya dini na kwa maana hiyo utakuwa umejitoa kwenye uislam kwasababu utakuwa umeanzisha mafundisho yako mwenyewe. Mf. uislam unasema Mtume Muhammad (S.A.W) ndio mtume wa mwisho na hatakuja mtume mwingine hadi kiama kinasimama, (mwisho wa maisha ya dunia), lakini sasa kuna hao wewe unaowaita kuwa ni madhebu ya kiislam akina ''Shia'' wao wanapinga qur-an na kusema mitume inaendelea sasa hao ni waislam? mi nataka uilewe hivi kwanza, sio suala la kukulazimisha au kupigana ngumi au kukubaliana kutokubaliana, kwanini tusikubaliane wakati mambo yako wazi.

Sawa, kwa nini na nini haya makundi SUNNI, SHIITE, SHIA, SUFII na AHIMADIYA?
 
Unaonekana wewe ni mrumi tena wa kurithi laana ambayo itakutafuna kwa vile mpaka muda huu unaamini mapokeo ya kirumi bila kutafiti. Hiyo research yako tayari itakuwa subjective na majibu yake utayapika! Tatizo lako naona unataka majibu yasiyogusa miungu yako ulioirithi! Navkwa ulivyo ukiingia kwenye madhabahu na vinyago vyako vya dini ya kirumi havitakiruhusu! Kama hauamini nenda madhabahuni ndi utajua nani shaitwan na nani ni mkamilifu. Huo utafiti wako Usiute research bali uite jina lingine kwa vile haukidhi vigezo vya research
Mimi si mrumi ila nimechoka kufanya church shopping ninatafuta kweli ilipo kwani najua ukweli ni mmoja. Nimechoka kupelekwa pelekwa kwa mambo ya kuambiwa. Ninautafuta mwenyewe iwe kwa unaowaita warumi , nyinyi siloam , uislam nk mpaka nitaupata na nitatulia. Sasa wewe badala ya kunisaidia unatoa tu kashfa. Kashfa nyingi mimi nimeanza kugundua ni propaganda kwa hiyo huwa sisikilizi mpaka nitafiti na nijiridhishe zina mashiko otherwise, inaonekana ata hujielewi ni stress na imani hafifu imekupeleka huko ulipo.
 
Wapendwa Shalom, Ninaorodhesha machache ninayoyafahamu kuhusu Pool of Siloam Church ambalo lilianza mwaka 2003. (Kwa maoni yangu walianza vizuri hadi ilipofika mwaka 2008 – ndipo U-Turn ilipotokea). Pia unaweza kusoma juuya wanachokiaminikuhusiana naMWENENDO WA KANISAkwenye link hii; http://The Pool of Siloam Church - Shika neno, tenda neno MAMBO MACHACHE YA KANISA LA KIZAZI CHA NNE HAYA HAPA.

1. Pool of Siloam ilianzishwa rasmi 2003, na Mtumishi N. Munuo

2. Mafunuo ya Nabii Eliya anatambulika kuwa ni sahihi hutakiwi kuyahoji wala kuyaoanisha na Maandiko Matakatifu unapaswa kuyatii. Mojawapo ya ufunuo /maelezo ya ajabu ni hili Shetani aliuwawa naNabii Eliya Novemba2008. Hapa ndipo kwenyevile vitisho ya kuwabubu, tasa kufa n.k.

3. Imani yao imejengwana kuongozwa katikaufunuo wa majira nanyakati na jambo hili nimuhimu sana. Hivi sasawapo katika kizazi channe. Kizazi cha kwanzaAdamu mpaka gharika,kizazi cha pili Nuhu hadi Yesu, kizazi cha tatu kutoka Yesu hadi Februari 2012.

Kizazi channe kutoka Machi 2012 na kuendelea. Kwamba kwa kutumia Kalenda inayotumika sasa (Mwasisi wake akiwa ni Gregory – mwaka 1582) kanisa ilikuwa chini yautumwa kwa miaka 430 kama Israel utumwani Misri. Kuanzia 2008 watuwa kizazi cha nne wanakalenda yao.

4. Kanisa hivi sasa lipokatika kipindi cha miaka1000 iliyoanza mweziMachi 2012 (hii ni baadaya kupita kwa miaka6000. Hesabu yao ni kuwamiezi yote (12) ina siku28 na mwaka una siku336). Yaani wenzetutayari wamesha-spentmwaka mmoja katika ilemiaka 1000 ya utawalawa Yesu hapa duniani,kama iliyoandikwa katikaUFUNUO 20:1-5.

5. Kwa kuwa Kristo anaishi na Kanisa hapa duniani hivyo hakuna magonjwa, dhiki,kudharauliwa na maonevu yote. Ni siku ya saba yaani miaka 1000 ya kustarehe na kutawala. Huenda hapa ndipo ile concept ya kutokufa inapokuja / ingia / attach.

6. Waumini waohutakiwa kubadilishahadi majina yao ya ukoo.Kwa sababu majina hayoyanabeba laana, kishamuumini hupewa familianyingine (miongoni mwa washirika) na hutengwana wazazi na ndugu wa kimwili.

7. Maombi yao huombakwa kushikamanisha namadhabahu ya Siloam /Mungu wa nabii Eliya.

8. Wanapomfanyia Deliverance mtu (mmoja wa wahudumu –huingiwa na pepo/mzimu ambao unamsumbua anayeombewa na kumweleza kilichokuwa kinamfunga). Biblically,mtu mwenye pepo/mizimu yeye ndiye hupagawa na kuongea, kisha huamuriwa kutoka ndani ya mtu. Kila nilichokieleza hapo juu ina tafasiri yake ya ziada ambayo yeyote akipenda na akifunguka anaweza kutufafanulia. source: https://strictlygospel.wordpress.com/2013/04/08/kanisa-la-siloamu/

Mnapeana Unabii ili mtafune Kondoo kwa raha zenu sio?

We mnyonga viuno Una laana.

Mnapigana mimba makanisani km Hakuna Serikali?
Hivi kweli hizi Ebola zitamalizika?
 
Back
Top Bottom