Silali usiku: Mke wangu ana 'gubu'

Silali usiku: Mke wangu ana 'gubu'

Mwambie huyo mwanaume anywe bia ili kupunguza muda wa kushinda shinda nyumbani na mwanamke wake
 
Wakuu wazima?

Mke wangu amekuwa mtu wa kuongea maneno yasiyoisha.

Wakati mwingine mnaweza mkapishana na mkaombana msamaha yakaisha lakini anakuja anakumbushia tena.

Mpaka nimeamua kuandika hapa yamenishinda, jana usiku sijalala na sio jana tu karibia kila siku silali yani anaongea mameno yasiyoishaa.

Naombeni mnishauri wakuu, nifanyaje mke wangu asiwe na gubu? Maana hapa nilipo kichwa kinauma maana sijalala

Sasa hilo gugu linahusianaje na wewe kutolala? Ina maana unapotaka kulala ndio analeta gubu?

Kama ni hivyo basi usiku mpe kiywaji anachokipenda kwa namna ya mapenzi sana, ila hakikisha umeweka na dawa ya usingizi kwenye kinywaji. Usizidishe dawa ya usingizi, asije akalala kimoja (nisije nikawa nakupa wazo, utafungwa!)
 
basi for old time's sake..."Nipigie....Kasinde, nipigie..."

Nakupigia.... Mentor nakupigia............Tupigianeee.... this time mpitie na Watu8 - Revolving restaurant Lunch should be on Ramadhan time watu wanakuwa sio wengi........

But only if it sound good to you.

Wapi ganjaaaaa 😛😛😛
 
mshana jr nienda uninge ushauri kadori nikuvona uvecha du aha...nnekubigha
 
Nakupigia.... Mentor nakupigia............Tupigianeee.... this time mpitie na Watu8 - Revolving restaurant Lunch should be on Ramadhan time watu wanakuwa sio wengi........

But only if it sound good to you.

Wapi ganjaaaaa 😛😛😛


Hivi huyu mtu yupo bado palepale kwenye lile jengo? How come simuonagi tena siku hizi...

That sounds good...on a Friday i propose!!!
 
Mwambie amshughulikie vizuri usiku halafu aone kama kutakuwa na kelele.

Jitu linamakosa kibao, halafu hata shughuli haliiwezi kwa nini lilale, lipigie kelele hadi liende kushtaki kwao na dada yake aombe ushauri JF
 
Akili ya mwenye tatizo na nduguye inaonyesha wanahitaji kuanza kutumia dawa Ndio maana mke ana gubu kumbe mume anaenda kusema Kwa ndugu zake kila kinachotokea usiku kitandani kwake? Kwa mume wa aina hii bora kubadilishana na TV tu.
 
Dawa ya mwanamke mwenye gubu au anayeongea mambo yasitoisha au anayepiga kelele zisizo na mwanzo wala mwisho ni.....
1. Mwanaume wake anatakiwa awe mtu wa vitendo na si kujibizana naye pia awe mkimya.
2. Amshikishe adabu mwanamke au kumnyamazisha mara moja moja kwa kumnasa kibao kimoja tuu kikali. Halafu mwanaume huongei kitu ila isiwe mara kwa mara kumpiga vibao hivyo ili mwanamke asizoee hivyo vibao akakudharau au akakuzoea kuwa huwa unampiga vibao. Baada ya kumnasa kibao akiendelea kuongea kwa gubu na kugomba ondoka nyumbani kama ni muda wa mchana. Kama ni usiku washa kibao cha pili na uingie kulala bila kumsemesha.
3. Dawa ya mwisho ya mwanamke mwenye gubu ni kumlala kiasi kwamba akiamka asubuhi hoooiiii hata kutembea awe kama mtoto anayesimama dede na kesho yake akizidisha gubu we mfanye tuu.....ILA.... umfanye kwa kumuandaa sio kumuumiza kama unambaka. Hapo lazima akuheshimu.

Pole kwa kuwa na mke mwenye gubu ni zaidi ya kulala kwenye kituo cha daladala chenye mateja wanaopiga debe mabasi ya mwenge kariakoo.

Kasie.
Natamani wanawake wote wangekuwa na mtazamo kama wako. Ushauri mwema mno...............................
 
