YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,905
Mkwala mbuziwadau: Mimi kijana mpenda Amani ...Lakini ..Siku Ya tarehe...17/2...endapo ccm na police ...wakiamua kufanya vurugu ...basi ...wajue kuwa ...Mimi..roho..yangu ntaitoa Sadaka...kuakikisha Salumu Mwalimu anapata Ubunge...katika jimbo la kinondoni.
Kama ikitokea wameniua Mjue ntakuwa nimeacha mke mmoja ambaye nimjazito...na ...mtoto ..wangu akizaliwa Jina Itabidi aitwe...Mbowe...au akiwa wakike jina aitwe Halima.
I wish you all the best.