Sikupi penzi hadi siku ya ndoa

Sikupi penzi hadi siku ya ndoa

Jitahidi. Ni msimamo mzuri kabisa nakusapoti. Huo msimamo ndo unaokubalika madhabahuni mbele za Mungu.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
lazima utest mashine kama inaffaa ndio uoe? Unaweza oa alafu ukute maji matupu sijui utafanyaje
 
Watu mnajitenda wenyewe, kisha mnamsingizia mama Zion Daughter!

My sweet wife achana na Jiwe hana lolote huyo kwanza nimegundua hana madhara. Hiyo yote ni maneno ya wakosaji wala wasikuumize kichwa.
 
n lipi na kipi cha kukufanya uunipende wakati sikupi hadi siku ya ndoa

Mkuu, kama anakunyima ujue iko shida. Kuna jamaa yangu aliambiwa hayo akakubali sasa hivi mwaka wa 5 ndoa haijajibu, hawana mtoto. ANa iwapo aikubali uweke jiwe la msingi (mimba) ndio mipango mingine iendelee.
 
Sikupi hela mpaka siku ya ndoa
 
ANa iwapo aikubali uweke jiwe la msingi (mimba) ndio mipango mingine iendelee.[/QUOTE]

fikiria we ni mzazi binti yako anapata mimba kabla ya ndoa!
 
na me usiniombe ela wala any advice mpaka ndoa kudadadeki hata ufiwe na mama ako siji chezea kunyimwa nyapu
 
Me mwenyewe nimemnyima mchumba wangu dushelele mpaka ndoa

Kama ulimnyima halafu akaja akakukuta ukiwa bikira hakuna tatizo.Lakini kama alikuta umeishatobolewa ovyo ovyo na wanaume wengine hustahili kupewa penzi la dhati kabisa tena namshauri akagonge na nje.Tatizo lenu nyie mnawagawie wengine wasio waoaji then inapokuja kwa muoaji mnajifanya eti mpaka ndoa.Kama ni kujitunza jitunze tangu mwanzo hadi wakati wa ndoa.
 
Back
Top Bottom