Sikupi penzi hadi siku ya ndoa

Sikupi penzi hadi siku ya ndoa

Zion Daughter, tunashare matatizo sawa.
Na mie nimetendwa na mama yako mwaJ

Ndo hivo tena mkuu mwaJ amejipumzisha hapa kwangu anakula vinono tu. Kwa wale tuliopitia mila na kuzizingatia tunajua sana namna ya kutunza mke, sio nyie watoto wa oysterbay@usharobaro.com mnajifanya kuiga mapenzi ya kidhungu kumbe hakuna kitu.

Halafu usivokuwa na adabu unashare matatizo yako na binti yangu Zion Daughter huku unamlalamikia mahabuba wangu mwaJ ambae pia ni mama yake!!??
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Tatizo vijana wengi wanaweka mbele kugegedana
CC Mzabzab
 
Mwita Maranya, nina ghadhabu sana na wewe. Zile ngumi za chembe ulizonisindilia ujue hadi saa hizi zinaniuma.
Huyo mwaJ mwenyewe hana lolote.
Yaani wee poa tu, na mimi ntakuja kukubabatiza na vipande vya matofali, labda usiingie kwenye anga zangu
Ndo hivo tena mkuu mwaJ amejipumzisha hapa kwangu anakula vinono tu. Kwa wale tuliopitia mila na kuzizingatia tunajua sana namna ya kutunza mke, sio nyie watoto wa oysterbay@usharobaro.com mnajifanya kuiga mapenzi ya kidhungu kumbe hakuna kitu.

Halafu usivokuwa na adabu unashare matatizo yako na binti yangu Zion Daughter huku unamlalamikia mahabuba wangu mwaJ ambae pia ni mama yake!!??
 
Last edited by a moderator:
Ndo hivo tena mkuu mwaJ amejipumzisha hapa kwangu anakula vinono tu. Kwa wale tuliopitia mila na kuzizingatia tunajua sana namna ya kutunza mke, sio nyie watoto wa oysterbay@usharobaro.com mnajifanya kuiga mapenzi ya kidhungu kumbe hakuna kitu.

Halafu usivokuwa na adabu unashare matatizo yako na binti yangu Zion Daughter huku unamlalamikia mahabuba wangu mwaJ ambae pia ni mama yake!!??
Mwita Maranya afadhali umemjibu! Mie nimechoka kubishana nae. Nia yake kutugombanisha.
 
Last edited by a moderator:
Mwita Maranya, nina ghadhabu sana na wewe. Zile ngumi za chembe ulizonisindilia ujue hadi saa hizi zinaniuma.
Huyo mwaJ mwenyewe hana lolote.
Yaani wee poa tu, na mimi ntakuja kukubabatiza na vipande vya matofali, labda usiingie kwenye anga zangu
Bujibuji kajipange tu mkuu hii vita uliyotaka kuianzisha dhidi yangu ni ngumu sana kuishinda. Jiwe Linaloishi alijaribu lakini akaishia kutokwa manundu kama wewe. Nawashauri mshirikiane kutafuta wanawake wanaofanana na ninyi kwani mama watoto wangu mwaJ si type yenu.
 
Last edited by a moderator:
ila tena kwenye red hapo umenikata stimu...lolz
Kwa hiyo unachosema wewe ni kuwa ngono ruksa but isiwe mwanzo mwanzo mwa uchumba..right??
Waingereza wana msemo kuwa..April showers bring forth May flowers....
SnowBall hahaaaa haaaaa..... kwa hiyo like umeni nyang'anya au bado ipo??

"Nilichomaanisha sio lazima hadi kwenye ndoa
.. "..... hapa naamini dini na hata maadili yetu hayaruhusu lolz.. But tukubali au tukatae kwa kizazi cha sasa application ya kuto ku do ..mpaka kwenye ndoa ni ngumu lolz... utalamba garasa kama anavyosema MKATA KIU atii!... But ukiacha hilo.. zipo pia factors nyingine nyingi zinazowafanya watu washindwe kufikia huko.
 
Last edited by a moderator:
tabu unamminyia jamaa iyo bushelele yako halafu siku ya siku anakutana na pango!!!.mimi speed mia
 
Back
Top Bottom