Siku za Hussein Bashe ndani ya CCM zinahesabika!

Siku za Hussein Bashe ndani ya CCM zinahesabika!

Ukweli ni jambo zuri sana kulisema, lakini uzalendo ni kitu bora zaidi kuliko kitu chochote kile.

Hussein Bashe wewe uko ndani ya CCM na ajabu wewe unaongoza kwa kuiponda CCM kuliko hata ambavyo unaviponda vyama vya upinzani. Katika siasa tabia kama hii haikubaliki hata kidogo.

Wana CCM tumekuwa tukikufuatilia kwa karibu sana, na matamko yako, yanaonesha wazi kabisa wewe siyo mzalendo kwa chama chako kilichokulea mpaka kukufikisha hapo ulipofika.

Inawezekana madai yako yakawa na ukweli ama la; lakini namna unavyoyawasilisha na mahali unapoyawasilisha siyo sahihi hata kidogo. Sidhani kama Mwenyekiti ataendelea kukuvumilia. Mimi nikiwa kama mwanachama wa CCM nimekerwa sana na matamshi yako unayoyatoa bungeni. Acha kutafuta cheap publicity!

Bashe wewe ni msaliti, tena inaonekana unatumiwa na CHADEMA sababu ulikuwa swahiba wa Lowassa. You are a traitor! You are a mole and you have to be removed!

Nakushauri Mwenyekiti wangu mpendwa na Rais wetu, ndugu John Pombe Magufuli, muondoe haraka sana huyu kijana ndani ya chama chetu sababu sasa ameshaota MAPEMBE. Bashe ni hatari sana kwa mustakabali wa chama chetu (CCM).

Hakuna chama chochote kile cha siasa hapa Tanzania ambacho kingemvumilia mwanachama kama BASHE! Mifano ipo mingi sana.

Mbaya zaidi anayoyaongea Bashe bungeni hayana faida yoyote ile kwa wananchi wa jimbo lake! Kazi yako Bashe ni kuwawakilisha wapiga kura wa NZEGA na siyo kupigana na CCM na serikali yake!

Mheshimiwa Rais; naomba uunde kamati maalumu ndani ya CCM kwa ajili ya kumchunguza huyu bwana mdogo. Anakoelekea siko kabisa na hatufai tena ndani ya chama chetu.

Mimi nina uhakika wa 90% hata kama tukimfukuza uanachama huyu msaliti BASHE, jimbo la NZEGA bado tutalichukua. Wakati ni sasa!

By Son of Gamba.
Wachumia tumbo katika ubora
 
Kwa yaliyoandikwa kwenye uzi huu kama ndio msimamo wa CCM basi CCM ni adui wa watu. Bashe mara zote akisimama kuongea bungeni hukemea maovu na kushauri juu ya kuboresha uchumi .sasa hapo baya lipi? Kama CCM mtamchukia Bashe kwa kuwaeleza ukweli ninyi ni adui wa watu.
 
Mleta mada ulitaka bashe akodishe matarumbeta apite barabarani akiimba ule wimbo pendwa ili ujue ni mzalendo kwa chama? Bashe has crossed that line. Yaani unaona watu kutekwa ni sawa provided unapata mshahara na maisha yanasonga? Wewe ni hayawani
 
Nadhani anamaanisha anachokisema, kasoro alipotolea hoja yake si muafaka, anawaita wenzake wanafiki, hapo amepitiliza mno
 
Eti maisha yangu yako hatarini alafu nianze kufuata protocol,jamaa kaenda kusemea bungeni ili wote mfahamu kuwa alishawahi kutekwa na maisha yake yako hatarini,ili ajinusuru.maisha matamu shehe, kila mtu anaogopa kufa,uhai kwanza alaf chama baadae.
 
Ukweli ni jambo zuri sana kulisema, lakini uzalendo ni kitu bora zaidi kuliko kitu chochote kile.

Hussein Bashe wewe uko ndani ya CCM na ajabu wewe unaongoza kwa kuiponda CCM kuliko hata ambavyo unaviponda vyama vya upinzani. Katika siasa tabia kama hii haikubaliki hata kidogo.

