Silali usiku: Mke wangu ana 'gubu'

Silali usiku: Mke wangu ana 'gubu'

Wakuu wazima?

Mke wangu amekuwa mtu wa kuongea maneno yasiyoisha.

Wakati mwingine mnaweza mkapishana na mkaombana msamaha yakaisha lakini anakuja anakumbushia tena.

Mpaka nimeamua kuandika hapa yamenishinda, jana usiku sijalala na sio jana tu karibia kila siku silali yani anaongea mameno yasiyoishaa.

Naombeni mnishauri wakuu, nifanyaje mke wangu asiwe na gubu? Maana hapa nilipo kichwa kinauma maana sijalala
Mke wako au mume wako? Maan naona una jina la kike na picha pia ambayo haielezi uhalisia wako. PiaHaujaeleza gubu linatokana na nini na kwanza gubu ndiyo kitu gani? Ukiona hivyo ujue hapendezwi na wewe kutokuwa na nyumba ndogo.
 
Jamaa angu mke wake alikua hivyo alichokifanya jamaa,anapiga tungi mpk saa 8 akirudi ni kulala tu, baadae akahamishia baadhi ya nguo zake kwenye gari akilewa ni kubadilishia nguo huko huko kwenye gari Afu anaingia ofisini, finally akaenda kuishi geto chumba kimoja hapo sinza afu kamwachia mkewe bonge la nyumba. Ananiambia geto panampa amani mpk amenenepa sasa. Mkewe ni full kulialia jamaa arudi home
 
Wakuu wazima?

Mke wangu amekuwa mtu wa kuongea maneno yasiyoisha.

Wakati mwingine mnaweza mkapishana na mkaombana msamaha yakaisha lakini anakuja anakumbushia tena.

Mpaka nimeamua kuandika hapa yamenishinda, jana usiku sijalala na sio jana tu karibia kila siku silali yani anaongea mameno yasiyoishaa.

Naombeni mnishauri wakuu, nifanyaje mke wangu asiwe na gubu? Maana hapa nilipo kichwa kinauma maana sijalala
Dah.. Achana naye tafuta mwanaume bana, Dunia imejaa midume mingi tu 😛
 
Dawa ya mwanamke mwenye gubu au anayeongea mambo yasitoisha au anayepiga kelele zisizo na mwanzo wala mwisho ni.....
1. Mwanaume wake anatakiwa awe mtu wa vitendo na si kujibizana naye pia awe mkimya.
2. Amshikishe adabu mwanamke au kumnyamazisha mara moja moja kwa kumnasa kibao kimoja tuu kikali. Halafu mwanaume huongei kitu ila isiwe mara kwa mara kumpiga vibao hivyo ili mwanamke asizoee hivyo vibao akakudharau au akakuzoea kuwa huwa unampiga vibao. Baada ya kumnasa kibao akiendelea kuongea kwa gubu na kugomba ondoka nyumbani kama ni muda wa mchana. Kama ni usiku washa kibao cha pili na uingie kulala bila kumsemesha.
3. Dawa ya mwisho ya mwanamke mwenye gubu ni kumlala kiasi kwamba akiamka asubuhi hoooiiii hata kutembea awe kama mtoto anayesimama dede na kesho yake akizidisha gubu we mfanye tuu.....ILA.... umfanye kwa kumuandaa sio kumuumiza kama unambaka. Hapo lazima akuheshimu.

Pole kwa kuwa na mke mwenye gubu ni zaidi ya kulala kwenye kituo cha daladala chenye mateja wanaopiga debe mabasi ya mwenge kariakoo.

Kasie.


4. Aoe mwingine.


BTW kwa nini Donatila usimwambie huyo bwana ajiunge JF tumshauri vyema?
 
Mkuu inategemea kwanza mazingira mnayoishi cha pili kama na wewe anajua mtu wa mchepuko nayo inachangia
 
Mwambie awe mwanaume,
Afanye maamuzi kama mwanaume, amwambie abebe kilicho chake asepe,
Anataka kumpanda kichwani huyo
 
Siku hizi umeuza simu... "nipigie..."

Hhahahahaaaa now days its smiling for life..... and dancing for health...... of course at the same time rejuvenating looh

Ila umenipa stimu.......... 😉😉😉
 
Hhahahahaaaa now days its smiling for life..... and dancing for health...... of course at the same time rejuvenating looh

Ila umenipa stimu.......... 😉😉😉


basi for old time's sake..."Nipigie....Kasinde, nipigie..."
 
Back
Top Bottom