Siku za Hussein Bashe ndani ya CCM zinahesabika!

Siku za Hussein Bashe ndani ya CCM zinahesabika!

Najua binadam wengi wanapenda sana kusikia mabaya ya kitu kuliko mazuri ya kitu ndo maana watu wanaoponda wenzao kwa mambo ya kijingakijinga huwa na wasikirizaji wengi kuliko wale wanaotetea na kuleta hoja
Imefika mahali ambapo wtu hujiona wazarendo wakiponda kuliko kutoa mawazo harisi ili nche yetu hii masikini iendelee kwa kiwango cha juu sana
Imefika kipindi Tundu Lissu anatetea wawekezaji wa kizungu kuliko nchi yake na watu hushangilia.
Imefika mda mtu anashabikia kuwa ufisadi urudi kwani unafaida, watanzania cjui tumerogwa nn mpaka mtu asie mzalendo tunamuona anafaa


Anyways huo ulikuwa utangulizi
Huyu bwana Bashe atakuwa ni kimea kilichoingizwa ndani ya chama ili kiiharibu chama, Tangu enz za uchaguzi anasema Magufuli bado ni mchanga na ataendeshwa na CCM bora Lowassa aingie dimban. Tujiulizeni. Ivi kati ya magufuli au lowassa nani ambae ingekuwa virahisi kuendeshwa
Tangu awe mbunge anaponda serekali na kwakua kaona hilo ndo lakupatia airtime anaendelea kufanya vilivyo
Ningekuwa na mamlaka ningehamuru asaidie upelelezi kwani kataja adi idadi ya wabunge waliopangwa kukamatwa,inabidi ashikwe aliulize data kazitoa wapi, maana kama anajua ni wazi itajulikana nani anaefanya huu ufuska wa kisiasa
 
Mbona na wewe mada yako imekaa kwa kuponda ponda tu?
Ungeanza hata na mazuri yake basi,mana kila mtu ana uzuri na ubaya
 
Ukweli ni jambo zuri sana kulisema, lakini uzalendo ni kitu bora zaidi kuliko kitu chochote kile.

Hussein Bashe wewe uko ndani ya CCM na ajabu wewe unaongoza kwa kuiponda CCM kuliko hata ambavyo unaviponda vyama vya upinzani. Katika siasa tabia kama hii haikubaliki hata kidogo.

Wana CCM tumekuwa tukikufuatilia kwa karibu sana, na matamko yako, yanaonesha wazi kabisa wewe siyo mzalendo kwa chama chako kilichokulea mpaka kukufikisha hapo ulipofika.

Inawezekana madai yako yakawa na ukweli ama la; lakini namna unavyoyawasilisha na mahali unapoyawasilisha siyo sahihi hata kidogo. Sidhani kama Mwenyekiti ataendelea kukuvumilia. Mimi nikiwa kama mwanachama wa CCM nimekerwa sana na matamshi yako unayoyatoa bungeni. Acha kutafuta cheap publicity!

Bashe wewe ni msaliti, tena inaonekana unatumiwa na CHADEMA sababu ulikuwa swahiba wa Lowassa. You are a traitor! You are a mole and you have to be removed!

Nakushauri Mwenyekiti wangu mpendwa na Rais wetu, ndugu John Pombe Magufuli, muondoe haraka sana huyu kijana ndani ya chama chetu sababu sasa ameshaota MAPEMBE. Bashe ni hatari sana kwa mustakabali wa chama chetu (CCM).

Hakuna chama chochote kile cha siasa hapa Tanzania ambacho kingemvumilia mwanachama kama BASHE! Mifano ipo mingi sana.

Mbaya zaidi anayoyaongea Bashe bungeni hayana faida yoyote ile kwa wananchi wa jimbo lake! Kazi yako Bashe ni kuwawakilisha wapiga kura wa NZEGA na siyo kupigana na CCM na serikali yake!

Mheshimiwa Rais; naomba uunde kamati maalumu ndani ya CCM kwa ajili ya kumchunguza huyu bwana mdogo. Anakoelekea siko kabisa na hatufai tena ndani ya chama chetu.

Mimi nina uhakika wa 90% hata kama tukimfukuza uanachama huyu msaliti BASHE, jimbo la NZEGA bado tutalichukua. Wakati ni sasa!

