Siku ya kweli aliyokufa Mwl J K Nyerere

The last part to die is the BRAIN.....mwalimu aliendelea kutumia machine hadi ubongo wake uliposimama tarehe 14/10/1999 na ndiyo kifo chake kikatangazwa, mtoa mada huna kosa maana hawakukuambia hili la kitaaluma. Inawezekana madaktari tarehe 7 waliwaambia walikuwepo kwamba hatuna matumaini....ila hajafa bado. Kubali ni ukweli alikufa 14 October 1999
 
Pamoja na kwamba kumekuwa na usiri mwingi katika mambo mengi ya kitaifa,katika hili tunaomba mhe b mkapa awasaidie watanzania.akumbuke kuwa wakati wa uchaguzi mdogo Arumeru mashariki alipata tuhuma nzito kutoka kwa vicent nyerere akakaa kimya na hili asipo jibu maana yake.waswahili wanasema hata kimya ni jibu.
 
Sijui kama tukikubaliana sasa kwamba mwalimu alifariki tarehe 7/10/1999 itatusaidia nini kwa sasa kwakuwa watu walewale tunaowashutumu walitudanganya ndio walewale walioko madarakani kwahiyo hakuna kitakachobadilika kwa sasa.
Tukishafanikiwa kuitia korokoroni ccm ndipo tutaweza kuiandika vizuri historia yetu bila kuweka mambo ya ujanjaujanja kama haya yanayofanyika sasahivi.
 

Kwanini Unatuchosha na HABARI zisizo na UCHUNGUZI ? ZISIZO na UMAANA YOYOTE ? NI UMBEA MTUPU LAKINI na MODS waMEMEACHA HUO UMBEA KUENDELEE NA KUTAMBAA; WAKATI SISI TUKIWEKA HABARI zenye MWELEKEO na UMAANA zinatupwa chini... [ kama ni nchi zilizoendelea Jamii Forums, na Mwandishi wote Mahakamani Sababu ni Umbea wa Jikoni]

* Fafaunua Habari zako kama sio stay safe kama sie Hakuna haja ya kuwa MDODOSA wa Maana... Soma Habari Iliyoandikwa na Mwandishi wa Maana na Iweke kwenye Jamii Forums...

kazi ya MODS nikubiga watu bans tu, kunamijadaja mingine yakijinga kabisa inaruhusiwa kujadiliwa , kunamijadala inayo kusa imani za watu (udini), na ukabila zinaruhusiwa kujadiliwa hapa bila kujua ndiyo inaongeza hili tatizo. anyway aendelee nakupiga bans zake kwa wachangiaji anao amini yeye wamekiuka Jf regulation.
Best Regards,
Halima
 
Ulilosema la hakika na kweli kabisa ni kwamba "...walifanya njama ya kumuua..." hili halina ubishi. Kwa vile alikwisha sema Mungu amemjalia "...atamuona Rais wa Awamu ya Nne..." Wenye uchu wa madaraka wakaona atapiga mizengwe tena watoswe, walikula njama kwa kushirikiana na Mmmakonde mmoja mfupi, wakammaliza na njama yao ikafanikiwa!

Lakini damu ya Mwenye haki haitapotea bure, lazima dhambi hiyo itawatafuna tu!
 
...hivi alikufa lini? Na alizikwa lini? Watanzania tunasumbuliwa na wafu big problem...hata angekufa leo noma iko wapi kama watu wanakufa na wanazikwa tena upya noma iko wapi...vitu vingine vinafurahisha sanaa....................
 
Eti ni kweli Sokoine alipigwa risasi na bodigadi wake? na eti familia haijaruhusiwa kuona majeraha kama ingekuwa ajali chanzo cha kifo chake? eti hilo swala lilikuwa limeratibiwa tu na mwenyewe nyerere (mi nampenda sana Baba wa Taifa) eti Bodigadi huyo anaitwa Kizota na ni Mmasai mweupe mrefu ambae kwa sasa anazo Bar Daressalaam na nyumba Masaki? mimi nimelewa hapa pemba nikiwa kazini ndio maana nina maswali mbuzi.
 
Kwa mara ya mwisho JK Nyerere alihojiwa na BBC tarehe 8 na akasema yuko fiti na anatarajia kurudi nyumbani mapema tena akiwa na afya njema. Ila kifo chake (biological dearth was tarehe 10, na wala sio 14. Brother Ben Mkapa aliitwa huko UK tarehe 9 wakati mwalimu yuko kwenye koma tangu tarehe 8 usiku. Chelewa yote hii ilikuwa ni kuwaweka watu sawa ili wazoee hali aliyokuwa nayo mwalimu kuwa ilikuwa mbaya, hivyo hawezi kupona.
 
