Siku ya kweli aliyokufa Mwl J K Nyerere

kwa maana hiyo Komba alijulishwa kifo cha Mwalimu kabla ya Watanzania wote? Anyway hizi ni porojo tu reality ni kuwa mwalimu alikufa na kama taifa tunakubaliana alikufa tarehe 14/10/1999, sasa kama una ushahidi wowote wa kitibabu toka st Thomas tuwekee ili utumike kama ushahidi wa kuisukuma serikali iweke historia na kumbukumbu kuhusu kifo cha mwalimu sawasawa na aliyedanganya taifa awajibishwe!

Duuh!!
 
Swali sahihi na zuri. Kwahiyo tunaposema DrBalali hajafa tunaonekana tunakosa busara na tunajadili ujinga. Hivyo watz waendelee kuamini kuwa Dr Balali kafa.
Hebu tuachane kidogo na hayo ya Balali........naomba mtupatie ushahidi usio na mashaka kuwa Nyerere hakufa Oktoba 14.
 
Mimi sijui alikufa tar ipi ila nataka kujua aliyosema Vicent Nyerere... "Mkapa awaelezee watanzania ni nini kilichomuua Nyerere". Na je ni kwanini baada ya kifo akamteua daktari wa Nyerere kuwa waziri wa afya?.
 
me nachokumbuka Makongoro alitaka kwenda hospitalini Uingereza kumwona lakini alizuhiliwa kwenda huko, aliwekewa zengwe.
 
kwani kuna ubaya gani kuamini mwl Nyerere alikufa tarehe 14 october 1999?
Mbona mleta mada unaamini YESU KRISTO alizaliwa tarehe 25 dec(chrismas)miaka 2000 iliyopita japo si tarehe ya kuzaliwa kwake!?
kuwa na imani mkuu....
 
  • Thanks
Reactions: awp
Not all things need to be re-searched, others can be searched and/or be investigated

kaaaaazi kweli kweli, kama umeinvestigate si useme na utupe full story siyo unaongea kimkatomkato kwamba Nyerere alikufa tare 7 Oktoba then ukidhani tutakusifiaaaa
 
Ukweli hauwezi funikwa siku zote. Ni kama kuuzuia moshi kwa kawa.

Kama vile kuvuja kwa taarifa za mipango na utekelezaji wa kumwua Nyerere kulivyokuwa, kisha kuibukia 2012 kwa uwazi zaidi. Ndivyo tarehe rasmi ya kufariki inapojulikana.

Nyerere alifariki tarehe 7 Oktoba 1999.

Tarehe nyingine ni danganya toto. Ukweli unasema, huwezi kuwadanganya watu wote kwa nyakati zote. Ndicho serikali iliyoongozwa na B W Mkapa ilichofanya.

Ningekuunga mkono, lakini sioni faida kwa sababu hata tarehe 7 Oktoba 2012 haikuwa siku ya kazi. Ungesema alikufa tarehe 12 Oktoba ili tuwe na long week-end. Watanzania tunavyopenda mapumziko, tutahamsishana ili tuandamane siku hiyo.
 
jamaa anatafuta siku ya mapumziko iangukie tarehe 7 oct kwa kuwa eti ni besdei yake..lol.....
 
kwa hali ya kawaida hata bila research inaonyesha kuwa nyerere alifufa before october 14 ila serikali iliamua kutangaza terehe hiyo baada ya kufanya maandalizi ya kutosha juu ya kuupokea msiba wa kitaifa. ndio maana wananchi tulishangaa kuona sehemu muhimu zikiandaliwa kimyakimya kwani kazi zilifanyika usiku na mchana. in fact ni vitu vya kawaida kuzidisha au kunguza tarehe.

mimi shosti wangu alifiwa na mumewe saa nne, yeye akaja kupiga kilio saa 7 baada ya kuweka mambo yake yote safi,
 
kwani kuna ubaya gani kuamini mwl Nyerere alikufa tarehe 14 october 1999?
Mbona mleta mada unaamini YESU KRISTO alizaliwa tarehe 25 dec(chrismas)miaka 2000 iliyopita japo si tarehe ya kuzaliwa kwake!?
kuwa na imani mkuu....