By Son of Gamba.
Wewe unayejiita Son of Gamba, sijajua ni Gamba ipi ambayo unajitangaza kutokana nayo make navojua huu ukoo wa Gamba una watu ambao mostly ni great thinkers. Napata wasiwasi na wewe kwa sababu umeshindwa kutenganisha kitu kidogo tu katika kuwasilisha hoja yako. Una jaribu kum attack Bashe ukiwa umejikita zaidi ktk mlengo wa kutetea chama, ukshindwa kuelewa kuwa yeye Bashe anatetea uhai wake. Ambapo kimsingi kuna maisha baada ya yeye kuwa nje ya ccm ama bungeni, lakini hakuna maisha baada ya yeye kuwa amepoteza uhai. Hivo ungejitenga kabisa na siasa ukajaribu kuangalia suala la uhai wa huyu Mtanzania mwenzako kuliko kuangalia masilahi ya chama. Nyerere ambaye ni muasisi wa chama unachokisimamia aliwahi kusema endapo CCM ikipoteza ama kuacha yale ambayo ndo msingi wa chama basi yeye hana budi kuondoka ndani ya chama. Akaenda mbali zaidi na kudai chama si mama yake walababake. Hivo basi sioni kama ni sahihi sana kwako unajinadi kuwa unajua zaidi ccm kumshambulia mtu ambaye analilia uhai wake kwa madai eti anakikosoa chama. No no no no...... tuwe wazalendo siyo kila jambo tuliweke kichama.

Kumbuka yanayomtokea Bashe leo yanaweza kukutokea hata wewe, unaijua ccm yeye kuliko Nape? Unaijua ccm kuliko Lowasa? unaijua ccm kuliko Sumaye? unaijua ccm kuliko Sophia Simba? Unaijua ccm kuliko Madabida? Sitaki kuamini hivo nadhani bado bali unamuhemko wa kutaka kujua ccm.

Wewe siyo Mwigamba wegamba siyo wanafiki kiivo.
 
Ukweli ni jambo zuri sana kulisema, lakini uzalendo ni kitu bora zaidi kuliko kitu chochote kile.

Hussein Bashe wewe uko ndani ya CCM na ajabu wewe unaongoza kwa kuiponda CCM kuliko hata ambavyo unaviponda vyama vya upinzani. Katika siasa tabia kama hii haikubaliki hata kidogo.

Wana CCM tumekuwa tukikufuatilia kwa karibu sana, na matamko yako, yanaonesha wazi kabisa wewe siyo mzalendo kwa chama chako kilichokulea mpaka kukufikisha hapo ulipofika.

Inawezekana madai yako yakawa na ukweli ama la; lakini namna unavyoyawasilisha na mahali unapoyawasilisha siyo sahihi hata kidogo. Sidhani kama Mwenyekiti ataendelea kukuvumilia. Mimi nikiwa kama mwanachama wa CCM nimekerwa sana na matamshi yako unayoyatoa bungeni. Acha kutafuta cheap publicity!

Bashe wewe ni msaliti, tena inaonekana unatumiwa na CHADEMA sababu ulikuwa swahiba wa Lowassa. You are a traitor! You are a mole and you have to be removed!

Nakushauri Mwenyekiti wangu mpendwa na Rais wetu, ndugu John Pombe Magufuli, muondoe haraka sana huyu kijana ndani ya chama chetu sababu sasa ameshaota MAPEMBE. Bashe ni hatari sana kwa mustakabali wa chama chetu (CCM).

Hakuna chama chochote kile cha siasa hapa Tanzania ambacho kingemvumilia mwanachama kama BASHE! Mifano ipo mingi sana.

Mbaya zaidi anayoyaongea Bashe bungeni hayana faida yoyote ile kwa wananchi wa jimbo lake! Kazi yako Bashe ni kuwawakilisha wapiga kura wa NZEGA na siyo kupigana na CCM na serikali yake!

Mheshimiwa Rais; naomba uunde kamati maalumu ndani ya CCM kwa ajili ya kumchunguza huyu bwana mdogo. Anakoelekea siko kabisa na hatufai tena ndani ya chama chetu.

Mimi nina uhakika wa 90% hata kama tukimfukuza uanachama huyu msaliti BASHE, jimbo la NZEGA bado tutalichukua. Wakati ni sasa!

By Son of Gamba.
Ninachokijua Bashe akigombea kwa chama chochote kile atashinda. Ila sina uhakika kama CCM inaweza kushinda. Naomba Rais afuate ushauri wako.
 