Hivi huyu mtu yupo bado palepale kwenye lile jengo? How come simuonagi tena siku hizi...

That sounds good...on a Friday i propose!!!

Hata sijui labda katumbuliwa jipu. .....

So it'll be Friday lunch without Watu8 ?
 
Teh! Kwani wakati wa mahusiano yenu hili gubu alikuwepo?au mlikutana harusini?loh!
 
Kila ugomvi chanzo chake ni au mfukoni au kitandani.
 
Dawa ya mwanamke mwenye gubu au anayeongea mambo yasitoisha au anayepiga kelele zisizo na mwanzo wala mwisho ni.....
1. Mwanaume wake anatakiwa awe mtu wa vitendo na si kujibizana naye pia awe mkimya.
2. Amshikishe adabu mwanamke au kumnyamazisha mara moja moja kwa kumnasa kibao kimoja tuu kikali. Halafu mwanaume huongei kitu ila isiwe mara kwa mara kumpiga vibao hivyo ili mwanamke asizoee hivyo vibao akakudharau au akakuzoea kuwa huwa unampiga vibao. Baada ya kumnasa kibao akiendelea kuongea kwa gubu na kugomba ondoka nyumbani kama ni muda wa mchana. Kama ni usiku washa kibao cha pili na uingie kulala bila kumsemesha.
3. Dawa ya mwisho ya mwanamke mwenye gubu ni kumlala kiasi kwamba akiamka asubuhi hoooiiii hata kutembea awe kama mtoto anayesimama dede na kesho yake akizidisha gubu we mfanye tuu.....ILA.... umfanye kwa kumuandaa sio kumuumiza kama unambaka. Hapo lazima akuheshimu.

Pole kwa kuwa na mke mwenye gubu ni zaidi ya kulala kwenye kituo cha daladala chenye mateja wanaopiga debe mabasi ya mwenge kariakoo.

Kasie.

Kasieeee, daaah...umeua bendi. Ushauri mzito na mgumu kwelikweli. Hiyo tunaita komesha! Ha ha ha
 
Dawa ya mwanamke mwenye gubu au anayeongea mambo yasitoisha au anayepiga kelele zisizo na mwanzo wala mwisho ni.....
1. Mwanaume wake anatakiwa awe mtu wa vitendo na si kujibizana naye pia awe mkimya.
2. Amshikishe adabu mwanamke au kumnyamazisha mara moja moja kwa kumnasa kibao kimoja tuu kikali. Halafu mwanaume huongei kitu ila isiwe mara kwa mara kumpiga vibao hivyo ili mwanamke asizoee hivyo vibao akakudharau au akakuzoea kuwa huwa unampiga vibao. Baada ya kumnasa kibao akiendelea kuongea kwa gubu na kugomba ondoka nyumbani kama ni muda wa mchana. Kama ni usiku washa kibao cha pili na uingie kulala bila kumsemesha.
3. Dawa ya mwisho ya mwanamke mwenye gubu ni kumlala kiasi kwamba akiamka asubuhi hoooiiii hata kutembea awe kama mtoto anayesimama dede na kesho yake akizidisha gubu we mfanye tuu.....ILA.... umfanye kwa kumuandaa sio kumuumiza kama unambaka. Hapo lazima akuheshimu.

Pole kwa kuwa na mke mwenye gubu ni zaidi ya kulala kwenye kituo cha daladala chenye mateja wanaopiga debe mabasi ya mwenge kariakoo.

Kasie.
Kaushauri namba tatu hapo juu katamu sana.

Ngoja na mimi nikakatumie kwa mchepuko wangu
 
Kaushauri namba tatu hapo juu katamu sana.

Ngoja na mimi nikakatumie kwa mchepuko wangu
Mchepuko nao unagubu mweeh polee mie nilijua gubu ni maza hausi pekeyao. ....
 
Wanaume mlivyo bidhaa adimu siku hizi afu kuna mwanamke analeta gubu kwa mumewe. Dah mwambie usajili utasitishwa aache domo. Mkiongea yakaisha basi yaishe kweli.....
 
Mwambie huyo mwanamme atafute pesa tu, pesa ndio dawa
 
Back
Top Bottom