Mwanachama machachali sana ndani ya CCM ndugu Humphrey Polepole a.k.a Comred Polepole pamoja na genge lake lipo hatiani kuondoka ndani ya Chama cha mapinduzi kutokana na kwenda sawa na mfumo wa awamu ya sita.
Walifanikiwa kuwakonyeza Watanzania kuwa tupo fiti na tukitaka kupindua tunaweza; hayo walionesha kupitia gazeti la Uhuru la tarehe 11/8/2021.
Humphrey na genge lake ni watu waliopata umaarufu na kuaminiwa sana nyakati za hayati mwendazake JPM, lakini kutoka na mabadiliko ya ghafla yaliyotokea hawa jamaa bado hawaamini kama CCM sio mlengwa wao tena na kwa sababu hiyo basi wanafanya mikakati mingi sana kuna inayoonekana na ile isiyoonekana.
Kutokana na upepo uliopo ndani ya chama cha mapinduzi hata sasa ni dhahiri kuwa wana siku chache sana za kuvumiliwa.
Walifanikiwa kuwakonyeza Watanzania kuwa tupo fiti na tukitaka kupindua tunaweza; hayo walionesha kupitia gazeti la Uhuru la tarehe 11/8/2021.
Humphrey na genge lake ni watu waliopata umaarufu na kuaminiwa sana nyakati za hayati mwendazake JPM, lakini kutoka na mabadiliko ya ghafla yaliyotokea hawa jamaa bado hawaamini kama CCM sio mlengwa wao tena na kwa sababu hiyo basi wanafanya mikakati mingi sana kuna inayoonekana na ile isiyoonekana.
Kutokana na upepo uliopo ndani ya chama cha mapinduzi hata sasa ni dhahiri kuwa wana siku chache sana za kuvumiliwa.