Mbona samaki amekauka amekuwa kama kaukau!
poleni wa ughaibuni mnalilia mpaka migebuka du!
poleni sana aisee,maana sie huku bweleleee,wafanya kuitiwa na jirani ukajichumie mwenyeweee kitu fresh!Pumzi yako tu siku hizi shosti, ukitaka vyakula vya kikwetu vimejaa belele tena kwenye supermarkets na vile vichache ambavyo havipo unaweza kuagiza toka Bongo unavipata baada ya siku chache tu tena bila shida yoyote ile.
kizuri kula na wenzio ukipigiwa chepuo nami unifikirie nkasafishe macho kidogo!Hivi ughaibuni kukoje mweehh nahamu ya kusafiri nije nisafishe machoo:A S 39::smile-big: msaada bas nami nitoke mwenzenuuu
kizuri kula na wenzio ukipigiwa chepuo nami unifikirie nkasafishe macho kidogo!
hahahahahahahahah sharti kutokwenda kwa nchi yoyote raia wake na pua zenye migongo!Poa shosti mhh tusije pelekwa Libya tuu