Mama_Aheshimiwe
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,747
- 4,162
Kwani lazima aalikwe,akaalikwe kwa wanaharakati wenzake,baniani mbaya kiatu chake dawa.Halafu Rais wa TLS hajaalikwa,awamu hii kichefu chefu!
Ndio maan tunasema awamu hii kichefu chefu!Wap
Kwani lazima aalikwe,akaalikwe kwa wanaharakati wenzake,baniani mbaya kiatu chake dawa.
Anhaa, ndio maana wakaondoa ile hotuba...!!
Maana kuna mtu angevuliwa nguo mchana kweupe..
Sent using Vertu Signature Cobra
wewe unazungumzia mtu sisi tuna focus kwenye mihimili na taasisi zake.Anhaa, ndio maana wakaondoa ile hotuba...!!
Maana kuna mtu angevuliwa nguo mchana kweupe..
Sent using Vertu Signature Cobra
Lisu ameshajibiwa na Balozi Dr Possi fullstop!
Tanzania tuna rais mmoja tu. Daktari wa Falsafa katika Kemia, John Joseph Pombe MagufuliHalafu Rais wa TLS hajaalikwa,awamu hii kichefu chefu!
Kawaida ya Madikteta huwa wanatingishwa sana na Wanawake,refer ya Kagame.inamaana gvt hii inamgwaya mpaka SHANGAZI.
Thanks sir!Hii hapa
lini GACHACHA ilikuwa mobile?Rwanda walikua na Gachacha mobile Court sisi tumekua nchi ya pili Africa kua na Mobile court.....sasa lini madarasa ya watoto wetu au nawenyewe mtabuni mobile class rooms za magari!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe boya kweli,hata kazi za Rais huzijuiHivi huyu JAMAA anafanya kazi saa ngapi? kila wiki lazima uzinduzi na MATIVII. Rais anatakiwa akae na kuwaza namna ya kuisaidia Nchi kwa kujenga fikra.