Swali hili ungemuuliza Joseph Sokoine, Kwa wakati huo Namelok alikuwa mtoto mdogo sana ila hata hivyo naamini atakuwa kadokezwa na ndugu kilichomuua baba yake pale karibu na Gairo.
 
kwa maana hiyo Komba alijulishwa kifo cha Mwalimu kabla ya Watanzania wote? Anyway hizi ni porojo tu reality ni kuwa mwalimu alikufa na kama taifa tunakubaliana alikufa tarehe 14/10/1999, sasa kama una ushahidi wowote wa kitibabu toka st Thomas tuwekee ili utumike kama ushahidi wa kuisukuma serikali iweke historia na kumbukumbu kuhusu kifo cha mwalimu sawasawa na aliyedanganya taifa awajibishwe!

Any rational thinking person would arrive at the same conclusion! And not only Komba, vikundi vya kwaya (in selected churches) walishaambiwa wajiandae kutunga nyimbo za maombolezo weeks before 14th Oct 1999. Unless utuambie kuwa it is possible Mkapa atangaze habari za kifo around saa nne asubuhi, then within 5 minutes of that announcement Komba na wenzake (plus kwaya kadhaa) watunge nyimbo (na si wimbo mmoja bali at least nne kama kumbukumbu zangu ni sahihi), wazifanyie mazoezi, zikarekodiwe na zipigwe Radio Tanzania (as it was known by then).

And if you can believe that you will believe anything!
 
katika agano la kale kabla ya nuhu watu waliishi miaka 900, baada ya gharika kuu wakaishi miaka hadi 500, na wakati wa agano jipya ni miaka 70 ukiwa na afya njema 80! lakini hata wao walioishi miaka 900 wakati wa kifo chao waliona ni miaka michache! leo kuna wazee wanakufa na miak100 bado tunalia, amina chifupa na ujana wake bado tulilia sana.
unaweza kuishi hata miaka 1000 lakini haina maana , manake wana heri wale wafao katika Yesu manake wataishi milele. msiangalie miaka ya boyologia, angalieni miaka ile baada ya kifo cha boyologia. HAIJALISHI NYERERE ALIKUFA LINI, NA ALIISHI MIAKA MINGAPI, LAKINI CHA MAANA ALIKUFA KATIKA KRISTU BWANA NA MWOKOZI WETU!
 
Haisaidii kitu kujadili kifo cha mwl wakati huu,
Tujipange kuitokomeza ccm iliyoanzishwa na mwalimu.
 
Wana JF nimefuatilia mjadala huu. Zipo hoja tanzu zinazaliwa ndani ya mjadala, mfano wengine wanauliza mazingira ya kifo cha aliyekuwa waziri mkuu miaka ya 80 hayati Sokoine na wengine utata wa kifo cha hayati Horace Kolimba. Na hii sasa inakaaje......hebu sikia, kuna mhubiri mmoja wa madhehebu ya Kikristo anaitwa Sheik Rashid. Tarehe 2 Feb 2010 siku ya Jumanne alifundisha katika kanisa la Mchungaji Gwajima la Ufufuo na Uzima kuhusu Malango ya Kuzimu ya Bagamoyo. Sikuwepo na wala mimi si mwamini wake. Mimi nilisikiliza haya kutoka CD yake. Huyu bwana anasema ....tena hata bila kutafuna maneno .......kuwa yeye na wachawi wenzake walimuua marehemu Sokoine pale Gairo kwa ajali ya gari iliyopangwa kishirikina baada ya kupelekewa taarifa kuwa Sokaine alikuwa anasumbua Tanzania hivyo alipaswa aondolewe duniani. Anasema, walifunga siku tatu bila kula wakifanya ibada hizo za kishetani usiku na mchana wakiwa uchi wa mnyama kisha wakatengeneza ajali iliyomwaondoa Waziri mkuu Sokaine na kumfanya msukule hadi leo. Kuna sehemu katika mafundisho yake anasema "nasikia sokoine bado yu hai na bado anapata shida na mateso........." Inawezekana wengi wetu tumesikia ujumbe huu wa Sheik Rashid, lakini inakaaje hii? Fundisho hili nimesave kwenye laptop yangu linaweza kusikilizwa. naomba kuwasilisha kama mchango wangu wapendwa wana JF.....!

