MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 559
Usiku uliopita ulikuwa mbaya sana ...niliona bora nisingefanya mipango ya kumwita... mbaya sana...
Mi siku yangu imekuwa nzuri. Hatimaye boss kaachia ushuzi mbele yangu. Bahati nzuri nimeurekodi.
Mi siku yangu imekuwa nzuri. Hatimaye boss kaachia ushuzi mbele yangu. Bahati nzuri nimeurekodi.
hahahaaa babuu umetisha.
nime yako bishost
FUNGUKA MKUUU..usiogope
Mi siku yangu imekuwa nzuri. Hatimaye boss kaachia ushuzi mbele yangu. Bahati nzuri nimeurekodi.
hehe weka picha
Hapa yani ndo siku inaanza,nimeingia mzigoni..all great feeling goooood.....bila shaka itaisha vizuri,unless otherwise
Imeisha vibaya sijamskia mbeby wangu!!
Ukiona hivyo ujue kachepuka....
Hapa yani ndo siku inaanza,nimeingia mzigoni..all great feeling goooood.....bila shaka itaisha vizuri,unless otherwise