"Sikutegemea" Nimeamini kila jambo lina sababu

"Sikutegemea" Nimeamini kila jambo lina sababu

Yote sawa ni mpango wako na demu wenu. Ila mbona unakunywa pombe hivyo? Au utegemei kunywa tena?
 
hivi 700000 ya wakati ule unaifananisha na 700000 ya sasa? Au ni hiyo bonus ya 300000? Bado unaamini kuwa hiyo 300000 inajustify kitendo alichokufanyia wakati ule?
 
nilidhsni chini ya godoro uliweka 750,000 alizoondoka nazo, imekuwaje ukamwambia ni 700,000 unayomdai? ukiwa muongo sharti uwe na kumbukumbu. zinga la bongo movie................................................
 
Hahaaa umenifurahisha unakipaji cha kusimulia mkuu, big up!!
 
nilidhsni chini ya godoro uliweka 750,000 alizoondoka nazo, imekuwaje ukamwambia ni 700,000 unayomdai? ukiwa muongo sharti uwe na kumbukumbu. zinga la bongo movie................................................

naandika nikiwa na haraka hivyo ni lazima makosa yawepo ila yote ni ujumbe ueleweke tuu
 
Yote sawa ni mpango wako na demu wenu. Ila mbona unakunywa pombe hivyo? Au utegemei kunywa tena?

sa hivi niko likizo ndo mana nko free kunywa ila nkirud job nabanwa sana na kazi
 
Hahahahahah hiiii muvie nzuri ila inaboa haina Jambazi bana
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo yale yale kaka, nimeongea one side ila inaangukia kwa wote. Miili yetu ni hekalu takatifu. Tusaidiane, unahisi nin kinapelekea watu kutokugongoza wa umri wao wanadandia watu watu wazima? Ongelea upande wa kiume na mimi nitakuja na upande wa kike.


Kutokujitambua "who are you?"

"This answer will lead to know thyself"

Once you know power within yaself upo huru....


Emotional intelligence!
 
Back
Top Bottom