mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,309
- 2,218
Kwani kafanyaje hadi afukuzwe?Afukuzwe tu maana ni shetani kabisa
Kwani kafanyaje hadi afukuzwe?Afukuzwe tu maana ni shetani kabisa
Fuatilia vyombo vya habari mkuuKwani kafanyaje hadi afukuzwe?
Bila fitna humo mmh!Mwanachama machachali sana ndani ya CCM ndugu Humphrey Polepole a.k.a Comred Polepole pamoja na genge lake lipo hatiani kuondoka ndani ya Chama cha mapinduzi kutokana na kwenda sawa na mfumo wa awamu ya sita...
HahahahaMzee wa kibyongo
Polepole hata akifukuzwa Uanachama, hawezi kupoteza ubunge. Ubunge wake hautokani na nafasi za chama. Bali ni zile nafasi kumi za Rais, ambazo anaweza kuteua mtu yeyote hata asiye na chama au kutoka chama Cha upinzani (rejea Mbatia). Hivo ubunge ni wa miaka Mitano full, mpaka bunge litakapovunjwa au mazingira mengine kabisa.Sijaona mgogoro wa kumfukuza mtu uanachama hapo!
Labda kama wewe ni mgeni wa siasa za ccm...
Ni mjinga na mpuuzi pekee ndiye anaweza kuuliza hili swaliUlimwekea wewe hiyo sumu?
Polepole bado yupo sana CCM!Mwanachama machachali sana ndani ya CCM ndugu Humphrey Polepole a.k.a Comred Polepole pamoja na genge lake lipo hatiani kuondoka ndani ya Chama cha mapinduzi kutokana na kwenda sawa na mfumo wa awamu ya sita.
Walifanikiwa kuwakonyeza Watanzania kuwa tupo fiti na tukitaka kupindua tunaweza; hayo walionesha kupitia gazeti la Uhuru la tarehe 11/8/2021.
Humphrey na genge lake ni watu waliopata umaarufu na kuaminiwa sana nyakati za hayati mwendazake JPM, lakini kutoka na mabadiliko ya ghafla yaliyotokea hawa jamaa bado hawaamini kama CCM sio mlengwa wao tena na kwa sababu hiyo basi wanafanya mikakati mingi sana kuna inayoonekana na ile isiyoonekana.
Kutokana na upepo uliopo ndani ya chama cha mapinduzi hata sasa ni dhahiri kuwa wana siku chache sana za kuvumiliwa.
Adui wa ndani ni hatari zaidi kuliko Adui wa nje ya Chama.
Hawa team Sukuma Gang kuna haja ya kuwaweka kando.
Samia kayataka mwenyewe, watu walimshauri hao achanenaoAdui wa ndani ni hatari zaidi kuliko Adui wa nje ya Chama.
Hawa team Sukuma Gang kuna haja ya kuwaweka kando.
Bora waishie tu kumtia chamani, maana wanaccm kwa kuuana hawajambo
Mungu kweli ni mkubwa na mwingi wa mipango! leo ma CCM yanalana yenyewe kwa yenyewe kama mazombe, na huu ni mwanzo tu... tutaona mengi! Dhulma haina mwisho mwema!
Wanaccm huyu mwenzenu msimbague
Mungu wa matendo makuuMungu kweli ni mkubwa na mwingi wa mipango! leo ma CCM yanalana yenyewe kwa yenyewe kama mazombe, na huu ni mwanzo tu... tutaona mengi! Dhulma haina mwisho mwema!
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !Mungu kweli ni mkubwa na mwingi wa mipango! leo ma CCM yanalana yenyewe kwa yenyewe kama mazombe, na huu ni mwanzo tu... tutaona mengi! Dhulma haina mwisho mwema!