Sikupi penzi hadi siku ya ndoa

Sikupi penzi hadi siku ya ndoa

Mara nyingi mahusiano ambayo huwa yanatanguliza ngono mbele huwa hayafiki mbali.

Ukimpata mwenza anaekwambia hadi tufunge ndoa, au usubiri kwa muda fulani.. Kama kweli anamaanisha basi umepata kitu chema.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mara nyingi mahusiano ambayo huwa yanatanguliza ngono mbele huwa hayafiki mbali.

Ukimpata mwenza anaekwambia hadi tufunge ndoa, au usubiri kwa muda fulani.. Kama kweli anamaanisha basi umepata kitu chema.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Angalia tu usije ukalamba garasa,, ukaja kugundua upo kwenye honeymoon, na ndoa ya kikristo haivunjwi so utakomaa nae maisha yote bila mshedede
 
Penzi mpe lakini usimpe ngono!
Kabisa kabisa na wanawake wote wanatakiwa wajue hayo:biggrin:


....................................................@ Nigga anauliza mapenzi ni nini.

NIGGA
, na masaidia Kaunga kujibu, Mapenzi ni hali ya kuwa na upendo huwezi kuwa na mpenzi kama hujapenda, lakini unaweza kusex na mtu hata kama humpendi unaona tofouti zake.


Mwanaume anaweza kusex na mwanamke hata kama hajampenda na wengi wao wanafanya hayo, lakini mwanamke ni vigumu sana kusex na mwanaume kama hajampenda...katika hali ya kawaida, mapenzi hayaelezeki kuwa ni nini.

Ni vigumu sana mtu kukueleza maana ya mapenzi ndiyo maana kila mtu ana uelewa tofauti juu ya suala hilo, wale wanao sex na wanaume kama hajampenda ni lazima awe malaya tu, haswa wale wanao jiuza...nadhani umeona tofauti yake mapenzi na ngono ni vitu viwili tofouti kabisa:biggrin:

Ndo mana mwanaume anaye jua mapenzi ni nini hawezi kusex na kila mwanamke na siku zote nashanga kusikia wanawake wengine wanauliza nini mapenzi, wanao uliza vile ni wajinga tu au wana ka umalaya flani wanataka kugawa K zao ili waseme ngono ndo mapenzi:biggrin:

Mwanamke ambaye anajua mapenzi nini, hawezi kusex kabla ya kupenda na wengi wanao sex wakisha penda wana amini wazi wale wanaume watawao kumbe wamewadangaya tu ili wawapate, naongelea wale kidogo wametoka nje ya mafunzo ya dini...lakini walio shika dini yao haswa, ni vigumu sana kuvua chupi zao.

Wanaume wao kama nilivyo sema wao mapenzi ni nyimbo tu, ndo mana kila mwanaume ana view yake ya mapenzi...Wanaume kama fazaa na kina HorsePower tukisha penda, hatuchezei ma bint za watu...tunaona ni bora tuwaowe kabisa tukisha owa tunacheza nao mchezo wa kitandani tena Kimya kimya na hakuna anaye jua tumekula mara ngapi tunda la roho ni kumya kimya-Ujumbe nadhani umefika wa nini mana ya Mapenzi:biggrin:
 
Angalia tu usije ukalamba garasa,, ukaja kugundua upo kwenye honeymoon, na ndoa ya kikristo haivunjwi so utakomaa nae maisha yote bila mshedede

haha haaaaaaa MKATA KIU halambi mtu garasa men.. lazima nitoke na JOKER ... upoooo? Nilichomaanisha sio lazima hadi kwenye ndoa.. at least muwe na muda wa kutosha kufahamiana. Au tendo lisiwe ndo key factor litokee automatically baada ya ninyi nyote kuwa comfortable na kumfeel mwenza to the fullest bana.
 
Last edited by a moderator:
mmmh dunia ya sasa unaweza ukamnyima akaenda pengine akafikishwa anapopataka jiulize hiyo ndoa unayosubiri ipo?
 
Usikubali kununua mbuzi kwenye kiroba mwana! Kuonja muhimu manake kama umelamba galasa ukachukua jumla ujue ndo ntolee hiyo- unalo for the rest of your life!
 
Nilikugongea like mwanzo uliposema hivi..
Mara nyingi mahusiano ambayo huwa yanatanguliza ngono mbele huwa hayafiki mbali.

ila tena kwenye red hapo umenikata stimu...lolz
Kwa hiyo unachosema wewe ni kuwa ngono ruksa but isiwe mwanzo mwanzo mwa uchumba..right??
Waingereza wana msemo kuwa..April showers bring forth May flowers....

haha haaaaaaa MKATA KIU halambi mtu garasa men.. lazima nitoke na JOKER ... upoooo? Nilichomaanisha sio lazima hadi kwenye ndoa.. at least muwe na muda wa kutosha kufahamiana. Au tendo lisiwe ndo key factor litokee automatically baada ya ninyi nyote kuwa comfortable na kumfeel mwenza to the fullest bana.
 