Wana CCM tumekuwa tukikufuatilia kwa karibu sana, na matamko yako, yanaonesha wazi kabisa wewe siyo mzalendo kwa chama chako kilichokulea mpaka kukufikisha hapo ulipofika.

Inawezekana madai yako yakawa na ukweli ama la; lakini namna unavyoyawasilisha na mahali unapoyawasilisha siyo sahihi hata kidogo. Sidhani kama Mwenyekiti ataendelea kukuvumilia. Mimi nikiwa kama mwanachama wa CCM nimekerwa sana na matamshi yako unayoyatoa bungeni. Acha kutafuta cheap publicity!

Bashe wewe ni msaliti, tena inaonekana unatumiwa na CHADEMA sababu ulikuwa swahiba wa Lowassa. You are a traitor! You are a mole and you have to be removed!

Nakushauri Mwenyekiti wangu mpendwa na Rais wetu, ndugu John Pombe Magufuli, muondoe haraka sana huyu kijana ndani ya chama chetu sababu sasa ameshaota MAPEMBE. Bashe ni hatari sana kwa mustakabali wa chama chetu (CCM).

Hakuna chama chochote kile cha siasa hapa Tanzania ambacho kingemvumilia mwanachama kama BASHE! Mifano ipo mingi sana.

Mbaya zaidi anayoyaongea Bashe bungeni hayana faida yoyote ile kwa wananchi wa jimbo lake! Kazi yako Bashe ni kuwawakilisha wapiga kura wa NZEGA na siyo kupigana na CCM na serikali yake!

Mheshimiwa Rais; naomba uunde kamati maalumu ndani ya CCM kwa ajili ya kumchunguza huyu bwana mdogo. Anakoelekea siko kabisa na hatufai tena ndani ya chama chetu.

Mimi nina uhakika wa 90% hata kama tukimfukuza uanachama huyu msaliti BASHE, jimbo la NZEGA bado tutalichukua. Wakati ni sasa!

By Son of Gamba.
Wewe ni ƙuma na una uwoga wa ƙiƙuma kumamaƴo
 
Ukweli ni jambo zuri sana kulisema, lakini uzalendo ni kitu bora zaidi kuliko kitu chochote kile.

Hussein Bashe wewe uko ndani ya CCM na ajabu wewe unaongoza kwa kuiponda CCM kuliko hata ambavyo unaviponda vyama vya upinzani. Katika siasa tabia kama hii haikubaliki hata kidogo.

Wana CCM tumekuwa tukikufuatilia kwa karibu sana, na matamko yako, yanaonesha wazi kabisa wewe siyo mzalendo kwa chama chako kilichokulea mpaka kukufikisha hapo ulipofika.

Inawezekana madai yako yakawa na ukweli ama la; lakini namna unavyoyawasilisha na mahali unapoyawasilisha siyo sahihi hata kidogo. Sidhani kama Mwenyekiti ataendelea kukuvumilia. Mimi nikiwa kama mwanachama wa CCM nimekerwa sana na matamshi yako unayoyatoa bungeni. Acha kutafuta cheap publicity!

Bashe wewe ni msaliti, tena inaonekana unatumiwa na CHADEMA sababu ulikuwa swahiba wa Lowassa. You are a traitor! You are a mole and you have to be removed!

Nakushauri Mwenyekiti wangu mpendwa na Rais wetu, ndugu John Pombe Magufuli, muondoe haraka sana huyu kijana ndani ya chama chetu sababu sasa ameshaota MAPEMBE. Bashe ni hatari sana kwa mustakabali wa chama chetu (CCM).

Hakuna chama chochote kile cha siasa hapa Tanzania ambacho kingemvumilia mwanachama kama BASHE! Mifano ipo mingi sana.

Mbaya zaidi anayoyaongea Bashe bungeni hayana faida yoyote ile kwa wananchi wa jimbo lake! Kazi yako Bashe ni kuwawakilisha wapiga kura wa NZEGA na siyo kupigana na CCM na serikali yake!

