Hapo nimekumbuka salaam za mwaka mpya za lara 1 kwenye ule uzi wake paragraph ya mwisho (Ignore society) wa 2013 acha ushamba ushamba wako!!take control, nadhani ndio maana mdau amu umemwacha atafakari mwenyewe kwa kuhofia utampa mwongozo potofu na yeye atafanya mambo kwa maslahi ya jamii
Shairi bomba
elimu inasaidia ila sio kila kitu kinaaply lara,kumbuka tunatofautiana kimazingira na kilife styleElimu inasaidia sanaakwani ni vigumu kugundua na kukubali kuwa kuna vitu unakosea! Kuna vitu tu out of pride unakomaa ni haki kumbe sio! Mie semina sikosi!!!!!!!
Jst imagine usingeenda shule na kujifunza ungejua vitu vingapi? Si rahisi kujua mapyaaa yoote na ya zamani kijiweni!!!!!!!!
Education is sexy and sex education makes you sexier!!!!!!!!
Elimu ni muhimu, unaipataje ni muhimu pia! Elimu ya kuambiwa ni tofauti na ya kufanya mwenyewe. Tangu kale na kale elimu ilikuwepo na hata wanyama wanayo pia.
Sex education pamoja na kutolewa kila siku haijaproduce desired results so far (IMO) na mara nyingi inaweza leta shida tu ktk ndoa.
Mf: mmeenda kwenye seminor na mada ikawa moto moto. Unafika nyumbani, mambo tofauti; matokeo yake unaanza kumcompare mumeo na mtoa mada (wishing he was like him). Unless hiyo elimu inakupa mbinu za kujitambua, kujikubali na kujiexplore itakibomoa zaidi ya kukujenga!
......Love urself n everybody else will.......
elimu inasaidia ila sio kila kitu kinaaply lara,kumbuka tunatofautiana kimazingira na kilife style
mafundisho ya mwanamke wa monduli hayawezi kuwa sawa na wa masaki never!
happy new year kaunga mzidishie maufundi apate kujirekebisha.....If it comes back, make sure unakuwa haupo...... Amen!
ujue kuna theory nyingi sana mtaani.wanawake zaidi naona tunaongoza kwa kupotoshana mara ohoo ukitaka kumdatisha mumeo akija mbebe mgongoni muogeshe na karafuu mswakishe na tui la nazi...sasa wanaume wengine huwezi wafanyia hivo so unakuta mwanamke ambae anashindwa kufanya hivo anajiona inferior kwenye ndoa kwamba ndoa yake haijakaa vizuri kwa vile tu mumewe haswakii tui la nazi..
happy new year kaunga mzidishie maufundi apate kujirekebisha
haaaaaaaa ma dear KAUNGA raha mpate wote na sio apate mmoja mwingine anagugumia kwa maumivu poa jipe raha inapo bidiThanks dear.
Maufundi ntayazidisha kama yataniletea raha, lkn kama ni kwaajili ya kumkeep; he can as well go! Primary goal yangu ni kujipa raha; as selfish as it may seem lkn ndio ukweli WANGU.
asante malenga wadada,Kaunga , smile na Lara, hope competition kwa Mhaya Ruta hiyo
teh hicho kitchen party hizo full upotoshaji? makungwi wenyewe 95% hawana ndoa ...ooohoo chambia wine,oshea viroba loh!Sikatai sio yote ila kuna baadhi katika hiyo elimu dunia usingeenda hapo usingeyajua maishaaaa! Cha maana ni kuwa sharp na kusort ukiwa unapata hiyo elimu dunia! Mi niko radhi nisichange sendoff wala harusi ila kitchen party never miss!!!!!!
Hata shule kuna VILAZA na VIPANGA so unakuta mtu ana Masters na PHD Kaajiriwa tena kwa mshahara wa mawazo ila Bakhresa form 4 anamiliki maviwanda kibao!
So kupata sex education inategemea na ukipanga wako! Unaweza ukaenda shule ila usielimike sema lazima utastaarabika! Hata sex education hivo hivo japo unaweza usielewe ila utaambulia mawili matatu!
.....Sex education pamoja na kutolewa kila siku haijaproduce desired results so far (IMO) na mara nyingi inaweza leta shida tu ktk ndoa. ...Mf: mmeenda kwenye seminor na mada ikawa moto moto. Unafika nyumbani, mambo tofauti; matokeo yake unaanza kumcompare mumeo na mtoa mada (wishing he was like him). Unless hiyo elimu inakupa mbinu za kujitambua, kujikubali na kujiexplore itakibomoa zaidi ya kukujenga!........Love urself n everybody else will.......
Sikatai sio yote ila kuna baadhi katika hiyo elimu dunia usingeenda hapo usingeyajua maishaaaa! Cha maana ni kuwa sharp na kusort ukiwa unapata hiyo elimu dunia! Mi niko radhi nisichange sendoff wala harusi ila kitchen party never miss!!!!!!
JIPE MOYO UTAYASHINDAAAA!!!!!! JIPEEEEEEE MOYOOOOOOOO!!!!!!! Hahahaaaaaaaa! Mumeo akiwa kitombi huko nje mtaa mzima utajua kasoro wewe mhusika tu!!!! Simply because NANI ATAMFUNGA PAKA KENGELE????????
Usijali mwaya IF YOU BELIEVE ANYTHING CAN HAPPEN!!!!!!!! Na HOPE IS THE LAST THING YOU LOOSE!!!!
sio hilo tu mume kamkimbia kamuachia nyumbaAnakwambia jinsi ya kumthibiti mume, wakati wake kila akiona sketi damu inakimbilia kwenye central bolt. LOL
Kumbe na wewe ni malenga? Thanks my, ila mengine kuhusu uloandika Smile kakujibu hapo juu. Utasema hujui kumbe wajua zaidi ya mke wake.
Elimu inasaidia sanaakwani ni vigumu kugundua na kukubali kuwa kuna vitu unakosea! Kuna vitu tu out of pride unakomaa ni haki kumbe sio! Mie semina sikosi!!!!!!!
Jst imagine usingeenda shule na kujifunza ungejua vitu vingapi? Si rahisi kujua mapyaaa yoote na ya zamani kijiweni!!!!!!!!
Education is sexy and sex education makes you sexier!!!!!!!!