Kipindi kile tulipanga wana Jf tukutane ili tufahamiane kwa sura na kwa majina ya humu Jf, watu wakakataa. Leo hii Bebii acngetukanwa. Lakini ona sasa bebii anaondoka. Jamani bebii usiöndoke utatuachia majonzi.
OK, bebiiiiiii,bebiiiiiiii, bebi??? itika basi mrembo,usitoke mama eeeh ukitoka mimi najinyonga, sasa amua moja ubaki au mi nife. Hapa nina dawa ya panya kibao mkononi, ukisema unashikilia msimamo wako mimi bye byeWakaka wa jf tokezeni basi mumbembeleze bebii, yaan kutukanwa tu na jitu hulijui unababaika, utavumilia ndoa kweli wewe
mimi nisingependa kukutana na degedege nasikia ukiugua ukubwani huponi.mimi hata sishauri mkutane kwa ajili ya usalama wenu kutokana na mada znazojadiliwa humu.. Naamini "usalama wa ccm" lazma na wao watakuja na hapo ndpo watakapo wajua vzr
nina imani mama enock hajasikiasi wewe hapo ndio umenitenda.
Kweli kabisaa atatona yeye mkali ukiondoka halafu umeweka na thread ndo kabisa! JF inajumuisha viumbe wengi sana, so dont be scared umeona mwenyewe kila mtu anasema usiondoke!Bebii naona wengi wanakupa tu pole. But mimi nakwambia huwezi kukaa hapa bila kutukanwa nikwambie niliwahi kutukanwa (Husninyo) shahidi maana naye yalimkuta lkn haondoki mtu hapa so kuwa ngangari bana kwanza ndo unampa kichwa anaona kakukomesha we dunda bana
sawa dada mkubwa ila sio fair jamani
sawa dada mkubwa ila sio fair jamani
hapo sasa, halafu mimi nataka nikutane nawe ana kwa ana. hope uko single and available. nikupe tusi moja tu la kikwetu kama hili hapa "good morning baby gal, how are doing, miss you so much", kwa mbali nichekie jinsi utakavyo lia halafu niyapeleke machozi yako laboratory kupima concentration of sadness vs happiness.sawa dada mkubwa ila sio fair jamani
Kama umekuja kwa shari g utaona ni sawa ila watu wengine hatujazoea fujo toka tumboni mwa mama zetu mimi ni mtu wa amani na mstaarabu mimi na matusi ni tofauti kabisa kabisaHivi kuna mtu kweli anakasirika na kinachosemwa hapa JF?
Hahahaha!!!!HEy sweetie, glad to 'see' you mamito. Take heart, appreciate complements, laugh at matusi na kejeli but most of all take constructive criticism na zifanye kazi. Wote tunaexperience haya mpenzi. Afterthat naomba nikupe pole kwa yote but also kukupongeza kwa ujasiri wako wa kusamehe na pia kuyasema wazi yanayokukera.
Tunakupenda Bebii, usituache tena......mwenzio nimeshindwa kunywa pombe tangu umeondoka (nakunywa konyagi tu kwa huzuni).
Weirrrrrrrrrrrrrrrrraaaaaaaaaaaaaaaaaa.... lete pombe bila chupa tafadhali!