Mheshimiwa Rais; naomba uunde kamati maalumu ndani ya CCM kwa ajili ya kumchunguza huyu bwana mdogo. Anakoelekea siko kabisa na hatufai tena ndani ya chama chetu.

Mimi nina uhakika wa 90% hata kama tukimfukuza uanachama huyu msaliti BASHE, jimbo la NZEGA bado tutalichukua. Wakati ni sasa!

By Son of Gamba.
Unajitekenya na kucheka mwenyewe
 
Mwache aseme kweli. Bashe siku zake zinahesabika. Hawa vijana wamepata malezi mabaya ndani ya CCM
nyie wapuuzi hawa usalamawa taifa sasa wanaingia mitaani kukamata watu kinyume cha sheria mnacheka watu wanatekwa mnacheka manina zenu mbwa kabisa nyie kwani hii nchi ni ya ccm pumbafu wacha nipewe ban eti chama shenzy type
 
Inawezekana madai yako yakawa na ukweli ama la; lakini namna unavyoyawasilisha na mahali unapoyawasilisha siyo sahihi hata kidogo. Sidhani kama Mwenyekiti ataendelea kukuvumilia. Mimi nikiwa kama mwanachama wa CCM nimekerwa sana na matamshi yako unayoyatoa bungeni. Acha kutafuta cheap publicity!

Bashe wewe ni msaliti, tena inaonekana unatumiwa na CHADEMA sababu ulikuwa swahiba wa Lowassa. You are a traitor! You are a mole and you have to be removed!
Hivi kwa mfano asingekamatwa na wana "usalama" angeyasema hayo unayo yalalamikia? Wafrica wengi tunakua masikini kwa fikra, tunapenda kujadiri tatizo badala ya kujadiri chanzo cha tatizo. Kwanza kiusalama, ukisha ropoka vile kama alivyo fanya Bashe then hata wao sasa wataona aibu kukuua hata kama walikua na huo mpango. Tumia akili kidogo tu then utaona Bashe yupo sahihi.
 
Tatizo lenu awamu hii mkiambiwa ukweli mnatisha watu hivi we we kinachoendelea nchini hujui Bashe akiwambia ukweli ooh msaliti mfukuzeni MKUU we we na nduguyo lizaboni mnatumika
Tofautisha kati ya "Uzalendo" na "Kujipendekeza kwa wapinzani".

Bashe anajipendekeza sana kwa wapinzani wa CCM. Huyu kijana hafai kuendelea kuwa mwanachama wa CCM.
 
Kama "BABA MUNGU" ni mjomba wako, basi itakuwa hivyo.

Lakini kama BABA MUNGU ni wetu sote, basi nasema, "USHINDWE KWA JINA LA YESU KRISTO!

Je Mh H Bashe hastahili kulindwa na Mwenyenzi Mungu kutoka kwa wale wanao muombea mabaya?
Hon H Bashe, hajafanya kosa kuwa Mzalendo wa Taifa lake!!

Punguzeni wivu,
Simamieni Ukweli...
 
Ndugu BASHE siku zako ndani UANACHAMA chama zahesabika toka ulipoanza kuasi na kusema ukweli wenzako wanakuangalia unapokuwa ndani UANACHAMA ccm au unapoona mwanaccm amekosea usiseme ukweli badala yake wewe msifie . Ila ulipofikia kuamua kuungana na upande wa wapinzani kuanika uongo muulize sophia simba na Emmanuel nchimbi kilichowakuta Dodoma
 
Na mwenyekiti wa chama atakapo mfukuza bashe ndio atakapo kuwa kapipaka mavi usoni maana mwenyewe hata baki salama kwa harufu na uchafu ule ataishi kwa mateso, na marafiki zake watakaa nae mbali kwa kuogopa uchafu na harufu ya kinyesi, ule ushujaa feki mliomvika ccm utakuwa umechafuka zaidi, kwa akili alizo nazo atamvumila ila 2020 anawaza kumkata bila kutafakari Mungu ana muwazia nini yeye mkuu kabla ya hiyo 2020.
 
Back
Top Bottom