Sikuwahi kutegemea kama punyeto inaweza kutambulika kama janga, najiuliza, vijana wa kisasa wame-overdose au mitandao ndio ime expose?

Sikuwahi kutegemea kama punyeto inaweza kutambulika kama janga, najiuliza, vijana wa kisasa wame-overdose au mitandao ndio ime expose?

ELI COHEN

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
9,375
Reaction score
28,484

Haimaanishi ilikuwa ni lazima kijana ufanye punyeto katika processs ya ukuaji wako lakini pia haimanishi ilikuwa sio jambo la kawaida kufanya punyeto, ni kitu cha enzi na enzi,

Lakini kwa sasa punyeto haisomeki kama step ya maisha ila inasomeka kama sehemu ya maisha, maana katika wingi mkubwa vijana in their late 20s and even late 30s, wamejikuta mikono imegeuka kuwa processing industry.
 
Vijana hawana mioyo ya subra tena,mwanzo kijana wa miaka 20 asipofanya ngono miaka 2 ilikuwa freshi tu na anaogopa kujichua, lakini sasa,kijana hasa hawa malimbukeni,siku mbili tu amekosa something wanaita "demu" anajichua,hali hii imesababishwa hasa na mitandao ya kijamii.
 
Vijana hawana mioyo ya subra tena,mwanzo kijana wa miaka 20 asipofanya ngono miaka 2 ilikuwa freshi tu na anaogopa kujichua, lakini sasa,kijana hasa hawa malimbukeni,siku mbili tu amekosa something wanaita "demu" anajichua,hali hii imesababishwa hasa na mitandao ya kijamii.
💯💯
 
View attachment 3526940
Haimaanishi ilikuwa ni lazima kijana ufanye punyeto katika processs ya ukuaji wako lakini pia haimanishi ilikuwa sio jambo la kawaida kufanya punyeto, ni kitu cha enzi na enzi,

Lakini kwa sasa punyeto haisomeki kama step ya maisha ila inasomeka kama sehemu ya maisha, maana katika wingi mkubwa vijana in their late 20s and even late 30s, wamejikuta mikono imegeuka kuwa processing industry.
ponyeto ni kitu nonsense sana nyakati hizi amabapo upatikanaji wa pisi kali za kunyandua na kusukutua mshedede ni wa uhakika na cheap sana.

huenda uvivu wa kusaka pisi kali na uoga ndio janga linalopelekea madomo zege kung"ang"ana na nyeto.

kumbafu sana hao jamaa, dah :NoGodNo:
 
Mm nina mpenzi ana piga punyeto yaan nlikua siamini sku nashuhudia yaan nlisema, stalomba naye tena aendelee na nyeto zake afu anajisfia eti, yaan anaona raha mm nikajuaga hata wanaficha ili wanawake wao wajue kumbe n wazi wazi tena , kuna mda ukurya ukiniingia nataman nimlambe makofi yaan
 
Mm nina mpenzi ana piga punyeto yaan nlikua siamini sku nashuhudia yaan nlisema, stalomba naye tena aendelee na nyeto zake afu anajisfia eti, yaan anaona raha mm nikajuaga hata wanaficha ili wanawake wao wajue kumbe n wazi wazi tena , kuna mda ukurya ukiniingia nataman nimlambe makofi yaan
Sasa huyu ni mraibu 🤣 aisee
 
View attachment 3526940
Haimaanishi ilikuwa ni lazima kijana ufanye punyeto katika processs ya ukuaji wako lakini pia haimanishi ilikuwa sio jambo la kawaida kufanya punyeto, ni kitu cha enzi na enzi,

Lakini kwa sasa punyeto haisomeki kama step ya maisha ila inasomeka kama sehemu ya maisha, maana katika wingi mkubwa vijana in their late 20s and even late 30s, wamejikuta mikono imegeuka kuwa processing industry.
Punyeto na picha, video za ngono ni twins.. Ukiangalia video za ngono local nyingi sana ( uzalishaji umekuwa juu kupita kiasi ) , waonaji nao waongezeka lazima linyeto nalo liwe juu..
 
Back
Top Bottom