A%20S-danger.gif
 
Any rational thinking person would arrive at the same conclusion! And not only Komba, vikundi vya kwaya (in selected churches) walishaambiwa wajiandae kutunga nyimbo za maombolezo weeks before 14th Oct 1999. Unless utuambie kuwa it is possible Mkapa atangaze habari za kifo around saa nne asubuhi, then within 5 minutes of that announcement Komba na wenzake (plus kwaya kadhaa) watunge nyimbo (na si wimbo mmoja bali at least nne kama kumbukumbu zangu ni sahihi), wazifanyie mazoezi, zikarekodiwe na zipigwe Radio Tanzania (as it was known by then).

And if you can believe that you will believe anything!

Tuko pamoja mkuu, lakini nirekebishe kuwa nyimbo zilirekodiwa na kupigwa TUT (Taasisi ya Utangazaji Tanzania) kwa wakati ule ndivyo ilivyoitwa. Kisha nyingine zikapelekwa ITV.

Watu nawakumbuke, kuna wimbo ulikuwa unaitwa "KILIO"
(Kilio aa mmh x3
Tanzania.
Tunaliaa ...) hebu niwaukize wanaopinga hii mada, wakiisha kusikiliza hizo nyimbo walikwisha wahi kumuuliza mwalimu na mwenyekiti wa kwanya taarifa za kutunga nyimbo walipata lini?

Wanamkumbuka yule mzee mwenye zeze, taarifa alipata lini?

Wangapi wanajua kuwa tar 7.10.'99 palikuwa na msiba Butiama wa mtoto/kijana mdogo? Nini kilisemwa pale msibani usiku ule.
 
Kwa mara ya mwisho JK Nyerere alihojiwa na BBC tarehe 8 na akasema yuko fiti na anatarajia kurudi nyumbani mapema tena akiwa na afya njema. Ila kifo chake (biological dearth was tarehe 10, na wala sio 14. Brother Ben Mkapa aliitwa huko UK tarehe 9 wakati mwalimu yuko kwenye koma tangu tarehe 8 usiku. Chelewa yote hii ilikuwa ni kuwaweka watu sawa ili wazoee hali aliyokuwa nayo mwalimu kuwa ilikuwa mbaya, hivyo hawezi kupona.

Eti BBC, duh!!
Mwaka 1999 unafikiri BBC walifanya vema kuliko 2012? Ulifuatilia ukinzani na utofauti wa taarifa za BBC na Aljazeer kuhusu ugonjwa, kifo na kutangazwa rasmi kwa kifo cha Meresi Zenawi, Waziri Mkuu wa Ethiopia? Unajua kuwa walisaidiana na Serikali ya Ethiopia (kama ni kwa makusudi sijui, kama ni kwa bahati mbaya ama ni coiniidence, sijui) kuwadanganya waethiopia juu ya kifo cha Zenawi?

Kwamba Nyerere alihojiwa na BBC...mmmh....nisita kidogo lakini sisiti kukuita mwongo

Njoo kwenye mada, unasema alìhojiwa tar 8 na BBC halafu upesi siku hiyo hiyo anaingia kwenye coma state/condition, then kesho yake Mkapa anakwenda St Thomas; huoni unajichanganya. Ama kuna kitu kinafichwa.

Kwanini Mkapa aende St Thomas? Umejiuliza ni nani ambaye alikuwa na nguvu ya kimadaraka na ushawishi kumwambia Mama Maria, kubaliana na tutakachosema?
 
Sijui kama tukikubaliana sasa kwamba mwalimu alifariki tarehe 7/10/1999 itatusaidia nini kwa sasa kwakuwa watu walewale tunaowashutumu walitudanganya ndio walewale walioko madarakani kwahiyo hakuna kitakachobadilika kwa sasa.
Tukishafanikiwa kuitia korokoroni ccm ndipo tutaweza kuiandika vizuri historia yetu bila kuweka mambo ya ujanjaujanja kama haya yanayofanyika sasahivi.

Mwita,
Mang'ana mura!
Ukimya wetu ndio unaowafanya wajione wanaweza kufanya wanayofanya na wanayotaka kufanya.

Ukimya wetu ndio unaowafanya watuone na kujipatia uhakika kuwa ni rahisi sana kwao kutudanganya.
 
Kwanini unataka kumwangamiza mbwa wako bila kutuambia kosa lake ni nini?

Tuliposema mbwa wako mwizi mbona ulikana?
Tunaposema mbwa wako wako ni koko anawabwekea watu kama vile ni wezi wakati yeye ndiyo katoka kuiba kuku wa Mzee Msafiri mbona ulikataa?

Kipi kimekusibu leo?
 
Back
Top Bottom