Hahahahaha mzalendo wa chama hahahahahahaahaha sio nchi yaani kwenu chama kwanza nchi baadaye
 
Ukweli ni jambo zuri sana kulisema, lakini uzalendo ni kitu bora zaidi kuliko kitu chochote kile.

Hussein Bashe wewe uko ndani ya CCM na ajabu wewe unaongoza kwa kuiponda CCM kuliko hata ambavyo unaviponda vyama vya upinzani. Katika siasa tabia kama hii haikubaliki hata kidogo.

Wana CCM tumekuwa tukikufuatilia kwa karibu sana, na matamko yako, yanaonesha wazi kabisa wewe siyo mzalendo kwa chama chako kilichokulea mpaka kukufikisha hapo ulipofika.

Inawezekana madai yako yakawa na ukweli ama la; lakini namna unavyoyawasilisha na mahali unapoyawasilisha siyo sahihi hata kidogo. Sidhani kama Mwenyekiti ataendelea kukuvumilia. Mimi nikiwa kama mwanachama wa CCM nimekerwa sana na matamshi yako unayoyatoa bungeni. Acha kutafuta cheap publicity!

Bashe wewe ni msaliti, tena inaonekana unatumiwa na CHADEMA sababu ulikuwa swahiba wa Lowassa. You are a traitor! You are a mole and you have to be removed!

Nakushauri Mwenyekiti wangu mpendwa na Rais wetu, ndugu John Pombe Magufuli, muondoe haraka sana huyu kijana ndani ya chama chetu sababu sasa ameshaota MAPEMBE. Bashe ni hatari sana kwa mustakabali wa chama chetu (CCM).

Hakuna chama chochote kile cha siasa hapa Tanzania ambacho kingemvumilia mwanachama kama BASHE! Mifano ipo mingi sana.

Mbaya zaidi anayoyaongea Bashe bungeni hayana faida yoyote ile kwa wananchi wa jimbo lake! Kazi yako Bashe ni kuwawakilisha wapiga kura wa NZEGA na siyo kupigana na CCM na serikali yake!

Mheshimiwa Rais; naomba uunde kamati maalumu ndani ya CCM kwa ajili ya kumchunguza huyu bwana mdogo. Anakoelekea siko kabisa na hatufai tena ndani ya chama chetu.

Mimi nina uhakika wa 90% hata kama tukimfukuza uanachama huyu msaliti BASHE, jimbo la NZEGA bado tutalichukua. Wakati ni sasa!

By Son of Gamba.

Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko. Sasa yeye kutimiza ahadi hiyo kwa vitendo ndiko kukosea chama laiti kama ungesema hajawai kutekwa anawasingizia wanausalama wetu.
 
Huenda ukawa unamuona si mfia chama, lkn sie tunamuona ni mzalendo kwa nchi yake.
Hana Uzalendo wowote! Misingi yake inafahamika na kisa Swahiba wake hakupata nafasi , mbaya sana walasijamsikia akizungumzia matatizo ya Nzega!
 
Ipo siku tutakufa na kuacha kila kitu wanaosema kweli wanaonekana wasaliti waongo wanapandishwa vyeo acha tuteseke lkn mwanadamu ana maisha ya mda hapa duniani na kila kitu tutakiacha kukifa
 
Wewe unayejiita Son of Gamba, sijajua ni Gamba ipi ambayo unajitangaza kutokana nayo make navojua huu ukoo wa Gamba una watu ambao mostly ni great thinkers. Napata wasiwasi na wewe kwa sababu umeshindwa kutenganisha kitu kidogo tu katika kuwasilisha hoja yako. Una jaribu kum attack Bashe ukiwa umejikita zaidi ktk mlengo wa kutetea chama, ukshindwa kuelewa kuwa yeye Bashe anatetea uhai wake. Ambapo kimsingi kuna maisha baada ya yeye kuwa nje ya ccm ama bungeni, lakini hakuna maisha baada ya yeye kuwa amepoteza uhai. Hivo ungejitenga kabisa na siasa ukajaribu kuangalia suala la uhai wa huyu Mtanzania mwenzako kuliko kuangalia masilahi ya chama. Nyerere ambaye ni muasisi wa chama unachokisimamia aliwahi kusema endapo CCM ikipoteza ama kuacha yale ambayo ndo msingi wa chama basi yeye hana budi kuondoka ndani ya chama. Akaenda mbali zaidi na kudai chama si mama yake walababake. Hivo basi sioni kama ni sahihi sana kwako unajinadi kuwa unajua zaidi ccm kumshambulia mtu ambaye analilia uhai wake kwa madai eti anakikosoa chama. No no no no...... tuwe wazalendo siyo kila jambo tuliweke kichama.

