Siku za gulio Dar es Salaam

Siku za gulio Dar es Salaam

Kibenje KK

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2016
Posts
283
Reaction score
438
Habari. Kwenye harakati za utafutaji hasa biashara tunahitaji watu.

Kati ya maeneo ambayo mtu unaweza kufanya biashara kwa wepesi ni kwenye magulio.

Naomba kujua siku za gulio maeneo tofauti tofauti Dar es Salaam. Kutaja utajua umesaidia Wajasiriamali wengi.
 
Si unajiunga kwenye kikundi au huwa hakuna taratibu zozote?
 
Back
Top Bottom