SIkuwahi kula hii Kitu..

SIkuwahi kula hii Kitu..

Hii ya ughaibuni imesafirishwa kwenye mijokofuuuuu mwee..hata nyama ya Bata hapa imebaridishwa...khaaa!
 
Ukiwa mitaa ya Gungu,Majengo, Ujiji nk unafaidi sana hii kitu ikiwa fresh kabisa.
 
pumzi yako tu siku hizi shosti, ukitaka vyakula vya kikwetu vimejaa belele tena kwenye supermarkets na vile vichache ambavyo havipo unaweza kuagiza toka bongo unavipata baada ya siku chache tu tena bila shida yoyote ile.
tatizo vimechakachuliwa, yaani kuna rafiki yangu mswedeni alikula ugali tukiwa iringa, akafika kwao akanunua unga akapika, akaniandikia ktk facebook kuwa si mtamu kama tuliokuwa tunapika iringa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom