Kiduku kwanza makombora yake sio advanced ni ya kizamani sana. Halafu yeye ni mshamba sana ni sawa na mtu aliye baa na kila saa anaonyesha watu bastola yake.Kiduku ni mjeuri tu, hayo makombora yake anayojaribu kila siku yanampa kiburi.
Kiduku kwanza makombora yake sio advanced ni ya kizamani sana. Halafu yeye ni mshamba sana ni sawa na mtu aliye baa na kila saa anaonyesha watu bastola yake.Kiduku ni mjeuri tu, hayo makombora yake anayojaribu kila siku yanampa kiburi.
..... Hiyo inakuonyesha sisi ni watu wa sampuli gani halafu eti tukibaguliwa tunalalamika vibaya. Cursed Race.Hukuona utafiti wa makinikia na uchafuzi wa mto Mara ?
Africa tunasoma historia ya science, archimerdes princ, law of flotation etcSisi bado tunatafuta magaidi wa kubumba au tumeacha.
Mimi nashauri kwamba tuachane kabisa na somo la sayansi kwa sababu halina kabisa maana yoyote kwetu na tunawapotezea watoto wetu muda bure tu.
Sisi tunasoma hilo somo la sayansi ili iweje. Sayansi ni utafiti na sisi hata siku moja serikali haijawahi kutoa hata senti tano kuwekeza kwenye utafiti kwanza sisi hatuna kitu kinachoitwa utafiti.
Kwa nchi zilizoendelea sayansi wanasoma Block Study kama asilimia 10 tu na zingine 90 wako field watu wanafanya utafiti na matokeo yake ndio hayo tunayoyaona. Sisi tunawangisha watoto vichwa bure tu na sayansi ya maigizo.
Mkuu hayo ni majaribio nimekupa exactly kilichotokea vitani, uturuki yupo Ahead of the rest kwenye hizo tech. Mpaka unaona silaha inaenda vitani ujue imeshapitia phase nyingi.US yajaribu 30kW Laser Weapon, Kama Star Wars
U.S. Navy Deploys Its First Laser Weapon in the Persian Gulf The U.S. Navy has deployed on a command ship in the Persian Gulf its first laser weapon capable of destroying a target. The amphibious transport shipUSS Ponce has been patrolling with a prototype 30-kilowatt-classLaser Weapon System...www.jamiiforums.com
So hio budget waliopitisha ni hewa? Ungeandikia senate yao waache kupoteza Hela maana defence tayari wanayo.Marekani tayari ina mfumo wa radar uliotapakaa dunia nzima. Wanazo radar kwenye manowari na meli zinazolizunguka taifa lao na zinazozunguka dunia nzima, zipo radar kwenye mataifa yote ya NATO ambayo yako karibu na Russia.
Hypersonic walizo nazo Russia ni Air to ground, ambazo inabaidi watumie ndege kuzirusha. Kwa taifa ambalo lina ulinzi mzuri wa anga huwezi kusogelea anga yao hata kupata hiyo nafasi ya kufany mambo yako.