Sikuhonga na simjui mtu lakini nimeitwa uhamiaji

Sikuhonga na simjui mtu lakini nimeitwa uhamiaji

Una maanisha nini hapo, ulikuwa haustahili?[Uhamiaji ni wala rushwa sana na wanatoa ajira kwa kujuana? Au walifanya bahati nasibu kuchagua?

Kwa mtu anayejiamini uwezo wake hawezi kuja na porojo kama hizi akipata kazi.

Uwezo wako wa kuchambua na kuoanisha ni mdogo. Alichokisema kina maana zaidi ya hizo finyu ulizozisema.

Vipi kama anamaanisha kuwa inawezekana kupata kazi serikalini bila rushwa wala refa ikiwa na ukinzani wa mawazo ya waomba kazi wengi? Acha kumshambulia eti hajiamini wakati wewe ndio umekurupuka kwa kutomuelewa.

UMEKERA!!
 
Mnakuja kwa sura nyngne ili kuonesha kua mmetenda haki kumbe uzush mtupu, 1 day itaelewaka kwa mlichotufanyia! Acha kutusanifu ndugu!

Hapa pasu kwa pasu tu, Zanzibar 35,Tanganyika 35 hadi mtapoitambua kuwa Zanzibar ni nchi huru.
 
Uwezo wako wa kuchambua na kuoanisha ni mdogo. Alichokisema kina maana zaidi ya hizo finyu ulizozisema.

Vipi kama anamaanisha kuwa inawezekana kupata kazi serikalini bila rushwa wala refa ikiwa na ukinzani wa mawazo ya waomba kazi wengi? Acha kumshambulia eti hajiamini wakati wewe ndio umekurupuka kwa kutomuelewa.

UMEKERA!!

Mkuu mbona povu njaa nini? Pole sana mkiwa hamjiamini hivi hata huko kazini mkipokea mshahara mtakuja kufungua uzi hapo.
 
Asante kwa pongezi na pia kwa tuhuma, lakini lengo langu halikuwa kuonyesha kuwa hakuna rushwa au kujuana katika kupata kazi, lengo langu lilikuwa kuwaonyesha na kuwapa moyo watoto wa wakulima wenzangu kwamba inawezekana kupata kazi pasipo rushwa wala kumjua mtu. Ukweli ni kwamba hii haikuwa interview yangu ya kwanza nishafanya sehemu kibao ikiwemo tpdc na sio just written bali mpaka oral na sio kwamba najisifia am good especially when it come to oral interview lakini kuna sehemu nilikosa kwa sababu nilikuwa mtoto wa mkulima na kuna sehemu nilikosa kwa sababu wenzangu walikuwa wazuri zaidi yangu na yote hayo hayakunikatisha tamaa niliendelea kupambana mpaka hapa nilipofika na bado ntaendelea kupambana mpaka kieleweke kimaisha. Kwahiyo kwa wale mliozani sikustahili ndiyo maana nimekuja hapa mmekosea sana japo siwalaumu kwani uwezo wenu wa kufikiri umeishia hapo kwa wale mtakaokuwa inspired well and good pambaneni one day mtasema kama nilivyosema na kwa wale mlokuwa na mashaka kama am sincere au la ondeeni shaka sijatumwa nimesema kwakuwa nazani inasaidia kujua unaweza pata hata kama huna mkwanja na humjui mtu.
Tuombeane duwa tu mchakato uishe salama na mwisho wa siku tusaini contract maana kwa sisi wa mikoani interview ni expensive hata kama hutoi rushwa (nauli na malazi) kwakuwa kila interview lazima uende dar mara mbili I mean kwa ajili ya written na oral gharama ambayo si chini ya 300,000/- per job interview.
Asanteni kwa wote mliotia baraka na kwa wapondaji pia maana bila nyinyi life haliendi.
 
Asante kwa pongezi na pia kwa tuhuma, lakini lengo langu halikuwa kuonyesha kuwa hakuna rushwa au kujuana katika kupata kazi, lengo langu lilikuwa kuwaonyesha na kuwapa moyo watoto wa wakulima wenzangu kwamba inawezekana kupata kazi pasipo rushwa wala kumjua mtu. Ukweli ni kwamba hii haikuwa interview yangu ya kwanza nishafanya sehemu kibao ikiwemo tpdc na sio just written bali mpaka oral na sio kwamba najisifia am good especially when it come to oral interview lakini kuna sehemu nilikosa kwa sababu nilikuwa mtoto wa mkulima na kuna sehemu nilikosa kwa sababu wenzangu walikuwa wazuri zaidi yangu na yote hayo hayakunikatisha tamaa niliendelea kupambana mpaka hapa nilipofika na bado ntaendelea kupambana mpaka kieleweke kimaisha. Kwahiyo kwa wale mliozani sikustahili ndiyo maana nimekuja hapa mmekosea sana japo siwalaumu kwani uwezo wenu wa kufikiri umeishia hapo kwa wale mtakaokuwa inspired well and good pambaneni one day mtasema kama nilivyosema na kwa wale mlokuwa na mashaka kama am sincere au la ondeeni shaka sijatumwa nimesema kwakuwa nazani inasaidia kujua unaweza pata hata kama huna mkwanja na humjui mtu.
Tuombeane duwa tu mchakato uishe salama na mwisho wa siku tusaini contract maana kwa sisi wa mikoani interview ni expensive hata kama hutoi rushwa (nauli na malazi) kwakuwa kila interview lazima uende dar mara mbili I mean kwa ajili ya written na oral gharama ambayo si chini ya 300,000/- per job interview.
Asanteni kwa wote mliotia baraka na kwa wapondaji pia maana bila nyinyi life haliendi.

nice analaysis kwa wote ambao waliona uwezo wako mdogo na blah blah nyingine sasa umewathibitishia kwamba,uko vizuri kuliko walivyodhani big up sana.
 
Back
Top Bottom