Kumbuka yanayomtokea Bashe leo yanaweza kukutokea hata wewe, unaijua ccm yeye kuliko Nape? Unaijua ccm kuliko Lowasa? unaijua ccm kuliko Sumaye? unaijua ccm kuliko Sophia Simba? Unaijua ccm kuliko Madabida? Sitaki kuamini hivo nadhani bado bali unamuhemko wa kutaka kujua ccm.

Wewe siyo Mwigamba wegamba siyo wanafiki kiivo.
Narudia tena kusema, Bashe ni mnafiki sababu kama kweli alitishiwa kwanini hakuwajulisha polisi na badala yake anakwenda kubwabwaja Bungeni? Alikuwa anaropoka Bungeni kwa faida ya nani kama siyo kwa faida ya maswahiba wake ambao ni wapinzani? Nani asiyemjua Bashe na USWAHIBA wake kwa Lowassa?

Huyu kijana hajaanza leo kukiponda chama na Serikali yake, alianza muda tu tokea alipoingia Bungeni. Sasa tukiwa kama wanaCCM kindakindaki tunasema siku zake ndani ya chama chetu zinahesabika. Si hata yeye amesema "tumfukuze uanachama", sasa yatatimia. It's just a matter of time!
 
Hana Uzalendo wowote! Misingi yake inafahamika na kisa Swahiba wake hakupata nafasi , mbaya sana walasijamsikia akizungumzia matatizo ya Nzega!
Insta-image-23.jpg
Insta-image-27.jpg
Insta-image-28.jpg


Soma ujionee anavyopambana kutatua changamoto za msingi za wana Nzega.
 
Ukweli ni jambo zuri sana kulisema, lakini uzalendo ni kitu bora zaidi kuliko kitu chochote kile.

Hussein Bashe wewe uko ndani ya CCM na ajabu wewe unaongoza kwa kuiponda CCM kuliko hata ambavyo unaviponda vyama vya upinzani. Katika siasa tabia kama hii haikubaliki hata kidogo.

Wana CCM tumekuwa tukikufuatilia kwa karibu sana, na matamko yako, yanaonesha wazi kabisa wewe siyo mzalendo kwa chama chako kilichokulea mpaka kukufikisha hapo ulipofika.

Inawezekana madai yako yakawa na ukweli ama la; lakini namna unavyoyawasilisha na mahali unapoyawasilisha siyo sahihi hata kidogo. Sidhani kama Mwenyekiti ataendelea kukuvumilia. Mimi nikiwa kama mwanachama wa CCM nimekerwa sana na matamshi yako unayoyatoa bungeni. Acha kutafuta cheap publicity!

Bashe wewe ni msaliti, tena inaonekana unatumiwa na CHADEMA sababu ulikuwa swahiba wa Lowassa. You are a traitor! You are a mole and you have to be removed!

Nakushauri Mwenyekiti wangu mpendwa na Rais wetu, ndugu John Pombe Magufuli, muondoe haraka sana huyu kijana ndani ya chama chetu sababu sasa ameshaota MAPEMBE. Bashe ni hatari sana kwa mustakabali wa chama chetu (CCM).

Hakuna chama chochote kile cha siasa hapa Tanzania ambacho kingemvumilia mwanachama kama BASHE! Mifano ipo mingi sana.

Mbaya zaidi anayoyaongea Bashe bungeni hayana faida yoyote ile kwa wananchi wa jimbo lake! Kazi yako Bashe ni kuwawakilisha wapiga kura wa NZEGA na siyo kupigana na CCM na serikali yake!

Mheshimiwa Rais; naomba uunde kamati maalumu ndani ya CCM kwa ajili ya kumchunguza huyu bwana mdogo. Anakoelekea siko kabisa na hatufai tena ndani ya chama chetu.

Mimi nina uhakika wa 90% hata kama tukimfukuza uanachama huyu msaliti BASHE, jimbo la NZEGA bado tutalichukua. Wakati ni sasa!