Sembuli kuhusianisha kuamini kuhusu Mwl Nyerere kufariki dunia kwake na swala la Yesu kuzaliwa is too things different very far.By the way kuna ushahidi mwingi tu wa kutosha kuhusu maisha ya Yesu kristo duniani na hadi kifo chake na hadi kufufuka kwake.
After low wanaodadisi kuhusu ukweli wa lini Mwl.Nyerere aliaga dunia wapo sahihi na ni wazalendo na hawastahili kubezwa kwa mawazo yao....Ila ni vema waje na ushahidi wa kutosha juu ya ukweli.
maada nzuri ila mtoaji maada hajaandaa ushahidi wa kutosha...mwenye ushahidi si vibaya akachangia.
 
not all things need to be re-searched, others can be searched and/or be investigated

kuambatanisha chanzo cha kuaminika cha taarifa/ habari kwenye uzi ni kawaida ya mtu makini..unategemea kweli sisi tunaweza kuamini maneno yako matupu?? Kwanini tusitupe kapuni hiki unachoongea kama tulivyotupa kapuni ripoti ya tume ya nchimbi???
 
Siku zote ukweli huwa haupigiwi kura, ninyi mnaomkosoa mtoa mada mnaweza kuthibitisha bila shaka kwamba tulichotangaziwa na kuaminishwa siku zote ndio ukweli?
 
wachangiaji wengi tumetawaliwa na emotions and other critics lakini ukweli lazima ujadiliwe kwa hoja jadidi na uwekwe wazi,sijui tarehe aliyokufa mwalimu lakini sio octoba 14,sina haja ya kusema kwa nini sikubaliani na hiyo tarehe kwasababu yapo mengi yanayoashiria hiyo tar siyo ya kweli.ni maoni yangu tu lakini.

hiyo ndio sababu hatuoni sababu ya kuendelea na mjadala huu ingawa viashiria hivo vipo kweli!
 
hapa naona mleta mada anataka taifa likae kwenye standby mode na tuanze tume ya ukweli na upatanishi kati ya wananchi tunaozidi kudanganywa kila siku na kuona tunakandamizwa kwa taarifa za uongo na viongozi wetu wanaozidi kutudanganya kila uchao...

Nitaweka mifano ya mambo yanayohitaji kujadiliwa kwa kina na tupate majibu ya kina na tusameheane then tuendelee mbele kuelekea miaka 100 ya uhuru... a time for moments of truth in tanzania

1- upo wapi mkataba wa muungano wa tanzania na zanzibar tuusome wote na tujue wazee wetu walikubaliana ni katika kuungana kwetu

2- kwanini tuliingia vita vya kagera

3- nini chanzo cha kifo cha sokoine

4- nini chanzo cha kifo cha nyerere

5- wapi lipo kaburi na nani alihudhuria mazishi ya gavana balali aliyetupiwa mpira wa epa

6- nani wamiliki na wako wapi hao wamiliki wa makampuni yale mawili yaliyochota mi-pesa ya epa (kagoda ...)

7- iko wapi mikataba ya uchunguzi na sasa uchimbaji wa mafuta ndani ya bahari ya tanzania

9- nani ameingia mikataba ya uchimbaji wa uranium tanzania na kwa terms zipi

10- nani alimtesa na kutaka kumuua dr. Ulimboka

11-nani anataka kuwauzia waarabu ardhi hekta laki 5 bonde la mto rufiji walime ngano na mpunga kwa matumizi ya watu wao kwa mkataba wa miaka 99
12-......
13.......
14.......

Endeleeni kadri ya uwezo wenu muone jinsi gani tunahitaji kupatanishwa na viongozi wetu juu ya mengi tusiyoyajua na wao wanayajua wameficha ukweli....
 
Back
Top Bottom