Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
Hahahaha Mkuu siongei na kibwengo...Mbona unaanza kuweweseka?
Hahahaha Mkuu siongei na kibwengo...Mbona unaanza kuweweseka?
Hongera sana kamanda,na wale wanaoweza kutengeneza mabomu hata ya petrol,tutengeneze,polisi wakifyatua na sisi tufyatuwe.wadau: Mimi kijana mpenda Amani ...Lakini ..Siku Ya tarehe...17/2...endapo ccm na police ...wakiamua kufanya vurugu ...basi ...wajue kuwa ...Mimi..roho..yangu ntaitoa Sadaka...kuakikisha Salumu Mwalimu anapata Ubunge...katika jimbo la kinondoni.
Kama ikitokea wameniua Mjue ntakuwa nimeacha mke mmoja ambaye nimjazito...na ...mtoto ..wangu akizaliwa Jina Itabidi aitwe...Mbowe...au akiwa wakike jina aitwe Halima.
I wish you all the best.
Wewe Muhaya acha masiharaAkiwa wa kiume ataitwa Mutambowe au Rutambowe pia Tibambowe. Wakike atakuwa Kokuhalima. Mbona hukusema mke wako ampe visisi (Ebisisi) nani?
Mbona unaongea sasa? Kaa kimya.Hahahaha Mkuu siongei na kibwengo...
Magonjwa Mtambuka....Mbona unaongea sasa? Kaa kimya.
Bado unaendelea tu?Magonjwa Mtambuka....
Hizo Ngonjera peleka kwenye mahafaliHaya mambo si yakudharau, watawala wanapaswa kuwa makini. Tawala nyingi duniani zilianguka kwa kufanya udhalimu. Wananchi huwa wakichoka hakuna wakuwazuia. This is a wake up call.
Yuko wapi Muammar Gaddafi na Hosni Mubarak? Hivi kuna viongozi walishawahi kuwa na nguvu au kuogopewa kama hawa? Kijana acha ushabiki maandazi, wanachi wakiamua hao unaowaona ni viongozi watakua vingoziHizo Ngonjera peleka kwenye mahafali
HahahahahaaBado unaendelea tu?
HahahaNafas ya joseverest umeamua kwa dhat kuichukua wewe?
Police Wanaudhi sana jamani