Silali usiku: Mke wangu ana 'gubu'

Silali usiku: Mke wangu ana 'gubu'

3. Dawa ya mwisho ya mwanamke mwenye gubu ni kumlala kiasi kwamba akiamka asubuhi hoooiiii hata kutembea awe kama mtoto anayesimama dede na kesho yake akizidisha gubu we mfanye tuu.....ILA.... umfanye kwa kumuandaa sio kumuumiza kama unambaka. Hapo lazima akuheshimu.
Kasie.

Hapa tu.
 
Hilo gubu limeaanza baada ya kumuoa?hicho anacho gombania khasa nikitu gani? yani chanzo cha ugomvi? jee yeye huyo mume anatimiza majukumu yake kama Mume? majukumu sio kumjengea nyumba na kumpa gari ya thamani,kauli yake mapenzi kwa mke wake heshima kwamke wake,manake wewe uloleta uzi ni mwanamke kama huyo mwengine jee ulimuuliza sababu? na ulisimama kwenye haki kama kwamfano ungekua wewe jee anavyofanya huyo bwana anaesema halali ni sawa?
 
Dawa ya mwanamke mwenye gubu au anayeongea mambo yasitoisha au anayepiga kelele zisizo na mwanzo wala mwisho ni.....
1. Mwanaume wake anatakiwa awe mtu wa vitendo na si kujibizana naye pia awe mkimya.
2. Amshikishe adabu mwanamke au kumnyamazisha mara moja moja kwa kumnasa kibao kimoja tuu kikali. Halafu mwanaume huongei kitu ila isiwe mara kwa mara kumpiga vibao hivyo ili mwanamke asizoee hivyo vibao akakudharau au akakuzoea kuwa huwa unampiga vibao. Baada ya kumnasa kibao akiendelea kuongea kwa gubu na kugomba ondoka nyumbani kama ni muda wa mchana. Kama ni usiku washa kibao cha pili na uingie kulala bila kumsemesha.
3. Dawa ya mwisho ya mwanamke mwenye gubu ni kumlala kiasi kwamba akiamka asubuhi hoooiiii hata kutembea awe kama mtoto anayesimama dede na kesho yake akizidisha gubu we mfanye tuu.....ILA.... umfanye kwa kumuandaa sio kumuumiza kama unambaka. Hapo lazima akuheshimu.

Pole kwa kuwa na mke mwenye gubu ni zaidi ya kulala kwenye kituo cha daladala chenye mateja wanaopiga debe mabasi ya mwenge kariakoo.

Kasie.[/QUOTE Izoni Dawa kubwa sana kasie zinatibu matatizo yote ya gubu
 
Gubu ni dalili kwamba mtoa gubu ana kitu atakitaka, dawa yake ni kumpatia hicho kitu na gumu nalo litaisha.
 
Dawa ya mwanamke mwenye gubu au anayeongea mambo yasitoisha au anayepiga kelele zisizo na mwanzo wala mwisho ni.....
1. Mwanaume wake anatakiwa awe mtu wa vitendo na si kujibizana naye pia awe mkimya.
2. Amshikishe adabu mwanamke au kumnyamazisha mara moja moja kwa kumnasa kibao kimoja tuu kikali. Halafu mwanaume huongei kitu ila isiwe mara kwa mara kumpiga vibao hivyo ili mwanamke asizoee hivyo vibao akakudharau au akakuzoea kuwa huwa unampiga vibao. Baada ya kumnasa kibao akiendelea kuongea kwa gubu na kugomba ondoka nyumbani kama ni muda wa mchana. Kama ni usiku washa kibao cha pili na uingie kulala bila kumsemesha.
3. Dawa ya mwisho ya mwanamke mwenye gubu ni kumlala kiasi kwamba akiamka asubuhi hoooiiii hata kutembea awe kama mtoto anayesimama dede na kesho yake akizidisha gubu we mfanye tuu.....ILA.... umfanye kwa kumuandaa sio kumuumiza kama unambaka. Hapo lazima akuheshimu.

Pole kwa kuwa na mke mwenye gubu ni zaidi ya kulala kwenye kituo cha daladala chenye mateja wanaopiga debe mabasi ya mwenge kariakoo.

Kasie.
Hiyo ya kumlala naikubali sana, asisahau kumeza kamagra ili aiishiwe nguvu
 
Wakuu wazima?

Mke wangu amekuwa mtu wa kuongea maneno yasiyoisha.

Wakati mwingine mnaweza mkapishana na mkaombana msamaha yakaisha lakini anakuja anakumbushia tena.

Mpaka nimeamua kuandika hapa yamenishinda, jana usiku sijalala na sio jana tu karibia kila siku silali yani anaongea mameno yasiyoishaa.

Naombeni mnishauri wakuu, nifanyaje mke wangu asiwe na gubu? Maana hapa nilipo kichwa kinauma maana sijalala
Wanaume tumeumbwa na koromeo.
Dawa ya GUBU ni kukaa kimya.
 
dawa yake ni kuwa kimyaa tu hamna jinsi kwan hata ukipiga kuna wengine inakuwa kama unaingiza gia,kuna jamaa naye alishatoa uzi kama huu yy alisema kapiga kachoka,kilichofatia ni kuwa kimyaa na akilala anastuka kutoka usingizin na bado anamkuta anaongea
 
Mimi ni ke ila nimeleta habari ndugu yangu yanampata hayo
Madhara ya multi Id ndio haya, lzima ujichanganye. Maelezo haya yalitakiwa yawepale juu kwenye thred msomaji akisoma ajuwe wewe ni tarishi tu.
 
Madhara ya multi Id ndio haya, lzima ujichanganye. Maelezo haya yalitakiwa yawepale juu kwenye thred msomaji akisoma ajuwe wewe ni tarishi tu.
Sawa mkuu siku nyingine nitafanya hivyo
 
Back
Top Bottom