USA Eid si public holiday, ila waumini wa uislamu huchukua likizo ya siku mbili au tatu kwa wale walioajiriwa na wale waliojiajiri hufunga biashara zao ili washerehekee sikukuu hiyo.
Sauzi nako mbali mkuu, nenda Nairobi- Kenya tu hapa uone kama wanaitambua. Zama hizi nani wa kusubiri kusherehekea kwa kuangalia mwandamo wa mwezi? Enzi za ujima tushatoka bwana. After all nani wa kuhangaika na this movement of the wailers?
Wamerekani washehekee Iddy weee, haizewekani. walibelali wale hata bibilia wanauoimini hivi sasa hawaionei aibu tena, itakua Qur' an kitabu kisicho marekibisho.