...sikwambii.....

My 'thanks' is still valid.
I real l don't know if l am a poet; turushie basi humu hiyo "The subsitute".
Duu ,I don't know jamii forum rules kiundani zitanibanaje,coz its kind of adult thing ingawa sio hardcore.
 
Duu ,I don't know jamii forum rules kiundani zitanibanaje,coz its kind of adult thing ingawa sio hardcore.

Waweza ipost Jukwaa la kikubwa; ila nitaimiss coz nimejipa ban kwenye hilo jukwaa. UtaniPM ukiipost huko!
 
Keeping away from temptation. There is a lot of porn there!
wow,i didn't know that and I have never been there,itabidi na mm nichungulie now.,,kiduchu tu.
 
Hahahahahah! Khaaa!

Unajua kuniita kijanja............ Ila nilivo na roho mbaya kama kiatu cha Mugabe, sikuitiki naendelea kufyonza Guinness yangu tartiiiibu. Huu mwaka umenikuta nafyonza hii makitu nikiwa na afya yangu. Na kwa heshima ya hii makitu nakutakia usiku mwema Kaunga. Ule ai miiin OLE wako ukojoe tena kitandani. Ntakusemea kwa mama.
 
Last edited by a moderator:

The same 2 u too....... Kaunga...I kinda of love this version, though
 
Last edited by a moderator:
Kusema kweli nimekojoa, ila sio kitandani maana nilivaa pamper.
Jamani nilikumiss Mwaka huu ndio maana l had to call you anyhow!
Ngoja nikutumie Primus Biere basi ya kukuwishia hapi niu ya.

 
Last edited by a moderator:
lara1, si tu kwamba najipa moyo, kuna misingi ambayo hata ikitikisika haiwezi kubomoka. Hilo unalijua wazi. Ila napenda critical posts kama hizi.

You are allowed to Jipa Moyo my dear. So cheer up, your Thanda is yours and so it will remain.
 
Last edited by a moderator:
Kweli usiniambie kwani tuko tofauti ktk maamuzi na mapendeleo

Umeona eeh; halafu watu wamenichamba wee eti mchoyo wa vitu vyangu, ilhali mimi sitaki kuwapotosha
 
Naomba uniambie tu then nitaamua nifate uliyoniambia au nipotezee.
 
Naomba uniambie tu then nitaamua nifate uliyoniambia au nipotezee.

Ulipotelea wapi nu yia hii?
Nitakwambia ila kwa mtindo wa maswali, ili ktk majibuyo soln ipatikane! LOL
 
Kaunga my dear, I wish you too a Happy New Year full of blessings and success!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…