By Son of Gamba.
Nyambafu were mchumia tumbo na mnafiki mkubwa inamaana haya yanayofanyika ya kuonea watu huyaoni. natamani itokee uchaguzi sasa hivi tuipige chini CCM isiyowajali wanyonge na isiyokuwa na democrazia inayobeba wenye vyeti feki kama akina Bashite. wewe na BASHE nani Mzalendo wa ukweli mlaaniwe nyiwe na Mungu mpenda haki.
 
Alisaidiwa tu wakati ule na Lawrence Masha.

Yusuph Makamba na John Chiligati wazingeweza kuongea uongo juu ya uraia wa Hussein Bashe.

Ni mtandao wa Lowasa ndiyo ulikuwa ukisukwa kwa 2015 na likabuma.
tatizo lenu mkiambiwa ukweli mnateka watu, ohhh si raia wa Tanzania BASHE ni shujaaa mtetezi wa wanyinge
 
Uzalendo unatakiwa uwe ktk NCHI na sio CHAMA hata mara moja na hivi ni vitu vi-2 tofauti, Kusimamia ukweli ktk maslahi ya nchi ni kusonga mbele BALI kusimamia UPUUZI ktk maslahi ya CHAMA ni UJINGA ULIOTUKUKA! Hongera sana Bashe kwa ushujaa wako usiwe nyumbu kama wale wa NDIOOOOOOOOOO
 
Heri ya BASHE kaona mbali kuliko wewe MCHUMIA TUMBO kutwa nzima kusifia CCM kama katoa malalamiko na hajasikilizwa na anaona anakoelekea wanataka kumuuua ulitaka afanye nn???
 
Hivyo ndivyo nchi hii ilivyoharibiwa, ukisema kweli au kukikosoa chama unaitwa msaliti, Moyo wa Bashe umefikia kikomo kuyaona na kunyamazia maovu, alianza Kolimba, lakini yakamkuta, Mansour wa Z'bar pia alichoka, Wamelaanika wote wanaoificha kweli.
 
Ukweli ni jambo zuri sana kulisema, lakini uzalendo ni kitu bora zaidi kuliko kitu chochote kile.

Hussein Bashe wewe uko ndani ya CCM na ajabu wewe unaongoza kwa kuiponda CCM kuliko hata ambavyo unaviponda vyama vya upinzani. Katika siasa tabia kama hii haikubaliki hata kidogo.

Wana CCM tumekuwa tukikufuatilia kwa karibu sana, na matamko yako, yanaonesha wazi kabisa wewe siyo mzalendo kwa chama chako kilichokulea mpaka kukufikisha hapo ulipofika.

Inawezekana madai yako yakawa na ukweli ama la; lakini namna unavyoyawasilisha na mahali unapoyawasilisha siyo sahihi hata kidogo. Sidhani kama Mwenyekiti ataendelea kukuvumilia. Mimi nikiwa kama mwanachama wa CCM nimekerwa sana na matamshi yako unayoyatoa bungeni. Acha kutafuta cheap publicity!

Bashe wewe ni msaliti, tena inaonekana unatumiwa na CHADEMA sababu ulikuwa swahiba wa Lowassa. You are a traitor! You are a mole and you have to be removed!

Nakushauri Mwenyekiti wangu mpendwa na Rais wetu, ndugu John Pombe Magufuli, muondoe haraka sana huyu kijana ndani ya chama chetu sababu sasa ameshaota MAPEMBE. Bashe ni hatari sana kwa mustakabali wa chama chetu (CCM).

Hakuna chama chochote kile cha siasa hapa Tanzania ambacho kingemvumilia mwanachama kama BASHE! Mifano ipo mingi sana.

Mbaya zaidi anayoyaongea Bashe bungeni hayana faida yoyote ile kwa wananchi wa jimbo lake! Kazi yako Bashe ni kuwawakilisha wapiga kura wa NZEGA na siyo kupigana na CCM na serikali yake!

Mheshimiwa Rais; naomba uunde kamati maalumu ndani ya CCM kwa ajili ya kumchunguza huyu bwana mdogo. Anakoelekea siko kabisa na hatufai tena ndani ya chama chetu.

Mimi nina uhakika wa 90% hata kama tukimfukuza uanachama huyu msaliti BASHE, jimbo la NZEGA bado tutalichukua. Wakati ni sasa!

By Son of Gamba.
Povu limawatoka sasa tatizo lenu mtu akisema ukweli kwenu ni msaliti,dhambi itawatafuna milele.
 
Back
Top Bottom