Sikukuu ya Eid el Hajj itakua lini?

Sikukuu ya Eid el Hajj itakua lini?

Mwandamo wa mwezi sio sawa na hii Gregorian calendar ambayo tunaitumia, ukiwa kwenye nchi za Kiislamu wala haikupi tabu kuelelewa kuwa tarehe husika ya sikukuu inategemea na moon/lunar sighting....ila hii sentensi ''Kuna wakati wakristo muwe mnachukua tym kidogo kujifunza kuliko haya matusi mnayoyatoa kwa ujinga'' umejumuisha wakristo kana kwamba wote ni sawa.
Nimeishi kwenye nchi za Kiislam na watu wana heshimu dini za wengine. Nadhani ni jukumu letu ku embrace dini zetu bila kudharau dini ya mwingine.

Kila la kheri Granta.


Sikukuu za kiislam hutegemea mwandano wa mwezi, na mwandamo wa mwezi ni unpredicatable...mwezi huandama siku 29 au 30 toka ulipoandama mwezi wa nyuma...
 
Jambo JF
Kwa waislam na wenye kufaham hili naomba mnijuze je sikukuu hii mwaka huu yategemea kuwa tar ngp? Manake wengine wanasema j1 wengine j3 hebu mwenye ufaham tafadhali

niliona tangazo kwenye tv itakuwa jpili.tualikane tu
 
Eid jpili, tar 5, kitaifa inaswaliwa Masjid Faruq kinondoni..na mapumziko siku moja. Wavivu imekula kwenu
 
Back
Top Bottom