Nimeanza kuogopa mwanza...nasikia Kaka Kiiza amesema na wewe ni muumini wa sangoma!!!Really shocked....

Unamuamini KakaKiiza kuliko mimi??
Sasa naelewa kwa nini dady Mwita Maranya na familia yote wamenikatalia kuwa na wewe..Usijekute mzabzab ni ndugu yako wa damu..
Mpenzi majany nilikupenda sana lakn kwa hili. SITAKUSAMEHE.Naondoka nakuacha nakutakia kila la heri katika safari hii ya mapenzi...Kumbuka kitu kimoja..U will never know what u have untill u lose it..
kopi kwa Mwita Maranya mwaJ Bujibuji
 
Last edited by a moderator:
Zion Daughter, tunashare matatizo sawa.
Na mie nimetendwa na mama yako mwaJ
Unamuamini KakaKiiza kuliko mimi??
Sasa naelewa kwa nini dady Mwita Maranya na familia yote wamenikatalia kuwa na wewe..Usijekute mzabzab ni ndugu yako wa damu..
Mpenzi majany nilikupenda sana lakn kwa hili. SITAKUSAMEHE.Naondoka nakuacha nakutakia kila la heri katika safari hii ya mapenzi...Kumbuka kitu kimoja..U will never know what u have untill u lose it..
kopi kwa Mwita Maranya mwaJ Bujibuji
 
Last edited by a moderator:

Imeniuma sana.sikutegemea mtu niliyempenda hivi majany kunipa shutuma ambazo hazinihusu bila kufanya uchunguzi..yote ni kwa ajili yako..Mimi na yeye bhaaasi.Nitampata mwingine anayenipenda kwa roho moja
 
Last edited by a moderator:
Unamuamini KakaKiiza kuliko mimi??
Sasa naelewa kwa nini dady Mwita Maranya na familia yote wamenikatalia kuwa na wewe..Usijekute mzabzab ni ndugu yako wa damu..
Mpenzi majany nilikupenda sana lakn kwa hili. SITAKUSAMEHE.Naondoka nakuacha nakutakia kila la heri katika safari hii ya mapenzi...Kumbuka kitu kimoja..U will never know what u have untill u lose it..
kopi kwa Mwita Maranya mwaJ Bujibuji
Bujibuji,mchungaji okoa uchumba huu....ulimi uliteleza kidogo.....I am soree...I am graaadiiii..my sweet potato Zion Daughter.....:nono:
 
Last edited by a moderator:
Imeniuma sana.sikutegemea mtu niliyempenda hivi majany kunipa shutuma ambazo hazinihusu bila kufanya uchunguzi..yote ni kwa ajili yako..Mimi na yeye bhaaasi.Nitampata mwingine anayenipenda kwa roho moja
Zion Daughter usifanye hasira,unajua shetani mjanja saana amemtumia KakaKiiza kujiinua......kweli shetani ni mjanja,nimeamini.....:A S-heart-2:
 
Last edited by a moderator:
Bujibuji,mchungaji okoa uchumba huu....ulimi uliteleza kidogo.....I am soree...I am graaadiiii..my sweet potato Zion Daughter.....:nono:
majany onyesha ukidume, peleka ukweni gunia la mchele, na mbuzi, mpe mama, mwambie mama, nakupenda kwa sababu umenizalia binti wa pekee Zion Daughter, ninayempenda kuliko chochote, ambaye daima nimekuwa nikifunga na kusali ili niweze kupata baraka na rehema nifunge naye ndoa.
Kisha dondosha na kabahasha kenye laki ndani, peleka na Biblia kama zawadi, mbona kila kitu kitanyooka???/
 
Last edited by a moderator:
Imeniuma sana.sikutegemea mtu niliyempenda hivi majany kunipa shutuma ambazo hazinihusu bila kufanya uchunguzi..yote ni kwa ajili yako..Mimi na yeye bhaaasi.Nitampata mwingine anayenipenda kwa roho moja
Zion Daughter, pole mama, majaribu yapo ili tuyashinde, sio yatushinde. Hili ni pepo limejiinua, tusilipe nafasi.
Tumefundishwa kusamehe saba mara sabini, pia tumefundishwa kuwaombea wale wanaotuudhi. majany ameteleza kidogo tu, ameanguka kama watu wote waangukavyo.
Msamehe mrudiane, bado anakuhitaji na kukupenda kwa dhati.
Pleeeeease give him another chance
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom